Jay Fwemfwe
Member
- Apr 6, 2022
- 27
- 14
Nyumbani ni sehemu ambayo katika jamii zetu ndio sehemu za kutukiliza akili,kufikria na kupanga mambo muhimu kuhusu maisha .
Kwa akili ya kawaida huwezi kujenga sehemu zote na nyumba hazihamishiki nyingi labda uamue uishi kwenye kontena.
Alafu nyumba iendane na idadi ya watu mimi tu nikodi nyumba yote kweli kuishi kwa utulivu?? nooo'
Mm hapa nnapoishi nina jirani ni mpumbavu huitaji ku'zoom ,kodi nalipa mimi lakini atmosphere ya chumba changu sio yangu tena .Kulala kwangu ni kama anaamua yeye sasa, nyumbani si sehemu
naweza kutulia nikakaa vzr bila makelele .
Muziki unaopigwa hapa sio wa kistaarabu kabisa hivi saa kumi na moja asubuhi mtu una sikiliza ni sasa na sauti ya juu tena ,saa nane usiku hivi watu wasilale !!, sometimes anaweza kutuacha tulale saa 9 usiku ,lkn bado saa 1 asubh tena muziki ,kazi kweli ukimuona usoni mpole kama mpole vle.
Kuna siku nilishindwa kulala nikatoka nje nikakaa kwenye ngazi kama nusu saa hivi muziki muziki ,akatoka nje jirani umeamkaje!! rohoni nilijisemea pumbavu wewe maana nasikia jirani wenziwe washamwambia sana muziki sauti punguza lkn siku 4 ,5 analiwasha as if analipiza alikuwa mapumuzikoni .
Nikaona yanini acha ni save my energy lkn sasa ni shida kubwa sana muziki unaweza pigwa 3 to 5 hrs hivi kwl hapo ni kusikiliza tu ,sio fujo hizi??
Ni binti mzuri tu mrembo hajaolewa sometimes i think she is doing this for becouz of loneliness lkn mbona wenzie hawana family pia au umaskini tu lbd,ujue masikini furaha yake ni kujionesha , mbona ana hela tu vzr?? au kabila!! cjui kabila lake .
Au hasira zake anatolea kwenye vtu anavyomiliki?
Hadi sasa sielewi nihame kisa mtu 1 kweli !!, huko nitapoenda si waswahili wenzangu ni wale wale huko usikute nitakuta ni wanne na hizi kelele nazihimilije sasa ?? na mtu mwenyewe ndio huyooo .
Nyie mnaishije na watu design hii ??
Kwa akili ya kawaida huwezi kujenga sehemu zote na nyumba hazihamishiki nyingi labda uamue uishi kwenye kontena.
Alafu nyumba iendane na idadi ya watu mimi tu nikodi nyumba yote kweli kuishi kwa utulivu?? nooo'
Mm hapa nnapoishi nina jirani ni mpumbavu huitaji ku'zoom ,kodi nalipa mimi lakini atmosphere ya chumba changu sio yangu tena .Kulala kwangu ni kama anaamua yeye sasa, nyumbani si sehemu
naweza kutulia nikakaa vzr bila makelele .
Muziki unaopigwa hapa sio wa kistaarabu kabisa hivi saa kumi na moja asubuhi mtu una sikiliza ni sasa na sauti ya juu tena ,saa nane usiku hivi watu wasilale !!, sometimes anaweza kutuacha tulale saa 9 usiku ,lkn bado saa 1 asubh tena muziki ,kazi kweli ukimuona usoni mpole kama mpole vle.
Kuna siku nilishindwa kulala nikatoka nje nikakaa kwenye ngazi kama nusu saa hivi muziki muziki ,akatoka nje jirani umeamkaje!! rohoni nilijisemea pumbavu wewe maana nasikia jirani wenziwe washamwambia sana muziki sauti punguza lkn siku 4 ,5 analiwasha as if analipiza alikuwa mapumuzikoni .
Nikaona yanini acha ni save my energy lkn sasa ni shida kubwa sana muziki unaweza pigwa 3 to 5 hrs hivi kwl hapo ni kusikiliza tu ,sio fujo hizi??
Ni binti mzuri tu mrembo hajaolewa sometimes i think she is doing this for becouz of loneliness lkn mbona wenzie hawana family pia au umaskini tu lbd,ujue masikini furaha yake ni kujionesha , mbona ana hela tu vzr?? au kabila!! cjui kabila lake .
Au hasira zake anatolea kwenye vtu anavyomiliki?
Hadi sasa sielewi nihame kisa mtu 1 kweli !!, huko nitapoenda si waswahili wenzangu ni wale wale huko usikute nitakuta ni wanne na hizi kelele nazihimilije sasa ?? na mtu mwenyewe ndio huyooo .
Nyie mnaishije na watu design hii ??