mohammad_othar
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 247
- 42
Nilisoma thread moja ya successful loan applcants na nataka kuuliza kuhusu hizo hela za mkopo ni tunazipata chuo pale pale ? kila mmoja ? au inakuaje wana JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisoma thread moja ya successful loan applcants na nataka kuuliza kuhusu hizo hela za mkopo ni tunazipata chuo pale pale ? kila mmoja ? au inakuaje wana JF
Ukiripoti tu chuo, utapaswa kutoa akaunti namba ya benki yako, km huna utakuta huduma hizo za kufungua akaunti zipo kwa kila tawi mfano CRDB, NMB, NBC, AMANa, AKIBA, EXIM, BARCLAYS,
Nakushauri ufungue CRDB utainjoyi boom halichelewi ng'oo km matawi mengine, then utawekewa pesa yako ya meals and accomodation ya miezi miwili kwanza ambayo ni 450,000/ alafu stationary ni 200.000/ tuition fees inaingia akounti ya chuo direct wewe utapewa sheet tu ya kusaini kwamba tayari umepokea, pia km utaratibu wa kufungua akaunti utachelewa basi week ya pili baada ya kujisajili mnaeza kupewa dirushani kwa bursor wa chuo,
Hongera mkatanue na boom kwa kununua simu, subwoofer, laptop, na mengineyo mana hizp ndo anasa za wanavyuo, kweli kununua vitabu, au phitocopy sio kawaida yao kabisa.
So lazima niwe na account yangu mwenyewe ? Ya benki siwezi nikatumia ya mzazi ?