Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Nguvu za giza nlizowah kushuhudia ni pale mwanamazingaombwe alipochana chana gazeti akaweka kweny kikap halaf akaanz kuongea lugh za ajab ajab badae akaanza kutoa ndizi mbivu, pipi, peni n.k.. tulikula hzo ndiz balaa. Ilikuw primary school darasa la 6 2006.
 
Hii nilisimuliwa nilipokuwa Mafia.. [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee pole sana ..nimevutiwa tu na hii story
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivyo tu mkuu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
One day nikiwa darasa la nne hiv tulichezea stick kama zote sababu ya kuchelewa namba, usiku wa siku hiyo nikaongea na dogo langu yy alikuwa darasa la tatu kuwa siku inayofuata tuamke mapema,

Bhana weee majira kama ya saa nane/tisa mzee tuko hewan, tukajaza zetu maji kwenye galon (5lt) kila mmoja la kwake, ile tunatoka mzee akatuzingua kuwa ni mapema mno, so turud ndan,

Aaaaweee 2kamkubalia kwa kwenda ndan, then alipoingia kulala tuuu, tuakamsomea timing tukapita na mlango wa nyuma, then tukaelekea kiskul.

Bhana weee, njan tulikuwa pekee eeetu, njan tuliyopitia kwa asilimia kubwa imefunikwa na miti miref aina ya mikaratus, ucku ulikuwa ubatisha balaa,

Cha ajabu tupofika skul, hata mlinz hakuepo, coz tulimsaka kila anga, hakukuwa na mtu, tulikuwa tunasikia kama mtu anatwanga kitu kweny kinu, then mwingine kama ana nyanyua ndoo ya plastic then anaiachia inajipigiza, hatar sana.

Dogo alinambia niangalie sehem flan hiv kweny mti yy anadai anaona mtu amevaa nguo nyeup anapanda na kushuka, me macho yangu yaling'ang'ana na mwanga wa taa tuu, huku nimeshikilia dirisha.

Tuliposikia Swalaaaa, ikabidi tutafute darasa tukapiga mbonji then saa kumi na mbili unusu tukapata namba zetu, lkn cha ajabu siku hiyo ticha hakupiga wala nn.
Aaaaacha kabisa sintokuja sahau hii nshu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka kupata mwenyeji wa tanga kuna ishu nafuatilia,sijui nitampate,we we u mwenyeji tanga? Nampango wa kuja huko
Kuna mwamba humu JF aliwai kusimulia alichomoa hii ishu ya vyeti feki ya magufuli wenzake waliogopa wakapigwa chini yeye aliingia tanga hapo akafanya mambo hakudakwa mpaka leo yuko kazini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka kupata mwenyeji wa tanga kuna ishu nafuatilia,sijui nitampate,we we u mwenyeji tanga? Nampango wa kuja huko

Sent using Jamii Forums mobile app
labda nikupe connection ya fundi tu jamaa fundi amefanikiwa hadi kumpa mmoja wa mawaziri uwaziri ni noma huyo alafu hana tamaa ukifanikiwa ndio unaenda kumshukuru
 
Hii imewahi nitokea mkuu ilikua mkesha wa mwaka mpya usiku kama saa nane nimemsindikiza demu hadi kwao ile narudi ukapita mwanga mkali halafu wa moto kama jua wakati kulikua na giza totoro aisee zile mbio ingekua mashindano hata Hussein bolt ningemshinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ni kuwa na ujasiri tu.
 
Hahahaaaa halafu kama utani kumbe hao watu wapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao mafundi wapo, kuna siku sitosahau kuna kijiji huko Pangani nilikuwa napenda kwenda weekend kupiga story jioni kuna kuwa na kahawa.

Kuna mzee akaniambia kijana wewe upo tayari leo mtaalam nipo nae anakuja kufanya dawa.Kuna vitu alikuwa bado kununua tukatafuta ubani,nazi na udi.

Baada ya muda tumerudi kijiweni fundi alikuwa anamsubiri, tukajitenga pembeni kwa ajili ya maongezi fundi akaongea mengi sana na kazi akasema saa 8 usiku itafanyika njia panda na kuvunja hizo nazi.

Ilibidi niwatoroke bila kuaga nilipofika mbele nikapanda bodaboda kuelekea nyumbani. Siku niliyokuja kutana na mzee anasema bahari huna maana wewe umekimbia shughuli kwa yule fundi yule wateja wake watu wazito huwezi ukamuita kama huna pesa, kisha akasema mimi nimejuana nae miaka mingi.
 
Jamaa una fix sana wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…