@GuDume hahaahah wewe kwa kuangalia fursa hahaBillions of likes na makiss kibao. We una akili sana sema basi tu. Umeongea maneno mazito sana dada yangu.... Sana. Mi huwa nakaa pemben nawacheck wale wanaosema eti kwa sasa hawatak wanaume kumbe wao ndo hawatakiw. Mtu umri ameshafika jioni... Na wanaume tunachagua sana. Acha tu wawe maids na stage show wa kwaito. By the way naweza pata namba yako ya simu ili nimpigie mumeo kupitia simu yako kumpongeza kuwa amepata mke? Thank yu
Kwahiyo waliopo kwenye ndoa waendelee kupalilia na kumwagilia majiNdivyo walivyo na single mother wengi wamepitia huko!
Maneno yake yamekungiaNimesoma bandiko lako ila bado nawaza wewe ni Ke? Thread yako imekaa kama imeandikwa na Me.
Wamekusikia ingawa umetumia maneno makali.
Sasa me kaanza tu kazi mf.utasubiri mpaka anunue magari ajenge nyumbani? Ngoja sie tulisongeshe huko huko mbele Mungu anajaziliziaNdo unakuta miaka yasonga tu....
Huwa ni maneno ya mkoswaji wanawapata waku starehe nao lakini wakusema tuishi pamoja inakuwa shidaMaisha ya ndoa si pesa wala nyazifa za mtu jamani....ila humu wewe take a time tu utaona mitazamo ya wanawake wenzetu humu
Ana chura?Kuna manzi mmoja nilimtongoza huku alipogundua kuwa mimi ni fukara akaniacha na kuniambia "i can't go on with the broke ass"!!
Yaani Mrs Dee nimekupenda bure, huu uzi wako ni kweli tupu ila nani atakuelewa? na unadhani hata watapitia upande huu? watasoma na kusepa kimya kimya, hawacomment kitu hapaKama humu jf na mitandao mingine ya kijamii upo na umeolewa,changanya na zako vinginevyo ndoa itakushinda
Humu wengi wana stress za kutoolewa na washapitisha miaka ya 30 na kitu,ukiangalia wanavyojipambanua humu . Yaani full stress,kuwadharau wanaume tu kisa hamjapata nafasi ya kuolewa,
Nakumbuka kamsemo ka tangu 2015 ka free pu..mb.. Haaaa yaani kujiuza kujiuza.....
Oleweni tu jamani acheni kutoa mastress yenu humu ndani na kujifanya maisha yenu yapo perfect sana...na kuona walioolewa wamekosea sana..
Kuolewa kuna raha yake bwana hata kama umeolewa na mwanaume wa aina gani.
Mwanaume wako tena wa ndoa ni raha jamanii..
Awe broke,sijui free p,yukoje yukoje,saidianeni maisha.usisikilize pumba za wanawake waliokosa kuolewa humu ndani...
Unakuta kila uzi ukiuangalia unaona kila mwanamke anajipambanua kwa kutaka mwanaume mwenye pesa sana..ndoa haziji kwa staili hiyo na humu kwenye ndoa ni mchakamchaka pamoja.sio kusubiri kila kitu upewe.
Mtatumika tu na ndoa hampati kwa roho zenu za kuweka pesa mbele...
So mwanamke mwenzangu uliyepo kwenye ndoa changanya na zako ukiwa humu ndani.
Awa wengine waache waendeleee kucheza kwaito kwenye harusi za wenzao mpaka visigino vikatae.
@GuDume hahaahah wewe kwa kuangalia fursa haha
Ngastuka!Nimesoma bandiko lako ila bado nawaza wewe ni Ke? Thread yako imekaa kama imeandikwa na Me.
Wamekusikia ingawa umetumia maneno makali.
Humu shoga...wanaume kama hao waanzisha thread huwa wanahisi wadada wa JF hawana wanaume / au hawajaolewa!Unahisi nimekuja humu kutafuta mume? Au unahisi wote tupo single?
Witness sina sababu yoyote ya kujiact mwanamke wakati mimi mwanaume,haitonisaidia loloteHumu shoga...wanaume kama hao waanzisha thread huwa wanahisi wadada wa JF hawana wanaume / au hawajaolewa!
Haaa haaa mi nachekaga
Ha ha khaa basi kazi ndiyo maana wanajibiwa hovyo sababu ya vihere here vyao!!Humu shoga...wanaume kama hao waanzisha thread huwa wanahisi wadada wa JF hawana wanaume / au hawajaolewa!
Haaa haaa mi nachekaga
Mkuu hapa itakua umejichanganyaWitness sina sababu yoyote ya kujiact mwanamke wakati mimi mwanaume,haitonisaidia lolote
Hata kama tunatumia id fake haibadilishi mioyo yetu.
Mimi na mwanamke na nimeolewa
Hahaha ila alikupa changamoto.Kuna manzi mmoja nilimtongoza huku alipogundua kuwa mimi ni fukara akaniacha na kuniambia "i can't go on with the broke ass"!!
Lol.... nalo nenoJf bana huwezi jua MTU in ke/me
[emoji23][emoji23][emoji23]Ana chura?
Umeoa lini?Daaah bora sie wengine tuliojiamulia kuoa tu, huo mchambo umetupita kushoto.
Lol.