Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

umewahi kuwasiliana naye tena?ulizaa naye?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uliona nini mzee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo kimbambala bila shaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2004 nilikwenda kikazi Kasulu Kigoma. Tulipokelewa na wenyeji Ujiji tukaenda na gari yao mpaka Kasulu na kulala kwenye gesti moja pale mjini. Ilikuwa mwezi wa saba kipindi hicho baridi ni kali na vumbi ni jingi sana. Mimi huwa sio mvumilivu wa baridi katika mazingira ya baridi pamoja na kujifunika blanketi lazima nivae na soski, la sivyo siwezi kulala maana nyayo zangu huwazinashika baridi sana. Usiku nikavaa soksi zangu tena ndefu sana nikajifunika mablanketi yangu nikapitiwa na usingizi. Kwenye saa tisa usiku hivi nikashtuka usingizini, baada ya wenge la usingizi kupungua nikagundua nyayo zimekuwa za baridi sana nikashangaa kugusa miguu sina soksi, nikaamka nikawasha taa, nilipata mshituko sana kuona soksi zipo kwenye mto niliolalia badala ya miguuni...usiku ulikuwa mrefu sana baada ya hapo maana sikulala tena. Kesho yake kuhadithia wenyeji walicheka tu na kusema itakuwa nilikuwa nimechoka sana na safari. Nikajiuliza sana nini itakuwa kimetokea usiku huo au nilivua soksi mwenyewe bila kujua lakini suala la kuvua soksi mwenyewe halikuingia akilini kabisa yaani nikiwa nimelala nivue soksi mguu wa kwanza halafu wa pili halafu nizipange vizuri kabisa kwenye mto bila kujitambua
 
Ina maana mganga alishindwa kupindua dawa za mwenzie?[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…