Kama umefikia stage hii ya maisha, mshukuru Mungu

Kwahiyo sisi tunaolala stoo hatutakiwi hata kumtaja Mungu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaweza ukawa navyo vyote hivyo but ukakosa furaha
 
Hongera sana aiseee.ni miongoni mwa wachache sana
 
Dalili ya kuishiwa Mada za kupost,... Hahahaha ni mwendo wa kugoogle na kufikirisha watu,.. Ama kweli vyuma vimekaza sana
 
Nilitaka kumsema vibaya aloanzisha huu uzi,ila baada ya kujiridhisha kuwa ni mwanamke(tena niliyekuwa namuamini kuwa kwa hapa JF nae ni mmoja kati ya tano bora humu wanaojielewa)lakini nimeamua kuyameza tu niliyotaka niyatoe,yaani anashindwa kushukuru kwa pumzi na uhai na uzima wa afya yake anakuja kusema tumshukuru mungu kwa picha za ku`download google,kweli mwanamke ni mwanamke tu..hata awe wapi au aelimike vipi bado atakuaibisha tu na kuku`disappoint kwa vitu vya kipuuzi kama hivi,no matter what!
 
Mkuu pamoja na Eli79, naomba msaada wenu..

Kwa heshima na taadhima, sijaona uspecial wowote kwenye hiyo nyumba, hiyo inaweza kuwa ni 'one storey' building.. na ni nyumba ya kawaida kabisa, kuna nini mlichokiona wenzangu ambacho mimi sijakiona? Hii kwa muonekano, inaweza kuwa ni ndogo sana ukilinganisha na ile ya Marehemu Mengi kule kijijini, au wenzangu mlipoona maflat screen makubwa makubwa mkapanic?
 
You have gone too far, umeenda mbali sana bila sababu za msingi, uliyozungumzia ni masuala ya imani, yeye anaamini kumshukuru Mungu baada ya mafanikio, wewe unaamini kumshukuru Mungu kwa kila jambo ili mradi tu unapumua, hiyo ni tofauti ya kiuelewa na kimtazamo tu, waombe radhi wanawake kwa kuwaonyesha dharau katika hii komenti yako.
 
Mkuu kuna quality na quantity. Hii inaweza kuwa ni nyumba ndogo lakini ina quality.
 
Mkuu kuna quality na quantity. Hii inaweza kuwa ni nyumba ndogo lakini ina quality.
Yeah, nimeiona ina quality, wamenishangaza wadau kwa kusema kuwa ni level ya juu kabisa ya maisha hapa duniani na humu JF hakuna wenye nayo, do you believe so? Ok, tuache hilo la hakuna mwenye nayo maana hatufahamiani, je ni nyumba ya ajabu sana na ya gharama kubwa mno au?
 
Gharama ya nyumba inategemea materials ulizitumia, ubunifu na pia location nyumba ilipo. Hii nyumba ikiwa Kwamtogole bei yake haiwezi kuwa sawa na nyumba kama hii ikiwa Mbezi Beach
 
AM SORRY WANAWAKE WOTE,I REALLY MEAN IT SORRY!HASA HASA KWA MADAME ALIYEANZISHA HUU UZI..
 
Gharama ya nyumba inategemea materials ulizitumia, ubunifu na pia location nyumba ilipo. Hii nyumba ikiwa Kwamtogole bei yake haiwezi kuwa sawa na nyumba kama hii ikiwa Mbezi Beach
Sawa, tufanye iko mbezi beach na umetumia material ya kufa mtu, is it untouchable?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…