Kama umeshachepuka au kuzini kufikia tarehe ya leo tangu mwaka uanze jua tu wewe ni mzinzi

Kama umeshachepuka au kuzini kufikia tarehe ya leo tangu mwaka uanze jua tu wewe ni mzinzi

Trump kamgusu mwafrika sehemu mbaya.
Screenshot_20250130-152431~2.jpg
 
1- Nimepiga ka-Kerewe flani kanakusanya ushuru wa takataka

2- Nimepiga nmke wa dereva wa ambulance ya hospital ya mkoa

3- Nimepiga muimba kwaya huwa tunasali nae jumuiya

4- Nimetandika single maza mmoja jirani yetu

Mambo shega tu
 
1- Nimepiga ka-Kerewe flani kanakusanya ushuru wa takataka

2- Nimepiga nmke wa dereva wa ambulance ya hospital ya mkoa

3- Nimepiga muimba kwaya huwa tunasali nae jumuiya

4- Nimetandika single maza mmoja jirani yetu

Mambo shega tu
Makamo mwenyekiti wa chama cha wazinzi upooo
 
Kiufupi ni hivi mtu yoyote alietoa manii huu mwezi ni mzinzi hata kama ulienda hospitali kupima manii nawe ni walewale, hata kama zilitoka unaota tena wanaoota wanatakiwa wapigwe mboko!, maana hiyo ni sawa na ATM inayotoa fedha bila kadi nawao ni wazinzi tupu!.
 
Tunamaliza mwezi January 2025
Kama umechepuka,au umeshazini ndani ya siku hizi 30,wewe ni mzinzi pro,unahitaji maombi
Uzinzi ni dhambi kama zilivyo dhambi nyingine. Wakosefu wote wanahitaji toba. Uzuri kwetu sisi Wa kristo, msamaha WA dhambi upo Kwa Kila mtu, hakuna gharama maana mwamba Jesus alishalipa gharama.
 
Back
Top Bottom