alafu wachawi wengi huwa wanajificha kwenye dini ili waonekane watu wema....
Mara ya kwanza niliposali kwa kunena kwa lugha sikuamini Boss wangu ambaye ni Mama wa makamo na anayeonekanaga kashika sana dini kumbe behind anajua waliingia viapo na shetani (narudia waliingia viapo na shetani) ili watoto wawe hawafanikiwi katika eneo hilo eneo la kazi....na siku ya kwanza kuhudhuria ibada hiyo ijumaa(boss hakuwepo) tuluabudu na kusali tu na watoto... nikajikuta naanza kunena kwa lugha maana wakati watoto wanaabudu mimi nilijikita kusema asante Yesu mpaka leo naamini Mungu alinichagua mimi nibebe lile eneo kwa maombi,
Hilo eneo lilikuwa limejitenga kidogo na eneo la kazi, Nilivyorudi oficin nliendelea kunena kwa lugha zaidi ya saa zima, ilikuwa experience ngumu sana maishani mwangu nilioneshwa rohoni jinsi Boss na washirika walivyotoa kafara Vichanga kama miezi 7 au 8..... Happy ninavyonena kwa lugha roho inaniambia boss ndio mbaya
Boss alipigiwa simu na mtoto ikiwa saa 1 akacheka kwa dharau akasema mimi muongo..... but all in all Mungu yupo na anafanya kazi maana baada ya yale maombi viapo na shetani walivyoingia vilikuwa vinawalinda na kuwapa nguvu kiasi kilchofnya boss acheke kuwa mm mdogo kwake na nilipata kesi kubwa sana it was me going to jail for about 40 to 50 years ulimwengu wa shetani mbaya sana ila thanks God nilipona na sikufungwa japo kazi ilipepea maana dhumuni la shetani lilikuwa ni kuniondoa tu pale kazini waendelee kufanya hayo makafara......
Ila Mungu alivyo wa ajabu baada ya miezi michache tu nilipata connection ambayo niliomba Mungu apatikane mtu atakaenishika mkono kama alivyowapa wana wa Israel Musa... It happened nilikutana na black America mmoja around ninakokaa akanifanya mpango nikapata job yenye 100% salary rise....
Sio hivyo tu niliomba Mungu anifunge kwa mda nisijihusishe na Sex aiseh, kuna siku nimetoka kununua kinga kabisa nikawa nasema Mungu kama unanipenda naomba Nioneshe kitu chochote nisifanikiwe kwenye hili tukio..... akati narudi kutoka kununua kinga nilichokutana nacho kikanifanya niamini Mungu yupo....
Sent using
Jamii Forums mobile app