Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
Nyota yako ww mpokeaji haswa wale wasiona na imani imara.
Mshukuru sana M/Mungu kwa kipawa hicho. Amini umejaaliwa nguvu ya kipekee ktk ulimwengu wa roho. Ni watu wachache hupewa kwa ajili ya kuwasaidia wengine wanaoteswa na wazee wa shughuli za giza.Ina nitokea sana
Kaka hii uko sahihi napitia mambo magumu sana ilo la pombe ni kweliMshukuru sana M/Mungu kwa kipawa hicho. Amini umejaaliwa nguvu ya kipekee ktk ulimwengu wa roho. Ni watu wachache hupewa kwa ajili ya kuwasaidia wengine wanaoteswa na wazee wa shughuli za giza.
Ila tatizo wengi bila kujua wana uwezo huu wanakuwa walevi na wazinzi na mambo mengine ya kumchukiza Mungu na malaika hivyo huwafanya malaika wakimbie na kuwarahisishia mawakala wa shetani kuwatumia.
Watu wa aina yako ndo watu ambao wanatafutwa sanaa na wazee wa kutumia nguvu hasi kama vile kutafuta utajiri,uchawi na mengine maana nyota zao zinakuwa na nguvu ya kipekee sanaa..
Oky pole sana mkuu mimi nimepitia magumu kwa miaka mingi sanaa na ndo hapo nikajikuta najifunza mambo mengi sanaa kuhusu Ulimwengu na Walimwengu, ila Mungu na malaika walikuwa wakinipigania kwa kweli.Hata ww kama mpaka sasa hujafa unayo nafasi, kama waweza jitahidi uache pombe halafu uwe mtu wa kusaidia wenye shida(namaanisha wenye shida za kweli) kila uwezapo, jitahidi katika maombi ya manuizi.(unaweza wiki nzima ukanuia kuomba na kusali kwa ajili ya jambo fulani) amini utaona matokeo chanya.Kaka hii uko sahihi napitia mambo magumu sana ilo la pombe ni kweli
Asante nita kufuuta inboxOky pole sana mkuu mimi nimepitia magumu kwa miaka mingi sanaa na ndo hapo nikajikuta najifunza mambo mengi sanaa kuhusu Ulimwengu na Walimwengu, ila Mungu na malaika walikuwa wakinipigania kwa kweli.Hata ww kama mpaka sasa hujafa unayo nafasi, kama waweza jitahidi uache pombe halafu uwe mtu wa kusaidia wenye shida(namaanisha wenye shida za kweli) kila uwezapo, jitahidi katika maombi ya manuizi.(unaweza wiki nzima ukanuia kuomba na kusali kwa ajili ya jambo fulani) amini utaona matokeo chanya.
Ushaachia kisa mkuu?mi ninafanya biashara lakin sijazindika kitu siku hizi pesa zinapotea hata niesabu mara ngapi na hata nifiche wapi zinapungua mara ya mwisho nimeweka kwenye sansuku halafu nikafunga na kufuli lakin nimekuta 60 hakuna.Kajumanne amaizing hivi hakuna karaha wala nini. Kama kawaida yangu hupenda kufukua mambo yasiyopendwa kuongelewa sana humu ila ndo yanayofanyika sana kwenye jamii zetu.
Hayo ni maneno ya watu wengi I mean maneno ya mtaani na watu kuhusu suala la kujizindika au kuzindika biashara.
- Je, umejizindika? Una kinga ya kutosha maana yule jamaa sio mchezo.
- Hii gari ukiiba utarudisha mwenyewe
- Mimi atakayejaribu kuniroga aandae kaburi tu, mimi sijaribiwi kabisa. Kwetu nimeaga ukijaribu unakwenda na maji.
- Ninalindwa na mizimu atakayejaribu atashindwa hapa vinadunda tu.
- Hii biashara yangu watu waliichezea sana nilipozindika tu sahv biashara inaenda vizuri mwanzo hela zilikua zinapotea tu dukani.
- Nimezindika biashara yangu dhidi ya chumaulete. Sasa na wewe utafanyaje biashara kienyeji enyeji tu hapa mjini bila kuizindika na wewe? Unawajua waswahili wewe au unawasikia? Siri ya mafanikio biashara lazima uzizindike bila hivyo hakuna utakachokifanya.
Swali kwa wewe mwanaJF mwenzangu:
Je na wewe umejizindika? Au unaishi kienyeji kama mimi tu? Tuseme ukweli!
Je, nyie wenye biashara humu tusaidianeje? Umezindika biashara yako hapa mjini?
Je, dhana ya kuzindika biashara ipo?
Usipozindika biashara je?
Je, ni kweli biashara hapa mjini bila hata kamzizi au jani haziendi?
Ushawahi kuexprince nini kuhusu haya mambo?
Nitakuja kuwapa kisa kimoja hivi soon.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa alinihadithia mama yake alikuwa mtu wa dini sana na alikuwa anarogwa ila yeye ni mshirikina kuna dawa alipewa na mganga ndo alienda kwa huyo mama anaemroga mama yake kumkanya amwache mama yake yeye anajua anachomfanyia mama yake,yule mchawi kweli akaomba msamaha na yule mama ake akapona maradhi yanayomsumbua,ila hakumwambia mwenyewe anajua yesu kamponya.Ni kweli, ukiwa na imani Kali sana , na usiwe na dhambi , ila ushirikina una nguvu sana
Usichukulie poa nguvu za giza , Mimi nimejionea nyie mnasikia tu kwa watu[emoji16]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna mshkaji alipewa na shart lilikuwa hilo akifanya mapenzi aivue yake ilikuwa kacha zile za shingoni na alale ikifika saa6 usiku hata akiwa safarini au porini alale tu anakwambia alikuwa anaona matukio yote ya kesho yake anakuwa kama anaerudia tu kila kitu,anasema alipiga sana hela ila siku hizi yuko road tu kama chinga anaunga unga ila amejenga na ana mashamba,alijisahau akafanya mapenzi kakivaa kikayeyuka.anachojialaum ni kwamba aliambiwa anaweza kupata chochote anachotaka lakin yeye alikuwa bado yank kwaiyo hakuwaza kupata vikubwa yani hata angetaka kwenda ulaya angefika,yeye alikuwa hajui hawazi ivyo,na hakuna mchawi aliweza kumsogelea hii dunia acha tu ndo aliweza kuona mama yake akiwa mkoani anarogwa na jirani yake yeye akiwa dar akaenda akamaliza tatizo.Dah unajua kuna vitu ndugu yangu si rahisi kuvikwepa kwa mfano sharti nililokosea mie kama ingekuwa sasa hivi ingekuwa rahisi kulidhibit mana angalau nimekua sasa sharti kubwa nilijisahau kuwa ukifanya mapenzi na mwanamke uhakikishe usiiguse ile azima mpk siku saba sasa dah ikawa bahati mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Week iliyopita nimejilalia zangu..Kuna muda nikastuka nikaingia jf usiku wa manane nikachat weeh..muda wangu wa kusali ukawa umefika nikajisemesha sisali leo ngoja nilale..nikazima tochi ya simu nikaweka simu pembeni nikasikia sauti dirishani imeita jina langu Mara 3..weweee..nilipatwa na joto la ghafla nikatoa sonyo huyo nikalala zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bibi yako aliwachukaJaman Mimi kuna ndugu zangu wamekufa lakin kipind cha nyuma nilikua nawaona wamevaa nguo nyeupe wanazunguka ndaniq itakua ni nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hili zuio la kutopiga show ndo wengi limewafelisha, yaani ukikutana na watu walioshiriki hizi mambo unakuta anguko lake lilisababishwa na papuchi dah hii kitu hii mimi sijui tuu inamatatizo gani aisee.Kuna mshkaji alipewa na shart lilikuwa hilo akifanya mapenzi aivue yake ilikuwa kacha zile za shingoni na alale ikifika saa6 usiku hata akiwa safarini au porini alale tu anakwambia alikuwa anaona matukio yote ya kesho yake anakuwa kama anaerudia tu kila kitu,anasema alipiga sana hela ila siku hizi yuko road tu kama chinga anaunga unga ila amejenga na ana mashamba,alijisahau akafanya mapenzi kakivaa kikayeyuka.anachojialaum ni kwamba aliambiwa anaweza kupata chochote anachotaka lakin yeye alikuwa bado yank kwaiyo hakuwaza kupata vikubwa yani hata angetaka kwenda ulaya angefika,yeye alikuwa hajui hawazi ivyo,na hakuna mchawi aliweza kumsogelea hii dunia acha tu ndo aliweza kuona mama yake akiwa mkoani anarogwa na jirani yake yeye akiwa dar akaenda akamaliza tatizo.
Kuna jamaa alinihadithia mama yake alikuwa mtu wa dini sana na alikuwa anarogwa ila yeye ni mshirikina kuna dawa alipewa na mganga ndo alienda kwa huyo mama anaemroga mama yake kumkanya amwache mama yake yeye anajua anachomfanyia mama yake,yule mchawi kweli akaomba msamaha na yule mama ake akapona maradhi yanayomsumbua,ila hakumwambia mwenyewe anajua yesu kamponya.
Huyo alikuwa anawangiwa mkuu, usimpongeze, muhurumie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kiimani ni watu wachache sanaa katika huu ulimwengu wenye uwezo wa kuzaliwa kama wako, hii ni karama adimu sana ambayo M/Mungu huwajaalia waja wake ili kujidhihirisha na wasioamini waamini ya kamba yupo na anatenda.
Si watu woote hupata bahati ya kupata ujumbe kupitia malaika kama ilivyo ww na ndo wengi wanateswa sanaa na wale waovu.
Aliyekuwa akipambana ni malaika wako kukuokoa maana ulikuwa kwenye mchakato wa kuingizwa kwenye kazi maalumu. Mshukuru Mungu mkuu kwa kipawa alichokujaalia watu aina yako hata wakifanya sala kwa ajili ya wengine hufanikiwa kwa haraka kupata majibu