Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Na bado hutaki kujua tatizo???
 
[emoji2] [emoji2] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kubwaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu ubarikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2014 mererani tukiwa tunapanda pori niko na nobel wa camp nimempakiza kwenye XR mida ya moja na nusu jioni..kama unajua njia ya majabalini kwenda opec..tulikutana na nyoka mkubwa sana na mida hiyo tangu tunatoka kijij hatukutana na mtu njiani. Bac jamaa akaniminya bega baada ya kusimama taa ya pikipiki ikimmulika alikuwa anavuka njia..nyoka alikuwa mkubwa kama nguzo ya umeme zile kubwa za transformer..vinyoleo vya mwili vilisimama kila kona mara pikipiki ikajizima(ilkuwa inatatizo kwenye kapreta) nikatoa tochi ya ki-miner nikamulika mbele mdude ukawa hautembei na lenywe limesimama,tatizo ni haujui kichwa ni wapi na mkiani ni wapi,nikiwa na waza jinsi tutakavyomezwa kama ile movie ya Anaconda, mara tochi ikajizima kafla(hapo miujiza iltendeka) hiyo tochi ilkuwa mpya na ilkuwa ni ya kuchajiwa na umeme. Ikanibidi niwashe bike,mshikaji kaganda hawezi hata kuongea kazi ni kuniminya bega[emoji23][emoji23][emoji23]
Tukawa tupo kwenye giza nene sana kama la manta, kupiga kiki ya kwanza ya pili ikakubali taa zikawaka kucheki mbele hamna kitu, nikatia gia nikawa naondoka pole pole nikasikia sauti inacheka, kwa sauti ya XR dume ila niliisikia vizuri ilkuwa inatokea kwenye vichaka..ila namshukuru mungu tulifika camp salama na tochi inawaka kwenye bakubaku[emoji30][emoji30][emoji30]
 
ila inategemea unatabiri kwa jina la nani na unatumia nini?? Kama mtu anatabiri kwa jina la Yesu hakuna shida kabisa.....maana hakuna uhusiano direct WA nguvu za nuru na giza

Sent using Jamii Forums mobile app

Mathayo 24

23 Wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule msisadiki.

24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.

25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.

26 Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki.
 
Ulikutana na nn? Tunapenda kujuaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee kumbe mirerani kuna hizo mambo, nimekaa sana kule for some years... Huyo. Nyoka alikuwa wa kimiujiza ndio maana mkasikia vicheko... All in all Mungu hulinda waja wake
 
Nimekumbuka kwenye hadithi za sani linda,seba na....,.
Na joka la vichwa vitatu la miujiza kisiwani kwa mzee zumo.

Yaani kila nikifika sehemu ina mawe makubwa utulivu unanitoka kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hotel hiyo ndio Swiss farm cottage au? Maana ndio hotel iliyopo close na mkapa....tofauti na hiyo ni mulas hotel....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…