Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Vibwengo nishawahi kutana navyo nikitoka bar night kali yaani vifupi kwa mbali vikija unaona kama taa inakufuata vinawaka taa kwenye paji la uso halafu vifupi na vidole vya miguu ya mbele vimegeuka nyuma yaan namaanisha mguu na vidole vinaangalia nyuma kwa hyo vikitembea kwa mbele unaona visogo vya miguu

.ukitembea ukikutana navyo usigeuke nyuma sasa we jitie van dame geuka uone umenikumbusha mbali mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pangani kuna mwana mazinga ombwe sjui anaitwa nani nishamsahau sjui.kababaye jamaa alikalia misumari kweli matako yakatoboka kweli na midamu mpaka Leo kwenye shughuli zake hajawahi kanyaga pangani na kuna nyimbo anaimba kabla ya mazingaombwe anasema pangani siendi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichogundua humu
Kuna watu fuata upepo, anaangalia fulani kasemaje na yeye aseme

Pili wengine bado ni watoto hawajakutana na masahibu

Tatu, kuna wengine wamekalilishwa neno CHAI,
basi kila coment wao utasikia ... Hio ni chai...

Wengine akili ya sisimizi wanahoji mtoa post eti inakuwaje kipindi hicho alikuwa anafundisha halafu miaka kadhaa mbele yuko field bila kujua Elimu haina mwisho.

Hawa nao wanajifanya kuhoji ili nawao waonekane wamo kumbe hawamo

Na mwisho, jamani uchawi upo na mimi nimeshuudia wachawi livi nikiwa mimi, dada yangu na kaka yangu (R.I.P) mida kama saa 5 usiku tukiwa tunamsindikiza dada kwenye uwanja wa mpira na visa vingine ninavyo kama hivi
 
Hahaaa huyo mwanamke aliwaelewa wote watatu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma kwa kuogopaaa aiseee haya mambo ni real kumbe[emoji52]Mungu wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilikuwa siamini hizo mambo lakn kipind cha wife ana ujauzito wa mtt wetu wa kwanza.. nikiwa mchanga kbsa kiimani,siku hio nakumbuka tumelala tukaota ndoto moja mm na wife.. ndoto ilikuwa ni mmama mmoja anasema anataka mtt alieko tumboni ili amtoe kafara,tukashtuka.. baada ya kushtuka tukasikia mipaka inalia nyuma ya nyumba kwa sauti kubwa,nilikuwa nmeshafundishwa kuomba na kukemea.. asee niliomba sana usiku huo kwa ujasiri na nguvu maana wife yeye muda huo alikuwa analalamika tumbo linamuuma na mtt alikuwa anarukaruka hatar tumboni... wakat naendelea kuomba kwa nguvu na ujasiri nkaanza kusikia sauti za paka zinaendelea kusogea mbali na nyumba lakn kitu ambacho kilikuja kunishangaza mpka sasa ni kwamba wakat naendelea kuomba nilianza kusikia vishindo kbsa kwnye bati na nyumba haikuwa na celingboard yaan vile vishindo ni kama mtu akiwa anatembea juu ya bati ikatembea alafu nkasikia hiko kishindo kimetua kama kudondoka nyuma ya chumba changu... nkapata ujasiri wa kukatisha maombi ghafla nkafungua mlango kwenda kuangalia nione hata nyayo.. bt sikuona chochote... Hata siku wife kaumwa na uchungu mida ya jioni mapaka yalilia sana siku hio.. akaenda hosptal akajifungua na alijifungulia pale amana enzi hizo na wakt anajifungua paka alitokea akabeba na kondo lake la nyuma,akatoka salama... tukaendelea kumlea mtt wetu lakn mtt alikuwa anaumwa kila siku mwisho hasa kuharisha na kutapika na tukienda hosptal ugonjwa hauonekani..so mtt alipofika mwaka na miez miwil sku hio hali ya mtt ikiwa dhoofu wazaz wakaomba tupeleke mtt akaugulie huko.. basi nkamwambia wife akapaki akapanda daladala kwenda home.. akiwa kwnye daladala mzee mmoja mwnye mapetepete mengi ya rangirangi na kanzu na kibalaghashia chake akauliza huyu mtt anaonekana anaumwa eeh wife akamjibu ndio.. akamwambia ugonjwa wake sio wa hosptalin bt hakumwelewa alimaanisha nn,kufika home kakaa siku ya kwnza siku ya pili usiku akiwa amelala akaota ndoto wamekuja mmama na kundi lake kavaa kaniki akasema mmalizieni kabiss huyo mtoto afu ndoto ikakatika...kesho yake asbh mie nko mtaani napiga mzgo wife akanipgia simu hali ya mtt imechange na kwl haikupita dk kumi wife akiwa anamnyonyesha mtt akamfia hapohapo... R.I.P katt kangu ka kike first born wangu..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah!pole sana mkuu,.
wife angejua alivoota io ndoto tena angeendelea na maombi na asingeacha.
Na ndo maana biblia inasema usimwache mwanamke mchawi akaishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah
 
[emoji23]
 
Nasikia Diamond huko Kigoma zaidi ya kupokelewa na umati wa kihistoria lakini pia kapokelewa na kundi kubwa la popo angani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Anayebisha tembelea IG page ya babutale.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kijana naye mwanga sana,nyumbani kweke ni masheikh tu wanapigana vikumbo mara nazi zivunjwe usiku basi tabu tupu,naona ndio staili ya life ya bongo.mwenye nafasi au tajiri,MWANGA.
 
Wacha na Mimi niwape mkasa niliyoshuhudia katika mahakama moja miongoni mwa wilaya za Tanga.
Nikiwa katika harakati za kutekeleza majukumu ya kikazi nilipanga nyumba moja hivi iko vizuri tu.wapangaji tulikuwa watatu tu, baba mwenye nyumba Ni kijana mwenzetu ana mishe zake. Sasa bhana huyu baba mwenye nyumba kwenye biashara zake akafanya magumashi yaliyompelekea kushatakiwa na kufunguliwa kesi mahakamani. Kesi ilikuwa kubwa ya kumfunga kifungo kirefu tu. Kwa kuwa huyu baba mwenye nyumba tulikuwa tukielewana stori kwa Sana akanambia nimsindikize mahali kwa mganga. Tukaenda aisee tulipofika mganga akatueleza shida tuliyoendea kesi jinsi ilivyo na imebaki shahidi tu kuja kutoa ushahidi siku ya kesi jamaa ahukumiwe kwa namna yoyote jamaa hachomoki. Mganga akasema kanileteeni Nazi moja tu na si kitu kingine duh tukasema hapa hamna mganga. Tukaenda nunua Nazi tukampelekea, mganga akaandika maneno ya kiarabu kwenye ile Nazi kwa juu ikiwa haijapasuliwa ( maandishi yalikuwa ya rangi nyekundu). Kisha akasema saa 8 usiku ile Nazi ikapasuliwe njia panda ya kuelekea mahakamani.
Tuliporudi home tukawa tunasema mganga mzinguwaji kesi kubwa yy anatufanyia mzaha, basi saa nane usiku tukaenda njia panda ya kuelekea mahakamani jamaa jamaa akajifunga kaniki nyeusi Kisha akaipasua kama alivyoelekeza mganga.
Siku ya kesi ikafika ndipo nilipojuwa kuwa dunia no Zaidi ya tunavyoiona. Jamaa kafikishwa kizimbani kasomewa mashtaka kakataa akaitwa shahidi wa Kwanza, hakimu Kila swali akimuuliza shahidi anasema kasahau hakumbuki kitu, shahidi wa pili ndiye was muhimu Sana aisee jamaa alivyopanda kutoa ushahidi alikuwa bubu seriousky kudadeki acheni tu Kila akiulizwa anashindwa kuongea anabaki baaaa...baaaa...mmmm. Hakimu alidata akaahurisha kesi.
Siku tajwa ya kesi kufika hakuna shihidi alokuja Tena na Tena. Hakimu akafuta kesi na jamaa akawa huru.
Hivi vitu vipo aisee Ni mpaka ushuhudie ndiyo utaamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
qumamaqe watu wanaroga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji3][emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
daaah!!!
hivi nazi ina mahusiano gani na ushurikina
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…