Kama umeoa tafuta na kamchepuko Kwa akili

Braza uishi maisha yote, mimi nina miaka 30, nimeoa na nina mke mzungu na watoto wawili kwa kweli nina ka mchepuko kangu ka miaka 19 yaani kinanipa raha balaa...yaani siku nikiwa na stress za mzungu chap naenda kwa katoto kangu ka chuo
 
Huku JF watoto wajinga mno...mnamshangaa mtoa mada kuwa 40 years...ninyi kenge mno mwenzenu kajaliwa kuishi na kuishi ni baraka, wewe na miaka 20 yako na mikeivanti mnayokunywa asilimia 45% ya vijana wa hovyo wa Tz uhakika wakufika miaka 40 ni wa shaka, hivyo msiwe mnaropoka...mwache mwamba ale maisha ninyi si mnaombwa vocha na vitoto wenzenu hamna hela...waache wazee wale vibinti vyezenu vya miaka 20...mimi nina miaka 30 na nakula wasichana kuanzia miaka 18-20 yaani wananigombania
 
bila ya mchepuko utakufa mapema
 

Upo sahihi sana….nakuelewa vizuri sana….wanawake waliolewa wana underestimate power ya michepuko lkn michepuko ndio inayoleta amani ndani ya nyumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…