Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Mliota mnamla dereva au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kushikwa Tako ni Maandalizi ya Kusukumiwa Mkuyenge.. Jamaa ni Haki Walale Mbele.
 
Hapo ni kutimua mbio tu mamaa nakufaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali wewe umetoa solution ya kumtukuza mwana wa Mungu, naona wengi huku solution zao ni kwenda kwa waganga wa kienyeji ambao wanatumia majini kuwaponya, ni vyema na inapendeza watu tumkumbuke, kusimama, na kuishi na Mungu wa kweli, tuwe na imani isiyo na mashaka juu ya uweza wake. Tusali na kumuomba yeye, watu waache kuitegemea kuzimu kutimiziwa mahitaji yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Hivyo mlitumiwa!!hahahaaaa!!! Huyo mchawi alikuwa na kiu sana. Uzuri mituko chenu mlienjoy haina shida
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliliwa kimasihara!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…