hao mbuzi wanaojichunga huwa wabaya sana, usiwaguse, mbuzi anafunguliwa kwenye banda tu anajua mwenyewe pa kwenda, mbuzi kabla hajavuka barabara kwanza anageuka kulia na kushoto, ukiwaona waache!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa yereuwiiiiIlikua zamani wakati wachaga bado walikua wanashika dini. Wale wa Magomeni mwembe chai unewaona siku hizi?
Aseee, nilikuwa nasearch Gamboshi hapo Google map na haya ndo majibu:
View attachment 1312909
I moved your cheese!
Wewe hujui hata Kiswahili.Harafu wewe ni mpuuuzi sana na umejaaa jeuri sana wewee,na hako ka kingereza kako basi kila mtu wamtukana,morons of frog wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie ningekiambia kaniletee madini!! wewe mtu mfupi...Nikiwa na mdogo ila nikijielewa tulikuwa tunacheza kombolela na wenzangu na mimi ndiye niliyekuwa nazinga.Ghafla wakati wenzangu wamekwenda kujificha nyumba ya jirani yetu kulikuwa na mwembe,basi pale chini ya ule mwembe akatokea kimtu kifupi sana kimevaa gauni la blue mithili ya big mack,ni cha kike kikiwa mguu mmoja na amesuka nyele mabutu mawili,alikuwa ananinyooshea mkono kwa ishara ya kuniita,nilipigwa na bumbuwazi sana na nikatoka nduki balaa kuwafuata wenzangu,nikawaelezea nilichokiona na tuliporudi ili na wao wahakikishe kikapotea,hadi leo nikiwa ni mtu mzima sikupata kitu kibaya chochote
huyu hatakiwi kujibiwa,siku moja nature yenyewe itajipambanua machoni pake kwa sura yoyote tu.Huyu kiranga hua anajibu swali kwa kukuswalisha.hatoagi jibu ata kidogo.uchawi upo.
Hawa wooooote wanaoyashuhudia humu hata kidogo hutaki kusadiki??sikuelewagi ndg.we sijui muha.sisi waha tunaweza kubishana na ukweli mpaka ukweli ukakubali.we pinda amini huo sijui uo atheist wako ila uchawi upoooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie ningekiambia kaniletee madini!! wewe mtu mfupi...
Huyu kiranga hua anajibu swali kwa kukuswalisha.hatoagi jibu ata kidogo.uchawi upo.
Hawa wooooote wanaoyashuhudia humu hata kidogo hutaki kusadiki??sikuelewagi ndg.we sijui muha.sisi waha tunaweza kubishana na ukweli mpaka ukweli ukakubali.we pinda amini huo sijui uo atheist wako ila uchawi upoooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha kuwa dunia inalizunguka jua. Kwanza hata wanasayansi wanakiri wameongeza chumvi (orbit) kwenye mfumo wa jua. Btw naomba tusibishane.Ukitaka kunijibu kwa tija zaidi, naomba unitag au uninukuu ili nipate kuona maandishi yako, vinginevyo unaweza kunipinga kwa hoja halafu hata nisione uli hiandika, nikakosa nafasi ya kukujibu.
Kuhusu kujibu kwa maswali, mimi natumia Socratic method.
Kama hujui Socratic method ni nini, sishangai hunielewi. Google that.
Na watu wengi kukubali kitu hakukifanyi hicho kitu kiwe kweli.
Kuna kipindi watu wengi walikubali jua linazunguka dunia.
Je, hilo lilifanya jua liwe linaizunguka dunia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiniambia nisi comment, ndiyo umenialika ku comment.Kama mtakimbuka ile mvua ya mawe kahama march 2015 ngoja niwape kisa chake.
Mvua zilikuwa adimu sana basi wananzengo wakamfuata mganga mmoja alokuwa ana tuhma za kuzuia mvua
Basi watu wakamuhoji akakataa tuhuma hizo. Jamaa hawajaelewa wakampiga hadi kumuua.
Wakati anakufa alisema nakuta lkn mtaona.
Waloelewa walianza kuhama walokaza shingo wakakomaa .....
Mvua ilipoanza wakasema tumemuua yule alikuwa anazuia mvua....lkn ikaja kuzidi....na mawe juu. Iliua watu na mifugo na uharibifu mkubwa ulotokea.
Kiranga usi comment hapa
Kuthibitisha unakokutaka unataka kukidhi vigezo gani?Thibitisha kuwa dunia inalizunguka jua. Kwanza hata wanasayansi wanakiri wameongeza chumvi (orbit) kwenye mfumo wa jua. Btw naomba tusibishane.
Sikulazimishi ukubali ila nikwambia jambo moja tu ndugu, kwenye maji kuna vimbwanga hujawahi kufikiriaa. Hii alinihadithia mama yangu kipindi wanakwenda Bukoba miaka ya themanini ambapo meli ya Mv Bukoba ilikuwa ikifanya safari zake mchana.Hii story huwa inahamishwa tu maeneo,, maana mara ya kwanza kusikia nilihadithiwa kuwa ilikua ni ziwa Victoria kuelekea kisiwa cha ukara Ila hapa naona aliekuhadithia sababu alikua dar aka twist mazingira ili kuonekana kuna uhslisia lakini kiukweli hii story ni KAMBA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mtakimbuka ile mvua ya mawe kahama march 2015 ngoja niwape kisa chake.
Mvua zilikuwa adimu sana basi wananzengo wakamfuata mganga mmoja alokuwa ana tuhma za kuzuia mvua
Basi watu wakamuhoji akakataa tuhuma hizo. Jamaa hawajaelewa wakampiga hadi kumuua.
Wakati anakufa alisema nakuta lkn mtaona.
Waloelewa walianza kuhama walokaza shingo wakakomaa .....
Mvua ilipoanza wakasema tumemuua yule alikuwa anazuia mvua....lkn ikaja kuzidi....na mawe juu. Iliua watu na mifugo na uharibifu mkubwa ulotokea.
Kiranga usi comment hapa