mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Mkuu huyo mzee Bado yupo?Kuna kazi nahitaji kumpa imetusumbua miaka mingi Sana hatujapata mtabe wa kucheza nayo,nipe mawasiliano yake Kama hutojali.kuna kazi nafanya ndo maana nmeandika juu juu kuna picha pia kuappload znagoma but kwa watu wa kigoma huyo mzee wanamjua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app