Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Naona umeshindwa kabisa kuvumilia?
Siku moja kulikuwa na msiba mganga mmoja alifariki. Alikuwa mganga na mchawi mashuhuri. Sasa waru wakawa wanaingia wachawi wenzake na waganga wezake. Mzee mmoja akaja akawakuta wengine wanakunywa pombe kwa mirija akafika akavua koti lake chafuchafu hivi akatundika hewani lika ninginia, mwingina akaja akakaa hewani hajagusa chini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku moja kulikuwa na msiba mganga mmoja alifariki. Alikuwa mganga na mchawi mashuhuri. Sasa waru wakawa wanaingia wachawi wenzake na waganga wezake. Mzee mmoja akaja akawakuta wengine wanakunywa pombe kwa mirija akafika akavua koti lake chafuchafu hivi akatundika hewani lika ninginia, mwingina akaja akakaa hewani hajagusa chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah nmesoma sana ngoja na mimi ntoe kisa kilichosababisha niape kuwa sitakwenda kwa mganga tena kwenye maisha yangu.

ilikuwa 2002,tunatoka dar tunakwenda mkoa wa kigoma kwa wanojua bara bara enzi hizo wanajua ni jinsi gani kulikuwa na majambazi hasa ndani ya mapori ya Tabora,bahati haikuwa yetu mida ya saa 5 usiku wakati tupo road tukakuta bara bara imewekwa bonge la gogo mzee akataka kujitahid aligeuze ghafla walitokea watu wamebeba bunduki ndo kwa mara yangu ya kwanza kuone mtu kashka bunduki huku kajizungushia mkanda wa risasi mwilini bro wangu ile kuwaona tu akakata moto tuliokuwa hatujazmia tulikuwa watatu 3 mimi mzee na bimkubwa.

Tulichezea sana vitasa mzee alidhalilika mno mwisho wa siku walichukua mpka viatu nakumbuka viatu vyangu vya kitoto vya kuwaka taa,then wakaondoka mpka na gari tulikaa pale mpka saa 11 ndo tukapata msaada tukaenda polisi but hawakuwa na msaada mzee akapiga simu kigoma ikatumwa nauli tukaenda moja kwa moja mpka kwa baba yake(means babu),sasa babu yeye kila alivyokuwa anahadithiwa alikuwa anacheka mno hasa akimuangalia bro na ujanja wake ote et kazimia,upande wa baba yeye alikuwa na hasira mno alichokuwa anataka yeye ni wale watu awashikishe adabu hata kufa wafe basi ilivyofika usiku tukaelekea sehemu fulani inaitwa ujiji kwa mzee fulani alikuwa anaitwa juma njemba.

Nadhani kwa watu wa kigoma wanaweza kuwa wanamjua,akaelezewa kila kitu akasema hicho ni kitu kidogo sana,huku na yeye anacheka kisha akasema kuwa pale kwake kuna mbuzi alimchinja sababu ya sherwhe ya mwanae hvyo itatubidi tumtafutie mbuzi mwengne amreplace ili iwe kama malipo yake baba akakubali,kilichofata akawaita wajukuu zake walete (ubumba) ni udongo fulani hivi wa mfinyanzi kisha akawa anatengeneza kimdoli kidogo cha udongo kama vile vya kitoto toto,baada ya kukitengeneza akaanza kukiandika maneno yake kisha akakisimamisha chini,then akaanza kuongea maneno yake aliongea sana baada kama ya saa 1 akasema mtu yoyote ndani ya hichi chumba haruhusiwi kukimbia wala kupiga kelele kwani kwa kufanya hivyo ndo itakuwa kifo chake.

Basi aliendele kusema maneno yake ghafla yule mdoli pole pole alianza kukua na kuwa mkubwa pole pole,baada kama ya dakika arobaini alikuwa ni mkubwa kama binadamu mwenye mwili mkubwa alikuwa anamkono na kifua kikubwa na mrefu,kwa mara ya pili bro tena akazimia kwa mara ya pili mim mkojo ulishantoka natetemeka kama nmepatwa na dege dege,mwisho yule mdoli akaambiwa shtaka letu kisha akaambiwa nenda hivi vitu vinatakiwa leo leo,theb yule mtu akafungua mlango akatoka mbio alikuwa ni mwanaume lakini yupo uchi na ni mweusi tii kama mkaa mpka macho hakuwa na ichi kiini cheupe ye alikuwa na kiini cha moja kwa moja cha weusi,alivyoondoka tukaanza kumpepea na kumwagia maji bro alivyoshtuka yule mzee akatuambia kazi imeshakwisha kesho mtayapata majibu yenu.


Ilivyofika asubuhi tukapigiwa simu nakumbuka enzi hizo kulikuwa kuna buzz siyo hii tigo na hata simu zilikuwa za mezani,tukaambiwa kuwa kuna gari imepatikana Tabora yenye namba kama tuliyoripoti pamoja na vitu vingine,tukaanza safari na treni mpka tabora kufika kule tukakuta vitu vyetu na vingne vingi tu ila mzee alisema vyote vilikuwa vyetu hela zilikuwa kama 1m lakini zilipatikana 7m polisi hawakuchukua hata cent na hata walivyopewa walikataa kata kata hakikupotea hata kifungo kisha baada ya kuchukua tukaambiwa kuwa hao majambazi waliotuibia walikutwa msituni wakiwa wameuwawa wakasema wanahisi ni wanyama wakali ndo waliwauwa maana walikuwa wanaalama za meno makali milini mwao na kucha.

lakini wakashndwa kuelewa kama ni wanyama ndo waliwashambulia ni wanyama aina gani na kwanini hawakuwapiga hata risasi moja hao wanyama na wakati walikuwa na silaha nzito?Baada ya maelezo mengi mzee akawasha gari mpka kigoma stend ya kwanza mpka kwa yule mganga tulinunua mbuzi na zawadi nyingne nying lakini mzee aligoma hakutaka chochote zaidi ya mbuzi tu,basi tukampka mbuzi wake, akasema imebaki kazi moja tu na kazi yenyewe ni kumrudisha yule kiumbe(mdoli mtu)ili asitudhuru na sisi maana ni wetu hapo mdipo ilipokuwa mtihani maana kuna msharti mengi tulikosea plus kujisahau sasa akawa anatuandama sisi atuue dah kila mmoja nyumbani anaalama ya yule kiumbe yangu ni kungatwa skio na kula kipande nikipata mda ntawamalizia kisa changu but mpka leo mimi kwenda kwa waganga ni big no,but thanks god tulitoka salama


picha ya nilipongatwa kwenye skio ambyo ni alama ambayo sitaweza isahau mpka kifo

Sent using Jamii Forums mobile app
wengi walinitafuta na kutaka kuwaelezea ni kipi hasa kilitokea hasa baada ya kupata vitu vyetu na wapo walonibeza mpka nikafikia hatua ya kuwaonyesha evidence. Mtanisamehe kwa kuwa siyo mzuri sana kwenye uandishi

NAMALIZIA,

Nakumbuka baada ya kuchukua vitu vyetu vyote pale polisi na vingine vilikuwa siyo vyetu but tulipewa vyote na nahisi polisi walitupa vile sababu,baada ya kupata vile vitu vyetu pamoja na zile fedha kuna baadhi walitaka kuchukua lakini kuna mambo yalitokea hivyo wakaone vile vitu vilikuwa siyo vya kawaida hivyo walitupigia sana simu nakumbuka simu ilikuwa inapigwa kila baada ya dakika tano,na la mwisho nakumbuka hata ticket ya treni hatukukata bali tulipanda treni bure second class(ni chumba ndani ya behewa mnakaa na kunakuwa na vitanda)

Nakumbuka tuliingia jioni ilikuwa mida ya saa jioni nakumbuka wakati huo kupata ticket ilikuwa ni ngumu mno,tulivyofika tu Stesheni tukapokelewa na polisi kisha msafara ukaanza mpka polisi ambapo tukakutana na mkuu wa pale nakumbuka tulikuta vitu vingi sana lakini tulichoambiwa ni chukueni kila kilicho chenu, tulikuta mpka hizo fedha tukasema zetu wakatupa bila kuuliza na kingine cha ajabu siku ya pili asubuhi tukapewa escort na polisi gari mbili moja mbele moja nyuma mpka tunaingia kigoma mjini.

wakati tupo njiani mzee alijaribu kumuuliza askari mmoja tuliyekuwa nae ndani ya gari inakuwaje mbona mnatufanyia yote haya haliyakuwa mlipaswa kutukabidhi na kutuacha tuondoke? jamaa ndo akatoa mkasa mzima.

kuwa siku moja baada ya lile tukio kutokea walipata simu,kuwa kuna watu wanaohisiwa majambazi wameuliwa na wanyama,kila mtu akawa anasema la kwake wengine simba,wengine chui,basi baada ya kupata hyo case wakaamua wawapigie watu wa maliasili ili waende kwa pamoja lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika eneo la tukio,wakakuta miili imetapakaa sehemu yote ya porini mingine ikiwa haina mikono, miguu nk,lakini kitu cha ajabu waliwakuta wakiwa na silaha zaidi ya 15,lakini haikutumika silaha risasi hata moja.

wale majambazi pale lilipotokea tukio lile kulikuwa jirani kabisa na kambi yao ambapo ndipo walipokuwa wanaficha mali zote baada ya kuibia watu kwenye mabasi hvyo mali zilikuwa za kutosha pale hivyo ilikuwa unaweza kichukulia hvyo unaweza kupata picha kama binadam unaweza kufanya nini?

basi kuna baadhi wali...............,sasa kuna mambo yaliwatokea mazito sitapenda kuyasema kwaiyo kilichotokea ili usalama na uzima uwepo ilibidi wenyewe tukabidhiwe mizigo yetu yote na sharti la mwsho ni kwamba ni lazma tufikishwe kigoma mjini salama la sivyo .............,

Tulivyokifka kigoma ujiji ile gari ya mbele ilisimama nakumbuka ni zile difenda 110 nyeupe akashuka askari na wengine ote wakashuka kisha akatuambia jamani sisi safari yetu ndo imeishia hapa muende salama tukaagana pale lakini walikuwa wanatushangaa sana na hofu za wazi wazi na sisi tuliliona hilo sababu tulikuwa tumeshaambiwa nini kilichotokea.

Tukawasha gari mpka sokoni ambapo tulinunua mbuzi mzuri pamoja na zawadi zingine baba akasema lazima kituo cha kwanza twende kwa mzee juma njemba kumpa zawadi zake na shukrani zake,tulivyofika tukamkuta ameenda sokoni basi alivyofika akatuambia kuwa kila mlichopewa ni cha kwenu basi tukampa yule mbuzi japo hela na zawadi nyingine aligoma kupokea ila furaha ikapotea alipotuambia kuwa kile kiumbe ni cha kwenu na nyinyi ndo mtatumika kama mlivyotumika kukileta.

Ninachokumbuka ni mzee aliingia kwenye mfuko uliokuwa na zile fedha zote akampa yule mzee ili hilo swala alishughulikie yeye mwenyewe,mzee aligoma kata kata nachokumbuka ni chozi tu lilinitoka hasa baada ya kuambiwa kuwa kile kiumbe kama kitaendelea kuwepo bila kurudishwa kilipotokea basi kitaturudia wenyewe tukiisha kitaingia kwenye ukoo mzima kitamaliza na hata mkoa mzima.

Basi tukaambiwa kuwa ili kile kiumbe kiweze kurudishwa ni wahusika wakuu tutoe zawadi ya damu yah damu,tukauliza dawa gani mganga akatuambia kila mmoja anatakiwa atoe damu yake kidogo,lakini damu hiyo apatikane mbuzi au kondoo au ngombe then kila mmoja atoe damu hiyo kwa atavyojua yeye then hyo damu ichanganywe na apakwe mnyama huyo mwili mzima then mganga atatupatia maelezo nini cha kufanya,

Basi siku hyo mzee aliomba hilo swala tulifanye kesho,maana kwa leo ni ngumu ukizingatia tumechelewa na safari ndefu mganga akakubali ila ajasema hakikisheni mnafanya haraka sana kwani mwenye uwezo wa kukirudisha hicho kiumbe ni mimi na nyinyi mlioingia kwenye hilo agano maana anayeijua kesho ni mungu,sisi hao tukaondoka.

Tumefika zetu nyumbani ilikuwa ni kama kinisherehe kidogo bimkubwa alikuwa amepika msosi wa kutosha nakumbuka ilikuwa pilau mbuzi na vinywaji maana waliitwa mpka watoto wa mtaani kula siku hiyo ikapita.

siku ya pili ilivyofika nikamkumbushia broo kuhusu kwenda kumaliza ile kazi kwa mganga bro akanambia kausha na mimi nae nkasema ngoja nikaushe kwani mambo yameshakwisha, ilivyofika usiku ndo bimkubwa akatukumbusha jana mlinambia kuwa leo mnatakuwa kwenda kumaliza ile kazi mbona hamjaenda?kumbe mzee nae alikuwa anakumbuka ila akajikausha kimya kuambiwa ndo akajifanya kuzinduka,akamwambia mama bwana e hayo sisi tumeshayamaliza tutaenda hata week ijayo,bimkubwa aliongea sana ila ote tukamuona kama anapiga kelele tu.

nakumbuka tulikaa sana kwa raha nadhani unaweza kujua 7m ilikuwa inathamani gani miaka hyo,kwani mzee akitupa kila mtu laki 1 nilikuwa don mtaani naweza kwenda dukani nikanunua creti zima la soda dah ujana huu.


Kasheshe ilianza siku ya tatu,tumetoka kule mida kama ya saa 3 usiku,tunaingia zetu kulala ghafla ikapiga radi ambayo sikuwahi kuiskia toka siku ile mpka leo,baada ya kama dakika 5 tukasikia kishindo kikubwa sana juu ya bati ghafla ikawa kama mtu anakimbia juu ya bati letu,hali hiyo ilidumu kama dakika 10 nzima,ikafuatia sauti ya ngombe zizini kupiga sana kelele kutokana na kutokukutana na masuala ya kishirikina nikatoka nikafungua geti ilikwenda kuona kulikoni(kunifanya shujaa)ila kabla sijatoka nje kabisa nikatoa sura sasa ile nmetoa kichwa nje nachungulia ile kurudisha kichwa ndani lilikuwa limebakia skio nje niliskia kitu kama kisu kinakata skio kwa kasi ya ajabu mnoo alafu nkaishia kuona kivuli tu.

Nilipata maumivu ambayo makali mno,mzee alitoka ndani mbio japo walikuwa wanaogopa kuangalia skio linaruka damu nikahudumiwa nikakimbizwa mawezi hospital nilishonnwa nyuzi zaidi ya 12 lakini donda lilikuwa na alama kama nmengatwa na mbwa vile au mnyama mkali.nikabaki hospitali mpka asubuhi.

asubuhi mzee akaenda kwa mganga,bahati wakamkuta mke mtu lakini cha kusikitisha ni kwamba mganga alienda Kaleni (kuna kiongozi fulani alienda kumtibu) dah mzee alipagawa ndo akaanza kumuekezea kilichotokea mke mtu akamwambia tu ukweli yani hapo mwanako ilikuwa anatolewa shingo ni mungu tu,mimi cha kufanya sina msubirini mpka mwenyewe arudi kwa maana siku 3 mpka 4 mbele. kumbuka toka watu wanipeleke hospitali mda ule mpka sasa wako kwa mganga hakuna aliyerudi nyumbani.

basi mzee akakubaliana na mke wa mganga basi wakarudi nyumbani sasa wakati wanafungua geti wakawa wanasikia harufu kali ya damu na uozo,wakawa wanafuata damu iliyokuwa imetapakaa pale uani ambayo usiku wa jana haikuonekana wakaifata mpaka zizini walichokiona kilikuwa ni gombe mmoja yani alikuwa ameraluliwa mwili ote yani kama vile mtu alikuwa na panga alafu akamkata kata vipande vipande.basi wakasafisha pale na baadhi ya vipande vikazikwa,jioni nikaruhusiwa nikarudi nyumbani.

naomba niweke nukta hapa but naahid kuimalizia tulipata mitihani mingi mpka kuamua kwenda congo kumfata mganga huko huko ambako,tulikutana na viongozi wazito mno,ambao sitopenda kuwataja lakini la mwisho ni tulivyonusurika kuliwa nyama ndio nyama tena na watu wenzetu ntawasimulia vyote na jinsi gani tulivyoponea kutoka kwenye tundu la sindano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilitokeapo kisa kimoja cha wahuni wa Kigogo walipokwenda kwa Babu kutafuta utajiri, wahuni hawa walipofika kwa mganga na kuwaelezea kusudio lao ni kuwa matajiri, Basi Babu akawapa mayai mawili akiwaambia mkifika makwenu kila mmoja atavunja yai Hilo wakati akitamka kitu anachokitaka.

Basi wahuni wale wakafunga safari kurejea makwao, walipokua njiani mmoja wa wahuni wale akateleza na yai likiwa linaelekea kuanguka chini akatamka KU*A, Basi unaambiwa K zikamjaa mwili mzima hadi usoni (tena zenye nywele zake) muhuni wa pili kuona mwenzie kaadhirika ikabidi avunje yai lake huku akitamka mateno haya KU*A futika kwa msela wangu basi zile K zikafutika na ndoto za utajiri nazo zikafutika pia.

Usiku morooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wengi walinitafuta na kutaka kuwaelezea ni kipi hasa kilitokea hasa baada ya kupata vitu vyetu na wapo walonibeza mpka nikafikia hatua ya kuwaonyesha evidence. Mtanisamehe kwa kuwa siyo mzuri sana kwenye uandishi

NAMALIZIA,

Nakumbuka baada ya kuchukua vitu vyetu vyote pale polisi na vingine vilikuwa siyo vyetu but tulipewa vyote na nahisi polisi walitupa vile sababu,baada ya kupata vile vitu vyetu pamoja na zile fedha kuna baadhi walitaka kuchukua lakini kuna mambo yalitokea hivyo wakaone vile vitu vilikuwa siyo vya kawaida hivyo walitupigia sana simu nakumbuka simu ilikuwa inapigwa kila baada ya dakika tano,na la mwisho nakumbuka hata ticket ya treni hatukukata bali tulipanda treni bure second class(ni chumba ndani ya behewa mnakaa na kunakuwa na vitanda)

Nakumbuka tuliingia jioni ilikuwa mida ya saa jioni nakumbuka wakati huo kupata ticket ilikuwa ni ngumu mno,tulivyofika tu Stesheni tukapokelewa na polisi kisha msafara ukaanza mpka polisi ambapo tukakutana na mkuu wa pale nakumbuka tulikuta vitu vingi sana lakini tulichoambiwa ni chukueni kila kilicho chenu, tulikuta mpka hizo fedha tukasema zetu wakatupa bila kuuliza na kingine cha ajabu siku ya pili asubuhi tukapewa escort na polisi gari mbili moja mbele moja nyuma mpka tunaingia kigoma mjini.

wakati tupo njiani mzee alijaribu kumuuliza askari mmoja tuliyekuwa nae ndani ya gari inakuwaje mbona mnatufanyia yote haya haliyakuwa mlipaswa kutukabidhi na kutuacha tuondoke? jamaa ndo akatoa mkasa mzima.

kuwa siku moja baada ya lile tukio kutokea walipata simu,kuwa kuna watu wanaohisiwa majambazi wameuliwa na wanyama,kila mtu akawa anasema la kwake wengine simba,wengine chui,basi baada ya kupata hyo case wakaamua wawapigie watu wa maliasili ili waende kwa pamoja lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika eneo la tukio,wakakuta miili imetapakaa sehemu yote ya porini mingine ikiwa haina mikono, miguu nk,lakini kitu cha ajabu waliwakuta wakiwa na silaha zaidi ya 15,lakini haikutumika silaha risasi hata moja.

wale majambazi pale lilipotokea tukio lile kulikuwa jirani kabisa na kambi yao ambapo ndipo walipokuwa wanaficha mali zote baada ya kuibia watu kwenye mabasi hvyo mali zilikuwa za kutosha pale hivyo ilikuwa unaweza kichukulia hvyo unaweza kupata picha kama binadam unaweza kufanya nini?

basi kuna baadhi wali...............,sasa kuna mambo yaliwatokea mazito sitapenda kuyasema kwaiyo kilichotokea ili usalama na uzima uwepo ilibidi wenyewe tukabidhiwe mizigo yetu yote na sharti la mwsho ni kwamba ni lazma tufikishwe kigoma mjini salama la sivyo .............,

Tulivyokifka kigoma ujiji ile gari ya mbele ilisimama nakumbuka ni zile difenda 110 nyeupe akashuka askari na wengine ote wakashuka kisha akatuambia jamani sisi safari yetu ndo imeishia hapa muende salama tukaagana pale lakini walikuwa wanatushangaa sana na hofu za wazi wazi na sisi tuliliona hilo sababu tulikuwa tumeshaambiwa nini kilichotokea.

Tukawasha gari mpka sokoni ambapo tulinunua mbuzi mzuri pamoja na zawadi zingine baba akasema lazima kituo cha kwanza twende kwa mzee juma njemba kumpa zawadi zake na shukrani zake,tulivyofika tukamkuta ameenda sokoni basi alivyofika akatuambia kuwa kila mlichopewa ni cha kwenu basi tukampa yule mbuzi japo hela na zawadi nyingine aligoma kupokea ila furaha ikapotea alipotuambia kuwa kile kiumbe ni cha kwenu na nyinyi ndo mtatumika kama mlivyotumika kukileta.

Ninachokumbuka ni mzee aliingia kwenye mfuko uliokuwa na zile fedha zote akampa yule mzee ili hilo swala alishughulikie yeye mwenyewe,mzee aligoma kata kata nachokumbuka ni chozi tu lilinitoka hasa baada ya kuambiwa kuwa kile kiumbe kama kitaendelea kuwepo bila kurudishwa kilipotokea basi kitaturudia wenyewe tukiisha kitaingia kwenye ukoo mzima kitamaliza na hata mkoa mzima.

Basi tukaambiwa kuwa ili kile kiumbe kiweze kurudishwa ni wahusika wakuu tutoe zawadi ya damu yah damu,tukauliza dawa gani mganga akatuambia kila mmoja anatakiwa atoe damu yake kidogo,lakini damu hiyo apatikane mbuzi au kondoo au ngombe then kila mmoja atoe damu hiyo kwa atavyojua yeye then hyo damu ichanganywe na apakwe mnyama huyo mwili mzima then mganga atatupatia maelezo nini cha kufanya,

Basi siku hyo mzee aliomba hilo swala tulifanye kesho,maana kwa leo ni ngumu ukizingatia tumechelewa na safari ndefu mganga akakubali ila ajasema hakikisheni mnafanya haraka sana kwani mwenye uwezo wa kukirudisha hicho kiumbe ni mimi na nyinyi mlioingia kwenye hilo agano maana anayeijua kesho ni mungu,sisi hao tukaondoka.

Tumefika zetu nyumbani ilikuwa ni kama kinisherehe kidogo bimkubwa alikuwa amepika msosi wa kutosha nakumbuka ilikuwa pilau mbuzi na vinywaji maana waliitwa mpka watoto wa mtaani kula siku hiyo ikapita.

siku ya pili ilivyofika nikamkumbushia broo kuhusu kwenda kumaliza ile kazi kwa mganga bro akanambia kausha na mimi nae nkasema ngoja nikaushe kwani mambo yameshakwisha, ilivyofika usiku ndo bimkubwa akatukumbusha jana mlinambia kuwa leo mnatakuwa kwenda kumaliza ile kazi mbona hamjaenda?kumbe mzee nae alikuwa anakumbuka ila akajikausha kimya kuambiwa ndo akajifanya kuzinduka,akamwambia mama bwana e hayo sisi tumeshayamaliza tutaenda hata week ijayo,bimkubwa aliongea sana ila ote tukamuona kama anapiga kelele tu.

nakumbuka tulikaa sana kwa raha nadhani unaweza kujua 7m ilikuwa inathamani gani miaka hyo,kwani mzee akitupa kila mtu laki 1 nilikuwa don mtaani naweza kwenda dukani nikanunua creti zima la soda dah ujana huu.


Kasheshe ilianza siku ya tatu,tumetoka kule mida kama ya saa 3 usiku,tunaingia zetu kulala ghafla ikapiga radi ambayo sikuwahi kuiskia toka siku ile mpka leo,baada ya kama dakika 5 tukasikia kishindo kikubwa sana juu ya bati ghafla ikawa kama mtu anakimbia juu ya bati letu,hali hiyo ilidumu kama dakika 10 nzima,ikafuatia sauti ya ngombe zizini kupiga sana kelele kutokana na kutokukutana na masuala ya kishirikina nikatoka nikafungua geti ilikwenda kuona kulikoni(kunifanya shujaa)ila kabla sijatoka nje kabisa nikatoa sura sasa ile nmetoa kichwa nje nachungulia ile kurudisha kichwa ndani lilikuwa limebakia skio nje niliskia kitu kama kisu kinakata skio kwa kasi ya ajabu mnoo alafu nkaishia kuona kivuli tu.

Nilipata maumivu ambayo makali mno,mzee alitoka ndani mbio japo walikuwa wanaogopa kuangalia skio linaruka damu nikahudumiwa nikakimbizwa mawezi hospital nilishonnwa nyuzi zaidi ya 12 lakini donda lilikuwa na alama kama nmengatwa na mbwa vile au mnyama mkali.nikabaki hospitali mpka asubuhi.

asubuhi mzee akaenda kwa mganga,bahati wakamkuta mke mtu lakini cha kusikitisha ni kwamba mganga alienda Kaleni (kuna kiongozi fulani alienda kumtibu) dah mzee alipagawa ndo akaanza kumuekezea kilichotokea mke mtu akamwambia tu ukweli yani hapo mwanako ilikuwa anatolewa shingo ni mungu tu,mimi cha kufanya sina msubirini mpka mwenyewe arudi kwa maana siku 3 mpka 4 mbele. kumbuka toka watu wanipeleke hospitali mda ule mpka sasa wako kwa mganga hakuna aliyerudi nyumbani.

basi mzee akakubaliana na mke wa mganga basi wakarudi nyumbani sasa wakati wanafungua geti wakawa wanasikia harufu kali ya damu na uozo,wakawa wanafuata damu iliyokuwa imetapakaa pale uani ambayo usiku wa jana haikuonekana wakaifata mpaka zizini walichokiona kilikuwa ni gombe mmoja yani alikuwa ameraluliwa mwili ote yani kama vile mtu alikuwa na panga alafu akamkata kata vipande vipande.basi wakasafisha pale na baadhi ya vipande vikazikwa,jioni nikaruhusiwa nikarudi nyumbani.

naomba niweke nukta hapa but naahid kuimalizia tulipata mitihani mingi mpka kuamua kwenda congo kumfata mganga huko huko ambako,tulikutana na viongozi wazito mno,ambao sitopenda kuwataja lakini la mwisho ni tulivyonusurika kuliwa nyama ndio nyama tena na watu wenzetu ntawasimulia vyote na jinsi gani tulivyoponea kutoka kwenye tundu la sindano

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh hii mkuu ifungulie uzi wake ikibidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wengi walinitafuta na kutaka kuwaelezea ni kipi hasa kilitokea hasa baada ya kupata vitu vyetu na wapo walonibeza mpka nikafikia hatua ya kuwaonyesha evidence. Mtanisamehe kwa kuwa siyo mzuri sana kwenye uandishi

NAMALIZIA,

Nakumbuka baada ya kuchukua vitu vyetu vyote pale polisi na vingine vilikuwa siyo vyetu but tulipewa vyote na nahisi polisi walitupa vile sababu,baada ya kupata vile vitu vyetu pamoja na zile fedha kuna baadhi walitaka kuchukua lakini kuna mambo yalitokea hivyo wakaone vile vitu vilikuwa siyo vya kawaida hivyo walitupigia sana simu nakumbuka simu ilikuwa inapigwa kila baada ya dakika tano,na la mwisho nakumbuka hata ticket ya treni hatukukata bali tulipanda treni bure second class(ni chumba ndani ya behewa mnakaa na kunakuwa na vitanda)

Nakumbuka tuliingia jioni ilikuwa mida ya saa jioni nakumbuka wakati huo kupata ticket ilikuwa ni ngumu mno,tulivyofika tu Stesheni tukapokelewa na polisi kisha msafara ukaanza mpka polisi ambapo tukakutana na mkuu wa pale nakumbuka tulikuta vitu vingi sana lakini tulichoambiwa ni chukueni kila kilicho chenu, tulikuta mpka hizo fedha tukasema zetu wakatupa bila kuuliza na kingine cha ajabu siku ya pili asubuhi tukapewa escort na polisi gari mbili moja mbele moja nyuma mpka tunaingia kigoma mjini.

wakati tupo njiani mzee alijaribu kumuuliza askari mmoja tuliyekuwa nae ndani ya gari inakuwaje mbona mnatufanyia yote haya haliyakuwa mlipaswa kutukabidhi na kutuacha tuondoke? jamaa ndo akatoa mkasa mzima.

kuwa siku moja baada ya lile tukio kutokea walipata simu,kuwa kuna watu wanaohisiwa majambazi wameuliwa na wanyama,kila mtu akawa anasema la kwake wengine simba,wengine chui,basi baada ya kupata hyo case wakaamua wawapigie watu wa maliasili ili waende kwa pamoja lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika eneo la tukio,wakakuta miili imetapakaa sehemu yote ya porini mingine ikiwa haina mikono, miguu nk,lakini kitu cha ajabu waliwakuta wakiwa na silaha zaidi ya 15,lakini haikutumika silaha risasi hata moja.

wale majambazi pale lilipotokea tukio lile kulikuwa jirani kabisa na kambi yao ambapo ndipo walipokuwa wanaficha mali zote baada ya kuibia watu kwenye mabasi hvyo mali zilikuwa za kutosha pale hivyo ilikuwa unaweza kichukulia hvyo unaweza kupata picha kama binadam unaweza kufanya nini?

basi kuna baadhi wali...............,sasa kuna mambo yaliwatokea mazito sitapenda kuyasema kwaiyo kilichotokea ili usalama na uzima uwepo ilibidi wenyewe tukabidhiwe mizigo yetu yote na sharti la mwsho ni kwamba ni lazma tufikishwe kigoma mjini salama la sivyo .............,

Tulivyokifka kigoma ujiji ile gari ya mbele ilisimama nakumbuka ni zile difenda 110 nyeupe akashuka askari na wengine ote wakashuka kisha akatuambia jamani sisi safari yetu ndo imeishia hapa muende salama tukaagana pale lakini walikuwa wanatushangaa sana na hofu za wazi wazi na sisi tuliliona hilo sababu tulikuwa tumeshaambiwa nini kilichotokea.

Tukawasha gari mpka sokoni ambapo tulinunua mbuzi mzuri pamoja na zawadi zingine baba akasema lazima kituo cha kwanza twende kwa mzee juma njemba kumpa zawadi zake na shukrani zake,tulivyofika tukamkuta ameenda sokoni basi alivyofika akatuambia kuwa kila mlichopewa ni cha kwenu basi tukampa yule mbuzi japo hela na zawadi nyingine aligoma kupokea ila furaha ikapotea alipotuambia kuwa kile kiumbe ni cha kwenu na nyinyi ndo mtatumika kama mlivyotumika kukileta.

Ninachokumbuka ni mzee aliingia kwenye mfuko uliokuwa na zile fedha zote akampa yule mzee ili hilo swala alishughulikie yeye mwenyewe,mzee aligoma kata kata nachokumbuka ni chozi tu lilinitoka hasa baada ya kuambiwa kuwa kile kiumbe kama kitaendelea kuwepo bila kurudishwa kilipotokea basi kitaturudia wenyewe tukiisha kitaingia kwenye ukoo mzima kitamaliza na hata mkoa mzima.

Basi tukaambiwa kuwa ili kile kiumbe kiweze kurudishwa ni wahusika wakuu tutoe zawadi ya damu yah damu,tukauliza dawa gani mganga akatuambia kila mmoja anatakiwa atoe damu yake kidogo,lakini damu hiyo apatikane mbuzi au kondoo au ngombe then kila mmoja atoe damu hiyo kwa atavyojua yeye then hyo damu ichanganywe na apakwe mnyama huyo mwili mzima then mganga atatupatia maelezo nini cha kufanya,

Basi siku hyo mzee aliomba hilo swala tulifanye kesho,maana kwa leo ni ngumu ukizingatia tumechelewa na safari ndefu mganga akakubali ila ajasema hakikisheni mnafanya haraka sana kwani mwenye uwezo wa kukirudisha hicho kiumbe ni mimi na nyinyi mlioingia kwenye hilo agano maana anayeijua kesho ni mungu,sisi hao tukaondoka.

Tumefika zetu nyumbani ilikuwa ni kama kinisherehe kidogo bimkubwa alikuwa amepika msosi wa kutosha nakumbuka ilikuwa pilau mbuzi na vinywaji maana waliitwa mpka watoto wa mtaani kula siku hiyo ikapita.

siku ya pili ilivyofika nikamkumbushia broo kuhusu kwenda kumaliza ile kazi kwa mganga bro akanambia kausha na mimi nae nkasema ngoja nikaushe kwani mambo yameshakwisha, ilivyofika usiku ndo bimkubwa akatukumbusha jana mlinambia kuwa leo mnatakuwa kwenda kumaliza ile kazi mbona hamjaenda?kumbe mzee nae alikuwa anakumbuka ila akajikausha kimya kuambiwa ndo akajifanya kuzinduka,akamwambia mama bwana e hayo sisi tumeshayamaliza tutaenda hata week ijayo,bimkubwa aliongea sana ila ote tukamuona kama anapiga kelele tu.

nakumbuka tulikaa sana kwa raha nadhani unaweza kujua 7m ilikuwa inathamani gani miaka hyo,kwani mzee akitupa kila mtu laki 1 nilikuwa don mtaani naweza kwenda dukani nikanunua creti zima la soda dah ujana huu.


Kasheshe ilianza siku ya tatu,tumetoka kule mida kama ya saa 3 usiku,tunaingia zetu kulala ghafla ikapiga radi ambayo sikuwahi kuiskia toka siku ile mpka leo,baada ya kama dakika 5 tukasikia kishindo kikubwa sana juu ya bati ghafla ikawa kama mtu anakimbia juu ya bati letu,hali hiyo ilidumu kama dakika 10 nzima,ikafuatia sauti ya ngombe zizini kupiga sana kelele kutokana na kutokukutana na masuala ya kishirikina nikatoka nikafungua geti ilikwenda kuona kulikoni(kunifanya shujaa)ila kabla sijatoka nje kabisa nikatoa sura sasa ile nmetoa kichwa nje nachungulia ile kurudisha kichwa ndani lilikuwa limebakia skio nje niliskia kitu kama kisu kinakata skio kwa kasi ya ajabu mnoo alafu nkaishia kuona kivuli tu.

Nilipata maumivu ambayo makali mno,mzee alitoka ndani mbio japo walikuwa wanaogopa kuangalia skio linaruka damu nikahudumiwa nikakimbizwa mawezi hospital nilishonnwa nyuzi zaidi ya 12 lakini donda lilikuwa na alama kama nmengatwa na mbwa vile au mnyama mkali.nikabaki hospitali mpka asubuhi.

asubuhi mzee akaenda kwa mganga,bahati wakamkuta mke mtu lakini cha kusikitisha ni kwamba mganga alienda Kaleni (kuna kiongozi fulani alienda kumtibu) dah mzee alipagawa ndo akaanza kumuekezea kilichotokea mke mtu akamwambia tu ukweli yani hapo mwanako ilikuwa anatolewa shingo ni mungu tu,mimi cha kufanya sina msubirini mpka mwenyewe arudi kwa maana siku 3 mpka 4 mbele. kumbuka toka watu wanipeleke hospitali mda ule mpka sasa wako kwa mganga hakuna aliyerudi nyumbani.

basi mzee akakubaliana na mke wa mganga basi wakarudi nyumbani sasa wakati wanafungua geti wakawa wanasikia harufu kali ya damu na uozo,wakawa wanafuata damu iliyokuwa imetapakaa pale uani ambayo usiku wa jana haikuonekana wakaifata mpaka zizini walichokiona kilikuwa ni gombe mmoja yani alikuwa ameraluliwa mwili ote yani kama vile mtu alikuwa na panga alafu akamkata kata vipande vipande.basi wakasafisha pale na baadhi ya vipande vikazikwa,jioni nikaruhusiwa nikarudi nyumbani.

naomba niweke nukta hapa but naahid kuimalizia tulipata mitihani mingi mpka kuamua kwenda congo kumfata mganga huko huko ambako,tulikutana na viongozi wazito mno,ambao sitopenda kuwataja lakini la mwisho ni tulivyonusurika kuliwa nyama ndio nyama tena na watu wenzetu ntawasimulia vyote na jinsi gani tulivyoponea kutoka kwenye tundu la sindano

Sent using Jamii Forums mobile app
Tungekuwa na watalaam wa kutengeneza Movie, huu mkasa ungeuweka kwenye movie, ingekuwa Tamu sana. Usiache kumalizia story, hii Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wengi walinitafuta na kutaka kuwaelezea ni kipi hasa kilitokea hasa baada ya kupata vitu vyetu na wapo walonibeza mpka nikafikia hatua ya kuwaonyesha evidence. Mtanisamehe kwa kuwa siyo mzuri sana kwenye uandishi

NAMALIZIA,

Nakumbuka baada ya kuchukua vitu vyetu vyote pale polisi na vingine vilikuwa siyo vyetu but tulipewa vyote na nahisi polisi walitupa vile sababu,baada ya kupata vile vitu vyetu pamoja na zile fedha kuna baadhi walitaka kuchukua lakini kuna mambo yalitokea hivyo wakaone vile vitu vilikuwa siyo vya kawaida hivyo walitupigia sana simu nakumbuka simu ilikuwa inapigwa kila baada ya dakika tano,na la mwisho nakumbuka hata ticket ya treni hatukukata bali tulipanda treni bure second class(ni chumba ndani ya behewa mnakaa na kunakuwa na vitanda)

Nakumbuka tuliingia jioni ilikuwa mida ya saa jioni nakumbuka wakati huo kupata ticket ilikuwa ni ngumu mno,tulivyofika tu Stesheni tukapokelewa na polisi kisha msafara ukaanza mpka polisi ambapo tukakutana na mkuu wa pale nakumbuka tulikuta vitu vingi sana lakini tulichoambiwa ni chukueni kila kilicho chenu, tulikuta mpka hizo fedha tukasema zetu wakatupa bila kuuliza na kingine cha ajabu siku ya pili asubuhi tukapewa escort na polisi gari mbili moja mbele moja nyuma mpka tunaingia kigoma mjini.

wakati tupo njiani mzee alijaribu kumuuliza askari mmoja tuliyekuwa nae ndani ya gari inakuwaje mbona mnatufanyia yote haya haliyakuwa mlipaswa kutukabidhi na kutuacha tuondoke? jamaa ndo akatoa mkasa mzima.

kuwa siku moja baada ya lile tukio kutokea walipata simu,kuwa kuna watu wanaohisiwa majambazi wameuliwa na wanyama,kila mtu akawa anasema la kwake wengine simba,wengine chui,basi baada ya kupata hyo case wakaamua wawapigie watu wa maliasili ili waende kwa pamoja lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika eneo la tukio,wakakuta miili imetapakaa sehemu yote ya porini mingine ikiwa haina mikono, miguu nk,lakini kitu cha ajabu waliwakuta wakiwa na silaha zaidi ya 15,lakini haikutumika silaha risasi hata moja.

wale majambazi pale lilipotokea tukio lile kulikuwa jirani kabisa na kambi yao ambapo ndipo walipokuwa wanaficha mali zote baada ya kuibia watu kwenye mabasi hvyo mali zilikuwa za kutosha pale hivyo ilikuwa unaweza kichukulia hvyo unaweza kupata picha kama binadam unaweza kufanya nini?

basi kuna baadhi wali...............,sasa kuna mambo yaliwatokea mazito sitapenda kuyasema kwaiyo kilichotokea ili usalama na uzima uwepo ilibidi wenyewe tukabidhiwe mizigo yetu yote na sharti la mwsho ni kwamba ni lazma tufikishwe kigoma mjini salama la sivyo .............,

Tulivyokifka kigoma ujiji ile gari ya mbele ilisimama nakumbuka ni zile difenda 110 nyeupe akashuka askari na wengine ote wakashuka kisha akatuambia jamani sisi safari yetu ndo imeishia hapa muende salama tukaagana pale lakini walikuwa wanatushangaa sana na hofu za wazi wazi na sisi tuliliona hilo sababu tulikuwa tumeshaambiwa nini kilichotokea.

Tukawasha gari mpka sokoni ambapo tulinunua mbuzi mzuri pamoja na zawadi zingine baba akasema lazima kituo cha kwanza twende kwa mzee juma njemba kumpa zawadi zake na shukrani zake,tulivyofika tukamkuta ameenda sokoni basi alivyofika akatuambia kuwa kila mlichopewa ni cha kwenu basi tukampa yule mbuzi japo hela na zawadi nyingine aligoma kupokea ila furaha ikapotea alipotuambia kuwa kile kiumbe ni cha kwenu na nyinyi ndo mtatumika kama mlivyotumika kukileta.

Ninachokumbuka ni mzee aliingia kwenye mfuko uliokuwa na zile fedha zote akampa yule mzee ili hilo swala alishughulikie yeye mwenyewe,mzee aligoma kata kata nachokumbuka ni chozi tu lilinitoka hasa baada ya kuambiwa kuwa kile kiumbe kama kitaendelea kuwepo bila kurudishwa kilipotokea basi kitaturudia wenyewe tukiisha kitaingia kwenye ukoo mzima kitamaliza na hata mkoa mzima.

Basi tukaambiwa kuwa ili kile kiumbe kiweze kurudishwa ni wahusika wakuu tutoe zawadi ya damu yah damu,tukauliza dawa gani mganga akatuambia kila mmoja anatakiwa atoe damu yake kidogo,lakini damu hiyo apatikane mbuzi au kondoo au ngombe then kila mmoja atoe damu hiyo kwa atavyojua yeye then hyo damu ichanganywe na apakwe mnyama huyo mwili mzima then mganga atatupatia maelezo nini cha kufanya,

Basi siku hyo mzee aliomba hilo swala tulifanye kesho,maana kwa leo ni ngumu ukizingatia tumechelewa na safari ndefu mganga akakubali ila ajasema hakikisheni mnafanya haraka sana kwani mwenye uwezo wa kukirudisha hicho kiumbe ni mimi na nyinyi mlioingia kwenye hilo agano maana anayeijua kesho ni mungu,sisi hao tukaondoka.

Tumefika zetu nyumbani ilikuwa ni kama kinisherehe kidogo bimkubwa alikuwa amepika msosi wa kutosha nakumbuka ilikuwa pilau mbuzi na vinywaji maana waliitwa mpka watoto wa mtaani kula siku hiyo ikapita.

siku ya pili ilivyofika nikamkumbushia broo kuhusu kwenda kumaliza ile kazi kwa mganga bro akanambia kausha na mimi nae nkasema ngoja nikaushe kwani mambo yameshakwisha, ilivyofika usiku ndo bimkubwa akatukumbusha jana mlinambia kuwa leo mnatakuwa kwenda kumaliza ile kazi mbona hamjaenda?kumbe mzee nae alikuwa anakumbuka ila akajikausha kimya kuambiwa ndo akajifanya kuzinduka,akamwambia mama bwana e hayo sisi tumeshayamaliza tutaenda hata week ijayo,bimkubwa aliongea sana ila ote tukamuona kama anapiga kelele tu.

nakumbuka tulikaa sana kwa raha nadhani unaweza kujua 7m ilikuwa inathamani gani miaka hyo,kwani mzee akitupa kila mtu laki 1 nilikuwa don mtaani naweza kwenda dukani nikanunua creti zima la soda dah ujana huu.


Kasheshe ilianza siku ya tatu,tumetoka kule mida kama ya saa 3 usiku,tunaingia zetu kulala ghafla ikapiga radi ambayo sikuwahi kuiskia toka siku ile mpka leo,baada ya kama dakika 5 tukasikia kishindo kikubwa sana juu ya bati ghafla ikawa kama mtu anakimbia juu ya bati letu,hali hiyo ilidumu kama dakika 10 nzima,ikafuatia sauti ya ngombe zizini kupiga sana kelele kutokana na kutokukutana na masuala ya kishirikina nikatoka nikafungua geti ilikwenda kuona kulikoni(kunifanya shujaa)ila kabla sijatoka nje kabisa nikatoa sura sasa ile nmetoa kichwa nje nachungulia ile kurudisha kichwa ndani lilikuwa limebakia skio nje niliskia kitu kama kisu kinakata skio kwa kasi ya ajabu mnoo alafu nkaishia kuona kivuli tu.

Nilipata maumivu ambayo makali mno,mzee alitoka ndani mbio japo walikuwa wanaogopa kuangalia skio linaruka damu nikahudumiwa nikakimbizwa mawezi hospital nilishonnwa nyuzi zaidi ya 12 lakini donda lilikuwa na alama kama nmengatwa na mbwa vile au mnyama mkali.nikabaki hospitali mpka asubuhi.

asubuhi mzee akaenda kwa mganga,bahati wakamkuta mke mtu lakini cha kusikitisha ni kwamba mganga alienda Kaleni (kuna kiongozi fulani alienda kumtibu) dah mzee alipagawa ndo akaanza kumuekezea kilichotokea mke mtu akamwambia tu ukweli yani hapo mwanako ilikuwa anatolewa shingo ni mungu tu,mimi cha kufanya sina msubirini mpka mwenyewe arudi kwa maana siku 3 mpka 4 mbele. kumbuka toka watu wanipeleke hospitali mda ule mpka sasa wako kwa mganga hakuna aliyerudi nyumbani.

basi mzee akakubaliana na mke wa mganga basi wakarudi nyumbani sasa wakati wanafungua geti wakawa wanasikia harufu kali ya damu na uozo,wakawa wanafuata damu iliyokuwa imetapakaa pale uani ambayo usiku wa jana haikuonekana wakaifata mpaka zizini walichokiona kilikuwa ni gombe mmoja yani alikuwa ameraluliwa mwili ote yani kama vile mtu alikuwa na panga alafu akamkata kata vipande vipande.basi wakasafisha pale na baadhi ya vipande vikazikwa,jioni nikaruhusiwa nikarudi nyumbani.

naomba niweke nukta hapa but naahid kuimalizia tulipata mitihani mingi mpka kuamua kwenda congo kumfata mganga huko huko ambako,tulikutana na viongozi wazito mno,ambao sitopenda kuwataja lakini la mwisho ni tulivyonusurika kuliwa nyama ndio nyama tena na watu wenzetu ntawasimulia vyote na jinsi gani tulivyoponea kutoka kwenye tundu la sindano

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo chonjo apa kuiskilizia.
 
wengi walinitafuta na kutaka kuwaelezea ni kipi hasa kilitokea hasa baada ya kupata vitu vyetu na wapo walonibeza mpka nikafikia hatua ya kuwaonyesha evidence. Mtanisamehe kwa kuwa siyo mzuri sana kwenye uandishi

NAMALIZIA,

Nakumbuka baada ya kuchukua vitu vyetu vyote pale polisi na vingine vilikuwa siyo vyetu but tulipewa vyote na nahisi polisi walitupa vile sababu,baada ya kupata vile vitu vyetu pamoja na zile fedha kuna baadhi walitaka kuchukua lakini kuna mambo yalitokea hivyo wakaone vile vitu vilikuwa siyo vya kawaida hivyo walitupigia sana simu nakumbuka simu ilikuwa inapigwa kila baada ya dakika tano,na la mwisho nakumbuka hata ticket ya treni hatukukata bali tulipanda treni bure second class(ni chumba ndani ya behewa mnakaa na kunakuwa na vitanda)

Nakumbuka tuliingia jioni ilikuwa mida ya saa jioni nakumbuka wakati huo kupata ticket ilikuwa ni ngumu mno,tulivyofika tu Stesheni tukapokelewa na polisi kisha msafara ukaanza mpka polisi ambapo tukakutana na mkuu wa pale nakumbuka tulikuta vitu vingi sana lakini tulichoambiwa ni chukueni kila kilicho chenu, tulikuta mpka hizo fedha tukasema zetu wakatupa bila kuuliza na kingine cha ajabu siku ya pili asubuhi tukapewa escort na polisi gari mbili moja mbele moja nyuma mpka tunaingia kigoma mjini.

wakati tupo njiani mzee alijaribu kumuuliza askari mmoja tuliyekuwa nae ndani ya gari inakuwaje mbona mnatufanyia yote haya haliyakuwa mlipaswa kutukabidhi na kutuacha tuondoke? jamaa ndo akatoa mkasa mzima.

kuwa siku moja baada ya lile tukio kutokea walipata simu,kuwa kuna watu wanaohisiwa majambazi wameuliwa na wanyama,kila mtu akawa anasema la kwake wengine simba,wengine chui,basi baada ya kupata hyo case wakaamua wawapigie watu wa maliasili ili waende kwa pamoja lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika eneo la tukio,wakakuta miili imetapakaa sehemu yote ya porini mingine ikiwa haina mikono, miguu nk,lakini kitu cha ajabu waliwakuta wakiwa na silaha zaidi ya 15,lakini haikutumika silaha risasi hata moja.

wale majambazi pale lilipotokea tukio lile kulikuwa jirani kabisa na kambi yao ambapo ndipo walipokuwa wanaficha mali zote baada ya kuibia watu kwenye mabasi hvyo mali zilikuwa za kutosha pale hivyo ilikuwa unaweza kichukulia hvyo unaweza kupata picha kama binadam unaweza kufanya nini?

basi kuna baadhi wali...............,sasa kuna mambo yaliwatokea mazito sitapenda kuyasema kwaiyo kilichotokea ili usalama na uzima uwepo ilibidi wenyewe tukabidhiwe mizigo yetu yote na sharti la mwsho ni kwamba ni lazma tufikishwe kigoma mjini salama la sivyo .............,

Tulivyokifka kigoma ujiji ile gari ya mbele ilisimama nakumbuka ni zile difenda 110 nyeupe akashuka askari na wengine ote wakashuka kisha akatuambia jamani sisi safari yetu ndo imeishia hapa muende salama tukaagana pale lakini walikuwa wanatushangaa sana na hofu za wazi wazi na sisi tuliliona hilo sababu tulikuwa tumeshaambiwa nini kilichotokea.

Tukawasha gari mpka sokoni ambapo tulinunua mbuzi mzuri pamoja na zawadi zingine baba akasema lazima kituo cha kwanza twende kwa mzee juma njemba kumpa zawadi zake na shukrani zake,tulivyofika tukamkuta ameenda sokoni basi alivyofika akatuambia kuwa kila mlichopewa ni cha kwenu basi tukampa yule mbuzi japo hela na zawadi nyingine aligoma kupokea ila furaha ikapotea alipotuambia kuwa kile kiumbe ni cha kwenu na nyinyi ndo mtatumika kama mlivyotumika kukileta.

Ninachokumbuka ni mzee aliingia kwenye mfuko uliokuwa na zile fedha zote akampa yule mzee ili hilo swala alishughulikie yeye mwenyewe,mzee aligoma kata kata nachokumbuka ni chozi tu lilinitoka hasa baada ya kuambiwa kuwa kile kiumbe kama kitaendelea kuwepo bila kurudishwa kilipotokea basi kitaturudia wenyewe tukiisha kitaingia kwenye ukoo mzima kitamaliza na hata mkoa mzima.

Basi tukaambiwa kuwa ili kile kiumbe kiweze kurudishwa ni wahusika wakuu tutoe zawadi ya damu yah damu,tukauliza dawa gani mganga akatuambia kila mmoja anatakiwa atoe damu yake kidogo,lakini damu hiyo apatikane mbuzi au kondoo au ngombe then kila mmoja atoe damu hiyo kwa atavyojua yeye then hyo damu ichanganywe na apakwe mnyama huyo mwili mzima then mganga atatupatia maelezo nini cha kufanya,

Basi siku hyo mzee aliomba hilo swala tulifanye kesho,maana kwa leo ni ngumu ukizingatia tumechelewa na safari ndefu mganga akakubali ila ajasema hakikisheni mnafanya haraka sana kwani mwenye uwezo wa kukirudisha hicho kiumbe ni mimi na nyinyi mlioingia kwenye hilo agano maana anayeijua kesho ni mungu,sisi hao tukaondoka.

Tumefika zetu nyumbani ilikuwa ni kama kinisherehe kidogo bimkubwa alikuwa amepika msosi wa kutosha nakumbuka ilikuwa pilau mbuzi na vinywaji maana waliitwa mpka watoto wa mtaani kula siku hiyo ikapita.

siku ya pili ilivyofika nikamkumbushia broo kuhusu kwenda kumaliza ile kazi kwa mganga bro akanambia kausha na mimi nae nkasema ngoja nikaushe kwani mambo yameshakwisha, ilivyofika usiku ndo bimkubwa akatukumbusha jana mlinambia kuwa leo mnatakuwa kwenda kumaliza ile kazi mbona hamjaenda?kumbe mzee nae alikuwa anakumbuka ila akajikausha kimya kuambiwa ndo akajifanya kuzinduka,akamwambia mama bwana e hayo sisi tumeshayamaliza tutaenda hata week ijayo,bimkubwa aliongea sana ila ote tukamuona kama anapiga kelele tu.

nakumbuka tulikaa sana kwa raha nadhani unaweza kujua 7m ilikuwa inathamani gani miaka hyo,kwani mzee akitupa kila mtu laki 1 nilikuwa don mtaani naweza kwenda dukani nikanunua creti zima la soda dah ujana huu.


Kasheshe ilianza siku ya tatu,tumetoka kule mida kama ya saa 3 usiku,tunaingia zetu kulala ghafla ikapiga radi ambayo sikuwahi kuiskia toka siku ile mpka leo,baada ya kama dakika 5 tukasikia kishindo kikubwa sana juu ya bati ghafla ikawa kama mtu anakimbia juu ya bati letu,hali hiyo ilidumu kama dakika 10 nzima,ikafuatia sauti ya ngombe zizini kupiga sana kelele kutokana na kutokukutana na masuala ya kishirikina nikatoka nikafungua geti ilikwenda kuona kulikoni(kunifanya shujaa)ila kabla sijatoka nje kabisa nikatoa sura sasa ile nmetoa kichwa nje nachungulia ile kurudisha kichwa ndani lilikuwa limebakia skio nje niliskia kitu kama kisu kinakata skio kwa kasi ya ajabu mnoo alafu nkaishia kuona kivuli tu.

Nilipata maumivu ambayo makali mno,mzee alitoka ndani mbio japo walikuwa wanaogopa kuangalia skio linaruka damu nikahudumiwa nikakimbizwa mawezi hospital nilishonnwa nyuzi zaidi ya 12 lakini donda lilikuwa na alama kama nmengatwa na mbwa vile au mnyama mkali.nikabaki hospitali mpka asubuhi.

asubuhi mzee akaenda kwa mganga,bahati wakamkuta mke mtu lakini cha kusikitisha ni kwamba mganga alienda Kaleni (kuna kiongozi fulani alienda kumtibu) dah mzee alipagawa ndo akaanza kumuekezea kilichotokea mke mtu akamwambia tu ukweli yani hapo mwanako ilikuwa anatolewa shingo ni mungu tu,mimi cha kufanya sina msubirini mpka mwenyewe arudi kwa maana siku 3 mpka 4 mbele. kumbuka toka watu wanipeleke hospitali mda ule mpka sasa wako kwa mganga hakuna aliyerudi nyumbani.

basi mzee akakubaliana na mke wa mganga basi wakarudi nyumbani sasa wakati wanafungua geti wakawa wanasikia harufu kali ya damu na uozo,wakawa wanafuata damu iliyokuwa imetapakaa pale uani ambayo usiku wa jana haikuonekana wakaifata mpaka zizini walichokiona kilikuwa ni gombe mmoja yani alikuwa ameraluliwa mwili ote yani kama vile mtu alikuwa na panga alafu akamkata kata vipande vipande.basi wakasafisha pale na baadhi ya vipande vikazikwa,jioni nikaruhusiwa nikarudi nyumbani.

naomba niweke nukta hapa but naahid kuimalizia tulipata mitihani mingi mpka kuamua kwenda congo kumfata mganga huko huko ambako,tulikutana na viongozi wazito mno,ambao sitopenda kuwataja lakini la mwisho ni tulivyonusurika kuliwa nyama ndio nyama tena na watu wenzetu ntawasimulia vyote na jinsi gani tulivyoponea kutoka kwenye tundu la sindano

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaonaje ukaifungilia uzi wake coz sii tukuwa inasisimua Bali hata kufundisha piaa. Litandike jamvi stori izi zinabadilisha sana mawazo ya watu wengi humuu jf na hasa Katika utafutajii huu wa mali by the way poleni Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku moja kulikuwa na msiba mganga mmoja alifariki. Alikuwa mganga na mchawi mashuhuri. Sasa waru wakawa wanaingia wachawi wenzake na waganga wezake. Mzee mmoja akaja akawakuta wengine wanakunywa pombe kwa mirija akafika akavua koti lake chafuchafu hivi akatundika hewani lika ninginia, mwingina akaja akakaa hewani hajagusa chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
movie gani ya kinigeria hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wengi walinitafuta na kutaka kuwaelezea ni kipi hasa kilitokea hasa baada ya kupata vitu vyetu na wapo walonibeza mpka nikafikia hatua ya kuwaonyesha evidence. Mtanisamehe kwa kuwa siyo mzuri sana kwenye uandishi

NAMALIZIA,

Nakumbuka baada ya kuchukua vitu vyetu vyote pale polisi na vingine vilikuwa siyo vyetu but tulipewa vyote na nahisi polisi walitupa vile sababu,baada ya kupata vile vitu vyetu pamoja na zile fedha kuna baadhi walitaka kuchukua lakini kuna mambo yalitokea hivyo wakaone vile vitu vilikuwa siyo vya kawaida hivyo walitupigia sana simu nakumbuka simu ilikuwa inapigwa kila baada ya dakika tano,na la mwisho nakumbuka hata ticket ya treni hatukukata bali tulipanda treni bure second class(ni chumba ndani ya behewa mnakaa na kunakuwa na vitanda)

Nakumbuka tuliingia jioni ilikuwa mida ya saa jioni nakumbuka wakati huo kupata ticket ilikuwa ni ngumu mno,tulivyofika tu Stesheni tukapokelewa na polisi kisha msafara ukaanza mpka polisi ambapo tukakutana na mkuu wa pale nakumbuka tulikuta vitu vingi sana lakini tulichoambiwa ni chukueni kila kilicho chenu, tulikuta mpka hizo fedha tukasema zetu wakatupa bila kuuliza na kingine cha ajabu siku ya pili asubuhi tukapewa escort na polisi gari mbili moja mbele moja nyuma mpka tunaingia kigoma mjini.

wakati tupo njiani mzee alijaribu kumuuliza askari mmoja tuliyekuwa nae ndani ya gari inakuwaje mbona mnatufanyia yote haya haliyakuwa mlipaswa kutukabidhi na kutuacha tuondoke? jamaa ndo akatoa mkasa mzima.

kuwa siku moja baada ya lile tukio kutokea walipata simu,kuwa kuna watu wanaohisiwa majambazi wameuliwa na wanyama,kila mtu akawa anasema la kwake wengine simba,wengine chui,basi baada ya kupata hyo case wakaamua wawapigie watu wa maliasili ili waende kwa pamoja lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika eneo la tukio,wakakuta miili imetapakaa sehemu yote ya porini mingine ikiwa haina mikono, miguu nk,lakini kitu cha ajabu waliwakuta wakiwa na silaha zaidi ya 15,lakini haikutumika silaha risasi hata moja.

wale majambazi pale lilipotokea tukio lile kulikuwa jirani kabisa na kambi yao ambapo ndipo walipokuwa wanaficha mali zote baada ya kuibia watu kwenye mabasi hvyo mali zilikuwa za kutosha pale hivyo ilikuwa unaweza kichukulia hvyo unaweza kupata picha kama binadam unaweza kufanya nini?

basi kuna baadhi wali...............,sasa kuna mambo yaliwatokea mazito sitapenda kuyasema kwaiyo kilichotokea ili usalama na uzima uwepo ilibidi wenyewe tukabidhiwe mizigo yetu yote na sharti la mwsho ni kwamba ni lazma tufikishwe kigoma mjini salama la sivyo .............,

Tulivyokifka kigoma ujiji ile gari ya mbele ilisimama nakumbuka ni zile difenda 110 nyeupe akashuka askari na wengine ote wakashuka kisha akatuambia jamani sisi safari yetu ndo imeishia hapa muende salama tukaagana pale lakini walikuwa wanatushangaa sana na hofu za wazi wazi na sisi tuliliona hilo sababu tulikuwa tumeshaambiwa nini kilichotokea.

Tukawasha gari mpka sokoni ambapo tulinunua mbuzi mzuri pamoja na zawadi zingine baba akasema lazima kituo cha kwanza twende kwa mzee juma njemba kumpa zawadi zake na shukrani zake,tulivyofika tukamkuta ameenda sokoni basi alivyofika akatuambia kuwa kila mlichopewa ni cha kwenu basi tukampa yule mbuzi japo hela na zawadi nyingine aligoma kupokea ila furaha ikapotea alipotuambia kuwa kile kiumbe ni cha kwenu na nyinyi ndo mtatumika kama mlivyotumika kukileta.

Ninachokumbuka ni mzee aliingia kwenye mfuko uliokuwa na zile fedha zote akampa yule mzee ili hilo swala alishughulikie yeye mwenyewe,mzee aligoma kata kata nachokumbuka ni chozi tu lilinitoka hasa baada ya kuambiwa kuwa kile kiumbe kama kitaendelea kuwepo bila kurudishwa kilipotokea basi kitaturudia wenyewe tukiisha kitaingia kwenye ukoo mzima kitamaliza na hata mkoa mzima.

Basi tukaambiwa kuwa ili kile kiumbe kiweze kurudishwa ni wahusika wakuu tutoe zawadi ya damu yah damu,tukauliza dawa gani mganga akatuambia kila mmoja anatakiwa atoe damu yake kidogo,lakini damu hiyo apatikane mbuzi au kondoo au ngombe then kila mmoja atoe damu hiyo kwa atavyojua yeye then hyo damu ichanganywe na apakwe mnyama huyo mwili mzima then mganga atatupatia maelezo nini cha kufanya,

Basi siku hyo mzee aliomba hilo swala tulifanye kesho,maana kwa leo ni ngumu ukizingatia tumechelewa na safari ndefu mganga akakubali ila ajasema hakikisheni mnafanya haraka sana kwani mwenye uwezo wa kukirudisha hicho kiumbe ni mimi na nyinyi mlioingia kwenye hilo agano maana anayeijua kesho ni mungu,sisi hao tukaondoka.

Tumefika zetu nyumbani ilikuwa ni kama kinisherehe kidogo bimkubwa alikuwa amepika msosi wa kutosha nakumbuka ilikuwa pilau mbuzi na vinywaji maana waliitwa mpka watoto wa mtaani kula siku hiyo ikapita.

siku ya pili ilivyofika nikamkumbushia broo kuhusu kwenda kumaliza ile kazi kwa mganga bro akanambia kausha na mimi nae nkasema ngoja nikaushe kwani mambo yameshakwisha, ilivyofika usiku ndo bimkubwa akatukumbusha jana mlinambia kuwa leo mnatakuwa kwenda kumaliza ile kazi mbona hamjaenda?kumbe mzee nae alikuwa anakumbuka ila akajikausha kimya kuambiwa ndo akajifanya kuzinduka,akamwambia mama bwana e hayo sisi tumeshayamaliza tutaenda hata week ijayo,bimkubwa aliongea sana ila ote tukamuona kama anapiga kelele tu.

nakumbuka tulikaa sana kwa raha nadhani unaweza kujua 7m ilikuwa inathamani gani miaka hyo,kwani mzee akitupa kila mtu laki 1 nilikuwa don mtaani naweza kwenda dukani nikanunua creti zima la soda dah ujana huu.


Kasheshe ilianza siku ya tatu,tumetoka kule mida kama ya saa 3 usiku,tunaingia zetu kulala ghafla ikapiga radi ambayo sikuwahi kuiskia toka siku ile mpka leo,baada ya kama dakika 5 tukasikia kishindo kikubwa sana juu ya bati ghafla ikawa kama mtu anakimbia juu ya bati letu,hali hiyo ilidumu kama dakika 10 nzima,ikafuatia sauti ya ngombe zizini kupiga sana kelele kutokana na kutokukutana na masuala ya kishirikina nikatoka nikafungua geti ilikwenda kuona kulikoni(kunifanya shujaa)ila kabla sijatoka nje kabisa nikatoa sura sasa ile nmetoa kichwa nje nachungulia ile kurudisha kichwa ndani lilikuwa limebakia skio nje niliskia kitu kama kisu kinakata skio kwa kasi ya ajabu mnoo alafu nkaishia kuona kivuli tu.

Nilipata maumivu ambayo makali mno,mzee alitoka ndani mbio japo walikuwa wanaogopa kuangalia skio linaruka damu nikahudumiwa nikakimbizwa mawezi hospital nilishonnwa nyuzi zaidi ya 12 lakini donda lilikuwa na alama kama nmengatwa na mbwa vile au mnyama mkali.nikabaki hospitali mpka asubuhi.

asubuhi mzee akaenda kwa mganga,bahati wakamkuta mke mtu lakini cha kusikitisha ni kwamba mganga alienda Kaleni (kuna kiongozi fulani alienda kumtibu) dah mzee alipagawa ndo akaanza kumuekezea kilichotokea mke mtu akamwambia tu ukweli yani hapo mwanako ilikuwa anatolewa shingo ni mungu tu,mimi cha kufanya sina msubirini mpka mwenyewe arudi kwa maana siku 3 mpka 4 mbele. kumbuka toka watu wanipeleke hospitali mda ule mpka sasa wako kwa mganga hakuna aliyerudi nyumbani.

basi mzee akakubaliana na mke wa mganga basi wakarudi nyumbani sasa wakati wanafungua geti wakawa wanasikia harufu kali ya damu na uozo,wakawa wanafuata damu iliyokuwa imetapakaa pale uani ambayo usiku wa jana haikuonekana wakaifata mpaka zizini walichokiona kilikuwa ni gombe mmoja yani alikuwa ameraluliwa mwili ote yani kama vile mtu alikuwa na panga alafu akamkata kata vipande vipande.basi wakasafisha pale na baadhi ya vipande vikazikwa,jioni nikaruhusiwa nikarudi nyumbani.

naomba niweke nukta hapa but naahid kuimalizia tulipata mitihani mingi mpka kuamua kwenda congo kumfata mganga huko huko ambako,tulikutana na viongozi wazito mno,ambao sitopenda kuwataja lakini la mwisho ni tulivyonusurika kuliwa nyama ndio nyama tena na watu wenzetu ntawasimulia vyote na jinsi gani tulivyoponea kutoka kwenye tundu la sindano

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tamu sana mkuu. Ukija next time usiache kuni-tag!
 
Walikuwa wanakuvulisha kivuli Cha maiti ili ufe..... Mungu ni mkubwa Sana na muweza wa yote
Ndoto za ajabu naota mara chache sana kwa mwaka.
Wiki iliyopita niliota ndoto ya ajabu sana! Niliota nipo kwenye hekalu la kuabudu, ndani ya hilo hekalu walikuwemo watu wawili tu mimi ni watatu wao. Mmoja amesimama kwa mbali na mwili wake una mawimbi mawimbi. Mwengine alikuwepo karibu yangu.
Aliye karibu yangu alikuwa ananikaribia pembeni yake kulikuwa na kivuli kizito na chenye umbile tofauti na la kwake. Akakivua kile kivuli kwenye mwili wake kama mtu anavyovua nguo halafu akielekezea kije kwangu.

Kile kivuli kilinivaa mwili mzima! Mwili wangu niliusikia tofauti ya mwili wote ambao sikuwahi kuusikia. Halafu kikawa kinanivaa kuniingia mwilini huku nahisi maumivu, na kikanivaa mwili mzima!

Licha ya mapungufu yangu mengi ila najifahamu na Mungu ndiye anayejua zaidi. Mtume anasema Uislam una twariqah 360, yeyote atakayepita moja ya hizo twariqah yupo salama. Mi ni sunni, ni mtu wa twariqah! Nafuata twariqah ya Sheikh Abdul Qadir Al Jeilan. Ambayo hiyo twariqah ni moja ya 360. Huyu Abdul Qadir Al Jeilan ni kiongozi wa Mawalii(sage) wote. Atakayeifuata twariqah yake aliyeipitia yeye (twariqah ni njia) anasema ukiwa na shida uwe magharibi au mashriki ya Dunia au Kas au Kus ukimuita kwa kutaja jina lake tu atakusaidia.

Kwenye hiyo ndoto nikalikumbuka jina lake. Nikalitaja jina lake kama alivyosema atakusaidia, kilichotokea nikashindwa kutamka jina nikawa kama mwenye kigugumizi. Huku kivuli kikawa kimenivaa, mwili unaniuma nikawa nachoka nakihisi kabisa kinaingia mwilini. Nikataja jina lake kwa kumaanisha, sauti mdomoni hainitoki nikamtaja kwa moyo. Kile kivuli kikaanza kunitoka.

Maumivu ambayo niliyasikia yaliniumiza. Navuliwa kitu ambacho kinaniumiza ni kizito lakini ni kile kivuli kilichonivaa! Kilinitoka chote mwilini nikawa nahisi maumivu na nikawa nahema sana ila bado nipo kwenye ndoto. Aliyenitupia hicho kivuli kumuangalia yupo nje ya hekalu amesimama huku ananingalia. Lakini kile kivuli kilichonitoka kikawa kipo mbele yangu kimesimama kikamfuata aliyenitupia. Yule mwengine ambaye mwili wake una mawimbi mawimbi mda wote alikuwa amesimama tu! Kisha akawa ni mwenye kuondoka. Lakini bado mimi nilikuwa nahema sana huku nimeinama chini. Kwa ghafla akasimama na akanifuata huku akiniangalia.

Nikashtuka kutoka usingizini mwili ukawa unauma. Nikawa na wasiwasi nililala vibaya kuhusu haya maumivu ya mwili ama laa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wengi walinitafuta na kutaka kuwaelezea ni kipi hasa kilitokea hasa baada ya kupata vitu vyetu na wapo walonibeza mpka nikafikia hatua ya kuwaonyesha evidence. Mtanisamehe kwa kuwa siyo mzuri sana kwenye uandishi

NAMALIZIA,

Nakumbuka baada ya kuchukua vitu vyetu vyote pale polisi na vingine vilikuwa siyo vyetu but tulipewa vyote na nahisi polisi walitupa vile sababu,baada ya kupata vile vitu vyetu pamoja na zile fedha kuna baadhi walitaka kuchukua lakini kuna mambo yalitokea hivyo wakaone vile vitu vilikuwa siyo vya kawaida hivyo walitupigia sana simu nakumbuka simu ilikuwa inapigwa kila baada ya dakika tano,na la mwisho nakumbuka hata ticket ya treni hatukukata bali tulipanda treni bure second class(ni chumba ndani ya behewa mnakaa na kunakuwa na vitanda)

Nakumbuka tuliingia jioni ilikuwa mida ya saa jioni nakumbuka wakati huo kupata ticket ilikuwa ni ngumu mno,tulivyofika tu Stesheni tukapokelewa na polisi kisha msafara ukaanza mpka polisi ambapo tukakutana na mkuu wa pale nakumbuka tulikuta vitu vingi sana lakini tulichoambiwa ni chukueni kila kilicho chenu, tulikuta mpka hizo fedha tukasema zetu wakatupa bila kuuliza na kingine cha ajabu siku ya pili asubuhi tukapewa escort na polisi gari mbili moja mbele moja nyuma mpka tunaingia kigoma mjini.

wakati tupo njiani mzee alijaribu kumuuliza askari mmoja tuliyekuwa nae ndani ya gari inakuwaje mbona mnatufanyia yote haya haliyakuwa mlipaswa kutukabidhi na kutuacha tuondoke? jamaa ndo akatoa mkasa mzima.

kuwa siku moja baada ya lile tukio kutokea walipata simu,kuwa kuna watu wanaohisiwa majambazi wameuliwa na wanyama,kila mtu akawa anasema la kwake wengine simba,wengine chui,basi baada ya kupata hyo case wakaamua wawapigie watu wa maliasili ili waende kwa pamoja lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika eneo la tukio,wakakuta miili imetapakaa sehemu yote ya porini mingine ikiwa haina mikono, miguu nk,lakini kitu cha ajabu waliwakuta wakiwa na silaha zaidi ya 15,lakini haikutumika silaha risasi hata moja.

wale majambazi pale lilipotokea tukio lile kulikuwa jirani kabisa na kambi yao ambapo ndipo walipokuwa wanaficha mali zote baada ya kuibia watu kwenye mabasi hvyo mali zilikuwa za kutosha pale hivyo ilikuwa unaweza kichukulia hvyo unaweza kupata picha kama binadam unaweza kufanya nini?

basi kuna baadhi wali...............,sasa kuna mambo yaliwatokea mazito sitapenda kuyasema kwaiyo kilichotokea ili usalama na uzima uwepo ilibidi wenyewe tukabidhiwe mizigo yetu yote na sharti la mwsho ni kwamba ni lazma tufikishwe kigoma mjini salama la sivyo .............,

Tulivyokifka kigoma ujiji ile gari ya mbele ilisimama nakumbuka ni zile difenda 110 nyeupe akashuka askari na wengine ote wakashuka kisha akatuambia jamani sisi safari yetu ndo imeishia hapa muende salama tukaagana pale lakini walikuwa wanatushangaa sana na hofu za wazi wazi na sisi tuliliona hilo sababu tulikuwa tumeshaambiwa nini kilichotokea.

Tukawasha gari mpka sokoni ambapo tulinunua mbuzi mzuri pamoja na zawadi zingine baba akasema lazima kituo cha kwanza twende kwa mzee juma njemba kumpa zawadi zake na shukrani zake,tulivyofika tukamkuta ameenda sokoni basi alivyofika akatuambia kuwa kila mlichopewa ni cha kwenu basi tukampa yule mbuzi japo hela na zawadi nyingine aligoma kupokea ila furaha ikapotea alipotuambia kuwa kile kiumbe ni cha kwenu na nyinyi ndo mtatumika kama mlivyotumika kukileta.

Ninachokumbuka ni mzee aliingia kwenye mfuko uliokuwa na zile fedha zote akampa yule mzee ili hilo swala alishughulikie yeye mwenyewe,mzee aligoma kata kata nachokumbuka ni chozi tu lilinitoka hasa baada ya kuambiwa kuwa kile kiumbe kama kitaendelea kuwepo bila kurudishwa kilipotokea basi kitaturudia wenyewe tukiisha kitaingia kwenye ukoo mzima kitamaliza na hata mkoa mzima.

Basi tukaambiwa kuwa ili kile kiumbe kiweze kurudishwa ni wahusika wakuu tutoe zawadi ya damu yah damu,tukauliza dawa gani mganga akatuambia kila mmoja anatakiwa atoe damu yake kidogo,lakini damu hiyo apatikane mbuzi au kondoo au ngombe then kila mmoja atoe damu hiyo kwa atavyojua yeye then hyo damu ichanganywe na apakwe mnyama huyo mwili mzima then mganga atatupatia maelezo nini cha kufanya,

Basi siku hyo mzee aliomba hilo swala tulifanye kesho,maana kwa leo ni ngumu ukizingatia tumechelewa na safari ndefu mganga akakubali ila ajasema hakikisheni mnafanya haraka sana kwani mwenye uwezo wa kukirudisha hicho kiumbe ni mimi na nyinyi mlioingia kwenye hilo agano maana anayeijua kesho ni mungu,sisi hao tukaondoka.

Tumefika zetu nyumbani ilikuwa ni kama kinisherehe kidogo bimkubwa alikuwa amepika msosi wa kutosha nakumbuka ilikuwa pilau mbuzi na vinywaji maana waliitwa mpka watoto wa mtaani kula siku hiyo ikapita.

siku ya pili ilivyofika nikamkumbushia broo kuhusu kwenda kumaliza ile kazi kwa mganga bro akanambia kausha na mimi nae nkasema ngoja nikaushe kwani mambo yameshakwisha, ilivyofika usiku ndo bimkubwa akatukumbusha jana mlinambia kuwa leo mnatakuwa kwenda kumaliza ile kazi mbona hamjaenda?kumbe mzee nae alikuwa anakumbuka ila akajikausha kimya kuambiwa ndo akajifanya kuzinduka,akamwambia mama bwana e hayo sisi tumeshayamaliza tutaenda hata week ijayo,bimkubwa aliongea sana ila ote tukamuona kama anapiga kelele tu.

nakumbuka tulikaa sana kwa raha nadhani unaweza kujua 7m ilikuwa inathamani gani miaka hyo,kwani mzee akitupa kila mtu laki 1 nilikuwa don mtaani naweza kwenda dukani nikanunua creti zima la soda dah ujana huu.


Kasheshe ilianza siku ya tatu,tumetoka kule mida kama ya saa 3 usiku,tunaingia zetu kulala ghafla ikapiga radi ambayo sikuwahi kuiskia toka siku ile mpka leo,baada ya kama dakika 5 tukasikia kishindo kikubwa sana juu ya bati ghafla ikawa kama mtu anakimbia juu ya bati letu,hali hiyo ilidumu kama dakika 10 nzima,ikafuatia sauti ya ngombe zizini kupiga sana kelele kutokana na kutokukutana na masuala ya kishirikina nikatoka nikafungua geti ilikwenda kuona kulikoni(kunifanya shujaa)ila kabla sijatoka nje kabisa nikatoa sura sasa ile nmetoa kichwa nje nachungulia ile kurudisha kichwa ndani lilikuwa limebakia skio nje niliskia kitu kama kisu kinakata skio kwa kasi ya ajabu mnoo alafu nkaishia kuona kivuli tu.

Nilipata maumivu ambayo makali mno,mzee alitoka ndani mbio japo walikuwa wanaogopa kuangalia skio linaruka damu nikahudumiwa nikakimbizwa mawezi hospital nilishonnwa nyuzi zaidi ya 12 lakini donda lilikuwa na alama kama nmengatwa na mbwa vile au mnyama mkali.nikabaki hospitali mpka asubuhi.

asubuhi mzee akaenda kwa mganga,bahati wakamkuta mke mtu lakini cha kusikitisha ni kwamba mganga alienda Kaleni (kuna kiongozi fulani alienda kumtibu) dah mzee alipagawa ndo akaanza kumuekezea kilichotokea mke mtu akamwambia tu ukweli yani hapo mwanako ilikuwa anatolewa shingo ni mungu tu,mimi cha kufanya sina msubirini mpka mwenyewe arudi kwa maana siku 3 mpka 4 mbele. kumbuka toka watu wanipeleke hospitali mda ule mpka sasa wako kwa mganga hakuna aliyerudi nyumbani.

basi mzee akakubaliana na mke wa mganga basi wakarudi nyumbani sasa wakati wanafungua geti wakawa wanasikia harufu kali ya damu na uozo,wakawa wanafuata damu iliyokuwa imetapakaa pale uani ambayo usiku wa jana haikuonekana wakaifata mpaka zizini walichokiona kilikuwa ni gombe mmoja yani alikuwa ameraluliwa mwili ote yani kama vile mtu alikuwa na panga alafu akamkata kata vipande vipande.basi wakasafisha pale na baadhi ya vipande vikazikwa,jioni nikaruhusiwa nikarudi nyumbani.

naomba niweke nukta hapa but naahid kuimalizia tulipata mitihani mingi mpka kuamua kwenda congo kumfata mganga huko huko ambako,tulikutana na viongozi wazito mno,ambao sitopenda kuwataja lakini la mwisho ni tulivyonusurika kuliwa nyama ndio nyama tena na watu wenzetu ntawasimulia vyote na jinsi gani tulivyoponea kutoka kwenye tundu la sindano

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na shuhuda kama hizi bado kuna raia hawa amini kama ushirikina upo
dah nmesoma sana ngoja na mimi ntoe kisa kilichosababisha niape kuwa sitakwenda kwa mganga tena kwenye maisha yangu.

ilikuwa 2002,tunatoka dar tunakwenda mkoa wa kigoma kwa wanojua bara bara enzi hizo wanajua ni jinsi gani kulikuwa na majambazi hasa ndani ya mapori ya Tabora,bahati haikuwa yetu mida ya saa 5 usiku wakati tupo road tukakuta bara bara imewekwa bonge la gogo mzee akataka kujitahid aligeuze ghafla walitokea watu wamebeba bunduki ndo kwa mara yangu ya kwanza kuone mtu kashka bunduki huku kajizungushia mkanda wa risasi mwilini bro wangu ile kuwaona tu akakata moto tuliokuwa hatujazmia tulikuwa watatu 3 mimi mzee na bimkubwa.

Tulichezea sana vitasa mzee alidhalilika mno mwisho wa siku walichukua mpka viatu nakumbuka viatu vyangu vya kitoto vya kuwaka taa,then wakaondoka mpka na gari tulikaa pale mpka saa 11 ndo tukapata msaada tukaenda polisi but hawakuwa na msaada mzee akapiga simu kigoma ikatumwa nauli tukaenda moja kwa moja mpka kwa baba yake(means babu),sasa babu yeye kila alivyokuwa anahadithiwa alikuwa anacheka mno hasa akimuangalia bro na ujanja wake ote et kazimia,upande wa baba yeye alikuwa na hasira mno alichokuwa anataka yeye ni wale watu awashikishe adabu hata kufa wafe basi ilivyofika usiku tukaelekea sehemu fulani inaitwa ujiji kwa mzee fulani alikuwa anaitwa juma njemba.

Nadhani kwa watu wa kigoma wanaweza kuwa wanamjua,akaelezewa kila kitu akasema hicho ni kitu kidogo sana,huku na yeye anacheka kisha akasema kuwa pale kwake kuna mbuzi alimchinja sababu ya sherwhe ya mwanae hvyo itatubidi tumtafutie mbuzi mwengne amreplace ili iwe kama malipo yake baba akakubali,kilichofata akawaita wajukuu zake walete (ubumba) ni udongo fulani hivi wa mfinyanzi kisha akawa anatengeneza kimdoli kidogo cha udongo kama vile vya kitoto toto,baada ya kukitengeneza akaanza kukiandika maneno yake kisha akakisimamisha chini,then akaanza kuongea maneno yake aliongea sana baada kama ya saa 1 akasema mtu yoyote ndani ya hichi chumba haruhusiwi kukimbia wala kupiga kelele kwani kwa kufanya hivyo ndo itakuwa kifo chake.

Basi aliendele kusema maneno yake ghafla yule mdoli pole pole alianza kukua na kuwa mkubwa pole pole,baada kama ya dakika arobaini alikuwa ni mkubwa kama binadamu mwenye mwili mkubwa alikuwa anamkono na kifua kikubwa na mrefu,kwa mara ya pili bro tena akazimia kwa mara ya pili mim mkojo ulishantoka natetemeka kama nmepatwa na dege dege,mwisho yule mdoli akaambiwa shtaka letu kisha akaambiwa nenda hivi vitu vinatakiwa leo leo,theb yule mtu akafungua mlango akatoka mbio alikuwa ni mwanaume lakini yupo uchi na ni mweusi tii kama mkaa mpka macho hakuwa na ichi kiini cheupe ye alikuwa na kiini cha moja kwa moja cha weusi,alivyoondoka tukaanza kumpepea na kumwagia maji bro alivyoshtuka yule mzee akatuambia kazi imeshakwisha kesho mtayapata majibu yenu.


Ilivyofika asubuhi tukapigiwa simu nakumbuka enzi hizo kulikuwa kuna buzz siyo hii tigo na hata simu zilikuwa za mezani,tukaambiwa kuwa kuna gari imepatikana Tabora yenye namba kama tuliyoripoti pamoja na vitu vingine,tukaanza safari na treni mpka tabora kufika kule tukakuta vitu vyetu na vingne vingi tu ila mzee alisema vyote vilikuwa vyetu hela zilikuwa kama 1m lakini zilipatikana 7m polisi hawakuchukua hata cent na hata walivyopewa walikataa kata kata hakikupotea hata kifungo kisha baada ya kuchukua tukaambiwa kuwa hao majambazi waliotuibia walikutwa msituni wakiwa wameuwawa wakasema wanahisi ni wanyama wakali ndo waliwauwa maana walikuwa wanaalama za meno makali milini mwao na kucha.

lakini wakashndwa kuelewa kama ni wanyama ndo waliwashambulia ni wanyama aina gani na kwanini hawakuwapiga hata risasi moja hao wanyama na wakati walikuwa na silaha nzito?Baada ya maelezo mengi mzee akawasha gari mpka kigoma stend ya kwanza mpka kwa yule mganga tulinunua mbuzi na zawadi nyingne nying lakini mzee aligoma hakutaka chochote zaidi ya mbuzi tu,basi tukampka mbuzi wake, akasema imebaki kazi moja tu na kazi yenyewe ni kumrudisha yule kiumbe(mdoli mtu)ili asitudhuru na sisi maana ni wetu hapo mdipo ilipokuwa mtihani maana kuna msharti mengi tulikosea plus kujisahau sasa akawa anatuandama sisi atuue dah kila mmoja nyumbani anaalama ya yule kiumbe yangu ni kungatwa skio na kula kipande nikipata mda ntawamalizia kisa changu but mpka leo mimi kwenda kwa waganga ni big no,but thanks god tulitoka salama


picha ya nilipongatwa kwenye skio ambyo ni alama ambayo sitaweza isahau mpka kifo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom