Kama umechaguliwa SAUT pitia hapa

Kama umechaguliwa SAUT pitia hapa

Kazi zinazohusiana na kuprint huwa ni nyingi sana ili nijipange kununua printer? Mgavi Fulani MUSSOLIN



Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Walah SAUT....mmmmh sjapata kuona... Haswa kwenye koz ya procurement... Huyo mama HOD looooh....
 
Kwanza hongera mkuu kwa kupata selection maana mpaka umechaguliwa jua kuwa umekidhi vigezo. So unastahili pongezi.
Pili juu ya gharama za maisha. Kiujumla maisha ya Mwanza au chuo pale gharama zake tukianza na jambo muhimu kuliko yote ( chakula ) sahani full na samaki na kila kitu ni kuanzia 1500/= hadi 2000/= hiyo ndio ilikuwa bei mpaka naondoka and i hope haijabadilika kwa saaana. Ila kama utataka uhuru nakushauri weka ndani stock ya chakula japo kwa uchache maana kuna miezi maaruf inaitwa "mwezi dume" huwa hali inakuwa ngumu almost kwa watu wengi chuoni.

Gharama za stationeries ni cheap kwa ujumla kutokana na competition ya mastationery yaliyojazana. So ni wewe tu na uchaguzi wako pindi utakapohitaji toa copy au kuprint kazi tofauti tofauti. Copy hadi naondoka zilifika page sh. 50/= na mapunguzo kibao ukiwa na page nyingi au kama unaprint.

Gharama za hostel: hapo mkuu kwa sasa SAUT naweza kukutoa shaka maana kipindi chetu kulikuwa na idadi kubwa sana ya wanafunzi so DEMAND ya hostel ilikuwa juu sana na wenye nyumba wakaongeza bei za hostel had kufikia Mil. 1+. Ila kwa sasa naona idadi ya wanafunzi imepungua japo sijajua mwaka wenu na mpaka tunaondoka hostel zilifikia hadi laki 5, so mnajichanga wawili mnakaa kwa amani. Hostel zitakuwa zinapatikana kwa urahisi kutokana na uzoefu wangu na jinsi nilivyoziacha nyingine zipo ktk matengenezo ( mpya ) baada ya kwenda fuata vyeti vyangu mwezi uliopita mwaka huu. →→Disadvantage ya off campus ni gharama za malipo ya maji na umeme japo si kubwa kama utakavuodhani. Maana maji ni bwerereee kutoka ziwani.

Ama kuhusu suala la hostel za ndani ni bei nafuu zaidi. Nadhani unalipia kwenye LAKI 2 hivi, sina exact info on that maana aijawahi kaa hostel za ndani. Ila disadvantage ni nyingi. Watu mnapokusanyika wengi ktk sehemu moja toka culture tofauti kidogo huwa ni challenge but i hope you'll be able to face it.

Nadhani hapo kidogo umepata mwanga wa maisha na cost zake zilivyo.

Usisite uliza lolote ambalo wahitaji maelezo ya ziada. Karibu.

maelezo mazuri sana but kwa hostel za ndani ni laki tatu hii ilikua kuanzia mwaka jana na kwa hostel za nje zipo hadi za laki tatu na nusu lkn nyingi zinaanza na laki tano na kiendelea
 
sasa kama chuo knafunguliwa tar 23 sep,tcu mpaka xaxa wamebania majna ye2,na 1st year wanatakiw kuripot wik moja kabla na leo tar 16 na wao kwa taarfa wanaachia majna tar 22 itakuaje?!?!

nazani chuo wana taarifa toka tcu hvo usiwaze wataextend reporting day kwa first year
 
mmeuchanganya maubongo yangu kinoma nikajua YAAHP..! TCU at last wameaachia..

kuna wale wanaojua tiyari selection zao sijui walifanyaje mpaka wakajua? kwa ambao hamjafaham msiwaze next monday kila kitu kitakuwa out according to tcu...
 
Jiandae kukutana na Mtebe....Ni nooooma huyo mama ukicheza tuu hauhitimu....

Mbona unamtisha kijana?? Mambo si magumu kihivyo mkuu. Cha msingi mshauri njia mbadala au za uhakika za kuweza kuendana na hao akina Mthebe na Scholar Ngimbudzi. Ni kweli ngoma nzito ila ukiamua ni kama unanawa tu.
 
Mbona unamtisha kijana?? Mambo si magumu kihivyo mkuu. Cha msingi mshauri njia mbadala au za uhakika za kuweza kuendana na hao akina Mthebe na Scholar Ngimbudzi. Ni kweli ngoma nzito ila ukiamua ni kama unanawa tu.

Ila mkuu ajiandae tuu kuingia SAUT ni easy saana ila kutoka si lele mama... Pambna mkuu research, french,comprehensive yote mapanga hayo .

Kama vp graduation si inakuja we uliza masela mbna mna shangwe hvyo watakupa walioyapitia
 
Ila mkuu ajiandae tuu kuingia SAUT ni easy saana ila kutoka si lele mama... Pambna mkuu research, french,comprehensive yote mapanga hayo .

Kama vp graduation si inakuja we uliza masela mbna mna shangwe hvyo watakupa walioyapitia

hii n kweli kabsa mkuu
 
kuna wale wanaojua tiyari selection zao sijui walifanyaje mpaka wakajua? kwa ambao hamjafaham msiwaze next monday kila kitu kitakuwa out according to tcu...

Erick hii ni kama ile ya kwenu kwenye airtel yatosha wale TCU inatatizo mle.
 
Back
Top Bottom