Mgavi Fulani
Senior Member
- Sep 10, 2014
- 110
- 38
Mkuuu,kwa first year lin tunatakiwa kureport?? na vp course ya marketing iko niajjee?
Ugumu wa kozi ya education ni upi?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Marketing kwa SAUT tulisoma partial first year BBA ila second year ndio watu wakaenda ipiga deep. Achukue BBA then baadae atamake choice sehemu anayoipenda. Kuna Marketing, Human Resources, Accounting and Finance, Procurement and Logistics, Banking na pia Treasury japo huwa hamna walimu wa course hiyo.
Ama anaweza soma Public Relation and Marketing nao kimtindo wanaipiga piga.
Mi ni muhitimu wa SAUT mwaka 2013 ninakifahamu inside out. Nitasaidia pia kutoa jambo lolote lile lunalokutatiza. Kuanzia hostel, gharama za maisha hadi nini ufanye ili kuendana na maisha ya SAUT na nini ufanye kupita vikwazo vya masomo kama French, Social Ethics na akina Religion maana ni masomo lazima usome utake usitake. Karibuni vijana.
Marketing kwa SAUT tulisoma partial first year BBA ila second year ndio watu wakaenda ipiga deep. Achukue BBA then baadae atamake choice sehemu anayoipenda. Kuna Marketing, Human Resources, Accounting and Finance, Procurement and Logistics, Banking na pia Treasury japo huwa hamna walimu wa course hiyo.
Ama anaweza soma Public Relation and Marketing nao kimtindo wanaipiga piga.
Mi ni muhitimu wa SAUT mwaka 2013 ninakifahamu inside out. Nitasaidia pia kutoa jambo lolote lile lunalokutatiza. Kuanzia hostel, gharama za maisha hadi nini ufanye ili kuendana na maisha ya SAUT na nini ufanye kupita vikwazo vya masomo kama French, Social Ethics na akina Religion maana ni masomo lazima usome utake usitake. Karibuni vijana.
Mimi pia ni muhitumu mwaka huo wa 2013 nilisoma procurement and logistics japo marketing nilisoma kidogo kama course semisters mbili
Changamoto ya Education ni wingi wa course zake. Huwa mara nyingi wanafunzi wa Eduche wanafikia kusoma course 12 hadi 13 chache sana per semester wamesoma basi 10.
Na siri ya kupambana nayo hayo ni kuwa tayari tu na kuweka nidhamu ya elimu mbele then hayo mengine yapo tu. Ukipiga semester moja baadae unakuja realize ni mambo ya kawaida saaana.
mbona hujawaambia habari za Dr Safari kwenye Research
Changamoto ya Education ni wingi wa course zake. Huwa mara nyingi wanafunzi wa Eduche wanafikia kusoma course 12 hadi 13 chache sana per semester wamesoma basi 10.
Na siri ya kupambana nayo hayo ni kuwa tayari tu na kuweka nidhamu ya elimu mbele then hayo mengine yapo tu. Ukipiga semester moja baadae unakuja realize ni mambo ya kawaida saaana.
Nimechaguliwa bachlor of Arts in public marketing ,Saut-mwanza mkuu Mgavi Fulani.
Nashukuru Mgavi Fulani kwa ufafanuzi wako
Gharama na maisha kwa ujumla yakoje hapo chuoni?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Nimechaguliwa bachlor of Arts in public marketing ,Saut-mwanza mkuu Mgavi Fulani.
Nimechaguliwa bachlor of Arts in public marketing ,Saut-mwanza mkuu Mgavi Fulani.
dah SAUT ctakisahau hiki chuo ad nimevaa joho ckuamini kama ni kwel niligraduate ni shidaaaa
dah SAUT ctakisahau hiki chuo ad nimevaa joho ckuamini kama ni kwel niligraduate ni shidaaaa