Usikute ni examination fever...eti ikumbukwe nilikua mwanafunzi anaefanya vzr zaidi darasani, sasa ikumbukwe na nani wakat kila kitu umeficha hata jina la shule? haaaaaah haaaaaah acha fix,
Sent using Jamii Forums mobile app
Africa sehemu nyingi sana watu wanazikwa wazima.Huyu Kiranga namshangaa sana,kina visa vingi vya watu kufa na baadae kuonekana tena na wakienda kufukua pale wapozikwa hawakuti chochote,hili nalo unalizungumziaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
...eti ikumbukwe nilikua mwanafunzi anaefanya vzr zaidi darasani, sasa ikumbukwe na nani wakat kila kitu umeficha hata jina la shule? haaaaaah haaaaaah acha fix,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe umeshawahi kuonjwa epo kimasihara?Huu Uzi unatembea fasta utazidi ule wa Wala epo kimasihara
Kweli sio ubishani tuNaona kitumbua kishaingia Mchanga
Wewe Kiranga umekuja kuharibu uzi
Sasa kama unataka kujua uchawi upo tumia hiyo hela hapo $1000 tafuta Mganga yoyote yule mkali Hata mkoani nenda, Mpe hela mwambie naomba nioneshe uchawi
Kivyovyote Utaoneshwa Hata ukitaka akufanyie Wewe anakufanyie
As long as umpe hela na ufate masharti yake
Mkuu acha fixi yani ulisubili paka kesho yake? [emoji23][emoji23]Nikiwa na miaka Tisa ya ndoa yangu sikuwahi dhani wala kujua wife ni mchawi maana alikuwa msomi wa juu sana na mtu wa kanisa sana.siku moja nikiwa nimelala ulivuma upepo mkali mno gafla nikiwa macho nikajikuta nanyanyuliwa juu aisee nilisali sala zote gafla nikarudishwa chini.Kuangalia pembeni yangu alipolala mwenzangu naona mbwa aisee ulikuja kama usingizi hivi sekunde wife akarudi ktk hali yake ya ubinaadamu.Kesho yake nikahama home na ndoa ikafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa na miaka Tisa ya ndoa yangu sikuwahi dhani wala kujua wife ni mchawi maana alikuwa msomi wa juu sana na mtu wa kanisa sana.siku moja nikiwa nimelala ulivuma upepo mkali mno gafla nikiwa macho nikajikuta nanyanyuliwa juu aisee nilisali sala zote gafla nikarudishwa chini.Kuangalia pembeni yangu alipolala mwenzangu naona mbwa aisee ulikuja kama usingizi hivi sekunde wife akarudi ktk hali yake ya ubinaadamu.Kesho yake nikahama home na ndoa ikafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Meno yako nayapenda siku moja nitakuja kuyaazima nikalie mishkaki.😀😀Hii,nishawahi kusikia watu wanaazima meno yako na kwenda kutafunia nyama huko na baadaye unarejeshewa, sometimes naskia unaweza rudishiwa yakiwa hayajasafishwa vizuri,ukiamka asubuhi meno yana damu damu + nyama nyama ,wakati usiku huo ulikula maharage[emoji3][emoji3] sayansi zipo hizi jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
apo kwenye kurudisha msukule....nna shida napo...kuna mganga anaiweza iyo kazi..? maana kuna mtu.nampenda kweli na walimchukua msukule..na hata kila siku namuota ila haongei...nahisi washamkata ulimi....nahitaji sana kama kuna mtu anaiweza iyo kaziNi ndefu kidogo hapa ila scenario nzima ni katk harakati za kumtafuta na kumrudisha aliyekua amechukuchuliwa kimazingara litunga(Msukule)
Sent using Jamii Forums mobile app