Kama umefikia stage hii ya maisha, mshukuru Mungu

Kama umefikia stage hii ya maisha, mshukuru Mungu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1074047



1074048



1074050
 
Ni ulimbukeni huo mbona wengine tumezaliwa na tukavikuta vyote hivyo na tunavimiliki but tunaona kawaida tu kikubwa ukikipata unapaswa ushukuru ni kuwa na reliable income mfano una company au kiwanda au biashara kubwa.
Sote tunapaswa tumshukuru Allah na siyo ukipata decorated house.
Ukimaka tu asubuhi sema Alhamdulillah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom