Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Hahahha
Nakumbuka nikiwa na rafiki yangu tukitokea Dar kwenda Karagwe Buƙoɓa tuliamua kufikia guest moja katika mji wa Kahama tukakuta ndani kuna mashuka mapya mazuri na asubuhi tulikuwa tunaondoka saa 12.
Rafiki yangu (Apple) akanishawishi tukapita nayo sjui huko nyuma ilikuwaje tukagawana moja moja na foronya moja moja(Mungu atusamehe sitarudia tena)
Siku nyingine tumeenda hotel moja maarufu Dar tumebeba na pochi zetu kubwa tukapita na glass za wine lol Apple kwann lakini mpaka stiki jaman tukapita nazo.
Bila ƙusahau mapazia na tv ya flat screen tumeshapitia na Apple rafiki yangu sijui huko uliko Marekani usipoacha hiyo tabia, Mungu atakuzooom.
Najua walioiba stik za cafe na bar wapo wengiiiiii
Nakumbuka nikiwa na rafiki yangu tukitokea Dar kwenda Karagwe Buƙoɓa tuliamua kufikia guest moja katika mji wa Kahama tukakuta ndani kuna mashuka mapya mazuri na asubuhi tulikuwa tunaondoka saa 12.
Rafiki yangu (Apple) akanishawishi tukapita nayo sjui huko nyuma ilikuwaje tukagawana moja moja na foronya moja moja(Mungu atusamehe sitarudia tena)
Siku nyingine tumeenda hotel moja maarufu Dar tumebeba na pochi zetu kubwa tukapita na glass za wine lol Apple kwann lakini mpaka stiki jaman tukapita nazo.
Bila ƙusahau mapazia na tv ya flat screen tumeshapitia na Apple rafiki yangu sijui huko uliko Marekani usipoacha hiyo tabia, Mungu atakuzooom.
Najua walioiba stik za cafe na bar wapo wengiiiiii