Kisa changu mimi, nakumbuka mwaka 2011 nilipata kazi, ikanibidi nihame home nitafute getho. Nikapata ghetto la bei rahisi chumba sebule sehemu moja inaitwa "Kwa Ali Mboa". Huko Jeti lumo kama unaelekea airport hapa mjini daslama.
Kuna siku nimetulia sebleni usiku nacheki movie, mara nikapitiwa na usingizi makali ghafla. Nikiwa usingizini nikamuona mke wa jirani yangu anaingia ndani kwangu kajifunga kitambaa cheusi kifupi, akanifata kwenye kochi nilipokuwa nimejilaza, akanikanyaga kifuani, akageuka tena akataka kunikalia usoni. Wakati anataka nikalia nilisikia harufu mbaya sana inatokea kwenye private parts zake(sijui ni anus ama vagina). Nilihangaika hadi nikashtuka usingizini...nikajisemea, itakuwa ni ndoto tu hiyo. Mara nikapitiwa tena na usngizi mkali. Mara hii nilikaona katoto ka jirani yangu kanaingia ndani kwangu kakiwa kamejifunika kitu cheusi kama shuka jepesi kuanzia kifuani.
Hizi ndoto zikikuwa zinajirudia karibu kila nikilala lakini naona watu tofauti tofauti ninaowafahamu. Wengi wao wakiwa majirani zangu.
Nilipohama hiyo sehemu, sikuwahi kuota hizo ndoto tena. najiulizaga bila majibu kama zile zilikuwaga ni ndoto ama ni wachawi waliokuwa akinijaribu!!
Majirani zangu wote walikuwa wamakonde.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku nimetulia sebleni usiku nacheki movie, mara nikapitiwa na usingizi makali ghafla. Nikiwa usingizini nikamuona mke wa jirani yangu anaingia ndani kwangu kajifunga kitambaa cheusi kifupi, akanifata kwenye kochi nilipokuwa nimejilaza, akanikanyaga kifuani, akageuka tena akataka kunikalia usoni. Wakati anataka nikalia nilisikia harufu mbaya sana inatokea kwenye private parts zake(sijui ni anus ama vagina). Nilihangaika hadi nikashtuka usingizini...nikajisemea, itakuwa ni ndoto tu hiyo. Mara nikapitiwa tena na usngizi mkali. Mara hii nilikaona katoto ka jirani yangu kanaingia ndani kwangu kakiwa kamejifunika kitu cheusi kama shuka jepesi kuanzia kifuani.
Hizi ndoto zikikuwa zinajirudia karibu kila nikilala lakini naona watu tofauti tofauti ninaowafahamu. Wengi wao wakiwa majirani zangu.
Nilipohama hiyo sehemu, sikuwahi kuota hizo ndoto tena. najiulizaga bila majibu kama zile zilikuwaga ni ndoto ama ni wachawi waliokuwa akinijaribu!!
Majirani zangu wote walikuwa wamakonde.
Sent using Jamii Forums mobile app