Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.Mara pap anaenda kupaki mtoto akirudi mjini ana stress za kufa mtu na kulaumu wanaume,
Kumbe ujinga wa kutaka makuu ndio umemponza akakutana na madalali wa magari mjini.
Ndivyo walivyo na single mother wengi wamepitia huko![emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] hilo penzi au vitu[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Utasikia hata hapa hapa kwenye huu uzi,nina pesa sijui nina elimu,mwanangu nitamlea mwenyewe wakati ikifika usiku akijikuta mwenyewe with that huge bed alone haaaaa anawawaza hadi ma bff wa shule ya msingi.tell them single mothers
Ndo unakuta miaka yasonga tu....Na kweli kuna wanao taka wenye magari wakati kwao ukoo mzima hakuna anayemiliki gari!
nina zawadi yako ya xmassUtasikia hata hapa hapa kwenye huu uzi,nina pesa sijui nina elimu,mwanangu nitamlea mwenyewe wakati ikifika usiku akijikuta mwenyewe with that huge bed alone haaaaa anawawaza hadi ma bff wa shule ya msingi.
Nishakua single na baada ya kuolewa nimegundua ni best part of the life.hawa wanaoongea -ve kuhusu maisha ya ndoa hawajapata hiyo nafasi
Maisha ya ndoa si pesa wala nyazifa za mtu jamani....ila humu wewe take a time tu utaona mitazamo ya wanawake wenzetu humunimependa Message yako, mwenye kuelewa atakuwa amekuelewa vizuri
utasema baba yake ana miliki sheliAmeniita broke ass mungu anamuona!!
Mimi ni mwanamke my dear.ila nina kaka na wadogo zangu wakiume aisee kaka washaoa bado wadogo zangu nina waonea huruma sanaa.maana hii mitandao imebadilisha roho za watu sana...mama zetu mbona waliweza jamaniJf bana huwezi jua MTU in ke/me
Kama humu jf na mitandao mingine ya kijamii upo na umeolewa,changanya na zako vinginevyo ndoa itakushinda
Humu wengi wana stress za kutoolewa na washapitisha miaka ya 30 na kitu,ukiangalia wanavyojipambanua humu . Yaani full stress,kuwadharau wanaume tu kisa hamjapata nafasi ya kuolewa,
Nakumbuka kamsemo ka tangu 2015 ka free pu..mb.. Haaaa yaani kujiuza kujiuza.....
Oleweni tu jamani acheni kutoa mastress yenu humu ndani na kujifanya maisha yenu yapo perfect sana...na kuona walioolewa wamekosea sana..
Kuolewa kuna raha yake bwana hata kama umeolewa na mwanaume wa aina gani.
Mwanaume wako tena wa ndoa ni raha jamanii..
Awe broke,sijui free p,yukoje yukoje,saidianeni maisha.usisikilize pumba za wanawake waliokosa kuolewa humu ndani...
Unakuta kila uzi ukiuangalia unaona kila mwanamke anajipambanua kwa kutaka mwanaume mwenye pesa sana..ndoa haziji kwa staili hiyo na humu kwenye ndoa ni mchakamchaka pamoja.sio kusubiri kila kitu upewe.
Mtatumika tu na ndoa hampati kwa roho zenu za kuweka pesa mbele...
So mwanamke mwenzangu uliyepo kwenye ndoa changanya na zako ukiwa humu ndani.
Awa wengine waache waendeleee kucheza kwaito kwenye harusi za wenzao mpaka visigino vikatae.
Unamiaka mingapi?Mimi ni mwanamke my dear.ila nina kaka na wadogo zangu wakiume aisee kaka washaoa bado wadogo zangu nina waonea huruma sanaa.maana hii mitandao imebadilisha roho za watu sana...mama zetu mbona waliweza jamani
Hahahh yaani hata utoke na uchovu wa namna gani kazini na mihangaikoni kwa ujumla,ukifikiria kukumbatiwa KIHALALI yaani na mume wako ambaye hadi mchungaji anajua mnachofanya hahahahah ni raha sanaMwanaume uingie kulala umkute mkeo kalala uchi hasira zinahama lazima utaomba game tu au usiku umelala unasikia umeguswa na tako lazima upapase
Late 20.....Unamiaka mingapi?
Du hatari sanaKama humu jf na mitandao mingine ya kijamii upo na umeolewa,changanya na zako vinginevyo ndoa itakushinda
Humu wengi wana stress za kutoolewa na washapitisha miaka ya 30 na kitu,ukiangalia wanavyojipambanua humu . Yaani full stress,kuwadharau wanaume tu kisa hamjapata nafasi ya kuolewa,
Nakumbuka kamsemo ka tangu 2015 ka free pu..mb.. Haaaa yaani kujiuza kujiuza.....
Oleweni tu jamani acheni kutoa mastress yenu humu ndani na kujifanya maisha yenu yapo perfect sana...na kuona walioolewa wamekosea sana..
Kuolewa kuna raha yake bwana hata kama umeolewa na mwanaume wa aina gani.
Mwanaume wako tena wa ndoa ni raha jamanii..
Awe broke,sijui free p,yukoje yukoje,saidianeni maisha.usisikilize pumba za wanawake waliokosa kuolewa humu ndani...
Unakuta kila uzi ukiuangalia unaona kila mwanamke anajipambanua kwa kutaka mwanaume mwenye pesa sana..ndoa haziji kwa staili hiyo na humu kwenye ndoa ni mchakamchaka pamoja.sio kusubiri kila kitu upewe.
Mtatumika tu na ndoa hampati kwa roho zenu za kuweka pesa mbele...
So mwanamke mwenzangu uliyepo kwenye ndoa changanya na zako ukiwa humu ndani.
Awa wengine waache waendeleee kucheza kwaito kwenye harusi za wenzao mpaka visigino vikatae.
Yaaaani kila mtu yupo single....ila sijui kwaniniJf kila mtu yupo Sigle