Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

haukumla kisusio mimi ningemfuata nikamshika tako kiaina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliona kichwa chake nn..... ????
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka fulani nikiwa katika mafunzo ya JKT katika kambi moja wapo hapo Kigoma,
Kuna ServiceMan mwenzetu alimua kapangiwa lindo huko ndichi mashamani, mchana akiwa lindoni akakutana na bibi kabeba mkungu wa ndizi za jeshi, Basi Service akachukua ndizi na bibi akarushwa sana kichura, mwendo wa bata na kupiga push za kutosha kisha akaachiwa andoke zake.

Jioni jamaa anarudi Hangani(Dom) baada ya kukabidhi silaha akaanza kuumwa sana mpaka asubu ni mahututi, hospitali wanadai hawaoni ugonjwa basi Nyumbani kwao wakamuomba akaenda kutibiwa na akapona, Siku anarudi kambini ile hali inaanza upya, akitoka nje ya kambi mzima ila akiingia kambini hoi. Mpaka Utawala wakamumisha Kambi.

Shkmaooo Kigoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi visa kusoma usiku unatisha...ngoja niende kwa walaji matunda kimasihara nisije kuota vitu vya ajab ajabu
Unanikumbusha dada yangu alinikuta natizama movie ya Matrix usiku. Kunikuta akaunga tela. Usiku mnene alivyolala ghafla akawa anapiga makelele. Wazazi kuja mbio mbio kumuuliza nini akanitaja mimi. Mama akanijia akaanza; umemfanyaje dada yako (?) Unaangalia madude yako huko unamtisha mwenzako. Sitaki kabisa uangalie madude yako na mwenzako akiwepo!

Nikabaki hee! Movie ya Matrix anaota! 😂😂😂 miaka ya nyuma hiyo!
 
Dah, CCM tuna taabu sana mwaka huu
 
Hii iliwahi mtokea mmshkikaji mmoja bwenini. Yaan jamaa alitoka mara nne nje ndani ya saa moja, nioashangaa jamaa mmoja mlokole anaanza kukemea pepo, ndipo yule jamaa akaa cha kujiskia mkojo. Ila ile hali Haikuwahi kujirudia tena pale bwenini
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusibishane Sana Wakati Kuna obvious solution
Hicho kitu tusichokifahamu ndio tumekipa Jin la 'Uchawi:
 
inasemekana kwa mabinti girls walikuwa wanafuata kulamba damu za hedhi,kwa wanaume wanafuata mkuyenge(ndio pale kwenye ndoto nyevu).

kimbembe kuwe na mmoja wenu ana mapepo humo ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…