Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kisa changu mimi, nakumbuka mwaka 2011 nilipata kazi, ikanibidi nihame home nitafute getho. Nikapata ghetto la bei rahisi chumba sebule sehemu moja inaitwa "Kwa Ali Mboa". Huko Jeti lumo kama unaelekea airport hapa mjini daslama.

Kuna siku nimetulia sebleni usiku nacheki movie, mara nikapitiwa na usingizi makali ghafla. Nikiwa usingizini nikamuona mke wa jirani yangu anaingia ndani kwangu kajifunga kitambaa cheusi kifupi, akanifata kwenye kochi nilipokuwa nimejilaza, akanikanyaga kifuani, akageuka tena akataka kunikalia usoni. Wakati anataka nikalia nilisikia harufu mbaya sana inatokea kwenye private parts zake(sijui ni anus ama vagina). Nilihangaika hadi nikashtuka usingizini...nikajisemea, itakuwa ni ndoto tu hiyo. Mara nikapitiwa tena na usngizi mkali. Mara hii nilikaona katoto ka jirani yangu kanaingia ndani kwangu kakiwa kamejifunika kitu cheusi kama shuka jepesi kuanzia kifuani.

Hizi ndoto zikikuwa zinajirudia karibu kila nikilala lakini naona watu tofauti tofauti ninaowafahamu. Wengi wao wakiwa majirani zangu.

Nilipohama hiyo sehemu, sikuwahi kuota hizo ndoto tena. najiulizaga bila majibu kama zile zilikuwaga ni ndoto ama ni wachawi waliokuwa akinijaribu!!

Majirani zangu wote walikuwa wamakonde.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi na mshkj wng niliwahi kuenda kwa mtaalam mmoja nilimsindikiza uyo mshkj wng mimi nilikuwa sina imani na nguvu za giza insuch kipindi iko afu nilikuwa mbishi, sas bana yule mzee alisema kimasihara kuwa kuna dawa nikiwapa unaona wachaw na majin usiku, mshkj wng aliogopa akaikataa mm kwa kiherehere changu niliiomba uku nikijichekesha nakudhan ni mchezo wa kuigiza. Alinipa akaniambia hii utaoga usiku alafu na hii utaipaka kabla ya kulala afu hii kesho asubuhi utaogea na kupaka ili kuiondoa iyo hali ya kuendelea kuona ila sharti ni moyo usizungumze chochote pindi utakapokuwa uona ukizungumza utajijengea mazingira ya uadui..nikakubali, Haha ayse yanii ule usiku siusahau kwa vituko nilivyokuwa naviona dunia ina mambo mengi nyiny zaidi ya unavyoiona..

Sent using Jamii Forums mobile app
Vituko gani kwa mfano?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi na mshkj wng niliwahi kuenda kwa mtaalam mmoja nilimsindikiza uyo mshkj wng mimi nilikuwa sina imani na nguvu za giza insuch kipindi iko afu nilikuwa mbishi, sas bana yule mzee alisema kimasihara kuwa kuna dawa nikiwapa unaona wachaw na majin usiku, mshkj wng aliogopa akaikataa mm kwa kiherehere changu niliiomba uku nikijichekesha nakudhan ni mchezo wa kuigiza. Alinipa akaniambia hii utaoga usiku alafu na hii utaipaka kabla ya kulala afu hii kesho asubuhi utaogea na kupaka ili kuiondoa iyo hali ya kuendelea kuona ila sharti ni moyo usizungumze chochote pindi utakapokuwa uona ukizungumza utajijengea mazingira ya uadui..nikakubali, Haha ayse yanii ule usiku siusahau kwa vituko nilivyokuwa naviona dunia ina mambo mengi nyiny zaidi ya unavyoiona..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa naskia kwenye kordo mtu anatembea kuja usawa wa chumba tulicholala akivalia viatu vya mchechemea mara mlango unafunguliwa haingii mtu unaingia upepo tuu. Nikimuuliza mwenzangu anasema hajaskia mlango ukifunguliwa ninamawange amna kitu. Nilianza kupata kausingiz baada ya muda niliskia kishindo kwenye bati yan kwa kile kishindo ni kama uzito wa gari umeshuka juu ya bati mpaka nikawa nachungulia nakujiuliza iki kitu kwa kishindo iki hakijaingia ndan kwel nikimchek mwenzangu hata hajashtuka chochote kwa kile kishindo ndo kwanz anauchapa usingz na kukoroma, yalitokea matukio kadhaa kadhaa ila kubwa zaidi ilifika mda nkapitiwa tn na usingiz nkawa naota km kitanda iv kimeinuliwa juu nikashtuka kiaina ile nimefungu macho naona cyling body hii apa karb ni kitendo cha kunyanyua mkono na kuishika tuu nimepigwa na bumbuaz flan sekunde kadhaa nachek tn naona kitanda kipo fresh chini. Yan we acha tuu nilikoma usiskia mtu anasumbuliwa na mauza uza iv vitu ni hatar mnoo. Mara uskie ngoma nje zinapigwa mapaka yanalia kupitiliza yan af asbh nikiuliza wanasema hakukuna na milio ya paka jana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najaribu kuunganisha dot bado sijapata majib kulalek
wote wanatumia nguvu za giza mkuu kuna waziri mmoja rafiki yangu nilikuta kwake kawafungia waganga kama 30 hivi anawalisha kila kitu wamtengeneze mambo yake yawe mazuri na kweli amefanikiwa jiwe anamsikiliza hatari japokua jamaa ni bogus tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa changu mimi, nakumbuka mwaka 2011 nilipata kazi, ikanibidi nihame home nitafute getho. Nikapata ghetto la bei rahisi chumba sebule sehemu moja inaitwa "Kwa Ali Mboa". Huko Jeti lumo kama unaelekea airport hapa mjini daslama.

Kuna siku nimetulia sebleni usiku nacheki movie, mara nikapitiwa na usingizi makali ghafla. Nikiwa usingizini nikamuona mke wa jirani yangu anaingia ndani kwangu kajifunga kitambaa cheusi kifupi, akanifata kwenye kochi nilipokuwa nimejilaza, akanikanyaga kifuani, akageuka tena akataka kunikalia usoni. Wakati anataka nikalia nilisikia harufu mbaya sana inatokea kwenye private parts zake(sijui ni anus ama vagina). Nilihangaika hadi nikashtuka usingizini...nikajisemea, itakuwa ni ndoto tu hiyo. Mara nikapitiwa tena na usngizi mkali. Mara hii nilikaona katoto ka jirani yangu kanaingia ndani kwangu kakiwa kamejifunika kitu cheusi kama shuka jepesi kuanzia kifuani.

Hizi ndoto zikikuwa zinajirudia karibu kila nikilala lakini naona watu tofauti tofauti ninaowafahamu. Wengi wao wakiwa majirani zangu.

Nilipohama hiyo sehemu, sikuwahi kuota hizo ndoto tena. najiulizaga bila majibu kama zile zilikuwaga ni ndoto ama ni wachawi waliokuwa akinijaribu!!

Majirani zangu wote walikuwa wamakonde.

Sent using Jamii Forums mobile app
wachawi hao walikuchezea vzr sn, uliwasafisha makalio yao kwa mdomo wako walipomaliza haja zao, pole sn.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka kipindi hicho nikiwa na umri wa miaka 6. Usiku wa saa saba, mkojo ukanibana sawa sawa, ikabidi nimwamshe Mamdogo anitoe nje ili nitoe hiyo haja ndogo

Kwasababu Mamdogo alikuwa na usingizi kwa kutosha, ikabidi anipige biti la hatari na kufoka sana. Tukatoka, yeye akasimama mlangoni mie nikasogea kama mita nne hivi ili nijisaidie. Zile kelele za mother kufoka usiku akiwa mlangoni, tulisikia sauti ya kike kutoka nyuma ya jiko ikisema "MUACHE AKOJOE NAWEWE". Hahahahah!!! Sikutambua Mamdogo kaingia ndani sangapi maana kugeuka nyuma sioni mtu mlangoni. Kwakuwa nilikuwa mdogo niliendelea na haja yangu then nikarudi ndani......
aisee,baada ya hapo ikawaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom