Kama umewahi kunywa dozi ya siku kadhaa kwa siku moja ili kuwahi gambe tukutane hapa

Kama umewahi kunywa dozi ya siku kadhaa kwa siku moja ili kuwahi gambe tukutane hapa

Aliekupa dawa hakukushauri vzr, asilimia kubwa ya dawa ikiwemo hyo azithromycin hazina interaction na pombe.

Na kwa ugonjwa uliokua unaumwa unaoption nyingi sana za dawa ukiweka wazi kama umnywaji mzuri wa gambe utatibiwa kwa dawa ambayo inaruhusu kulewa bila zengwe zipo nying mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2014 usiku niko hoi afu asubuhi yake ilitakiwa tuwahi kwayani..kwaya yetu ndio ilikua imepangwa mbele kabisa kwenye sherehe ya kumpokea Mwasham Askofu joseph mlola jimboni kwetu.

Nikamuomba mama dawa akanipa Diclopar nikanywa zote bila paracetamol na usiku sikula ajiki sina hamu. Asubuhi naamka Mama ananiambia mbona paracetamol bado zipo nikasema sikuziona hapo nishavaa sare zangu nawahi kanisani. Mama aliogopa sana akasema mwanangu una damu imara Hukula na hukumeza paracetamol na umeamka vizuri! Ila nilikua nasikia kizungu zungu kiasi. Nilikula saa 8 siku hiyo ulimi umenitoka kwa njaa
 
2014 usiku niko hoi afu asubuhi yake ilitakiwa tuwahi kwayani..kwaya yetu ndio ilikua imepangwa mbele kabisa kwenye sherehe ya kumpokea Mwasham Askofu joseph mlola jimboni kwetu.

Nikamuomba mama dawa akanipa Diclopar nikanywa zote bila paracetamol na usiku sikula ajiki sina hamu. Asubuhi naamka Mama ananiambia mbona paracetamol bado zipo nikasema sikuziona hapo nishavaa sare zangu nawahi kanisani. Mama aliogopa sana akasema mwanangu una damu imara Hukula na hukumeza paracetamol na umeamka vizuri! Ila nilikua nasikia kizungu zungu kiasi. Nilikula saa 8 siku hiyo ulimi umenitoka kwa njaa

Samahani mkuu. Ila Diclopar ni mix ya PCM na DICLOFENAC. Sasa hapo ulipokunywa Diclopar bila paracetamol sijakusoma..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom