Mtu akiumwa au akianguka na mapepo anaombewa na kupona mechanism gani huwa inatumika kumponya?Inakuwaje mtu akifa tunamzika kabisa na mwili tunauona halafu kumbe kachukuliwa msukule!?
Mechanism gani inatumika kuwachukua?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nilivyokuwa narudi nilikutana na mtu tu wakawaida sana ila sijawahi muona akaniuliza unahisi kitu unachotaka fanya ni sahihi?? nikamwambia sijakuelewa akaniambia umenielewa ila tu hutaki kuelewa akaenda zake niliogopa sana ila niliamini Mungu yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nililia msiba wa mzee miezi 7 au 8 before ajafariki ghafla, ilikua mara kwa Mara naota amekufa, tumezika na tumekaa vikao vya familia kujua hatima yetu maana tulikua wadogo, nilikua nalia ndotoni Nikiamka Nna machozi kabisa, ila Nikiamka baba yuko mzima kabisa nilikua sielewi naona Ndoto tu... Ilikua haipiti wiki mbili mfululizo. Now ndio naelewa.Pole sana.Nakazia hapa kwa huu mstari.
Ayubu 33:14-15
14 Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
15 Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Smart911 Ana moyo[emoji1787]kweli hata huyo houseg wangu alisema. .kuna kazi mbali mbali wanapewa kama yeye kazi yake ilikua jikoni na kutumwa kuua tu. .eti pia kuna siku za kusherekea tu hio siku wanaimba wanakula wanafurahiii. .lakini pia alisema kule hawawi na maumbo ya kibinadamu bali wanakua na maumbo ya wanyama au ndege wengine ng'ombe kuku n.k sasa Sijui inakuaje hapo
pia yule binti aliyeletwa kanisani baada ya kuonekana kwa miaka 5 kupita alikua anakula kwa mkono ila kama ndege au kuku yani kama anadonoa vile iwe wali iwe ugali
sijui inakuaje hapo
Cc Smart911
Nguvu ya MunguMtu akiumwa au akianguka na mapepo anaombewa na kupona mechanism gani huwa inatumika kumponya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nata meme kuna mmoja nalimpenda ghafla wakati mwanzo nlikuwa simpendi naona kabisa kunakauwalakini hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo najitahidi kumpenda japo ni kwa kujilazimisha tu
Dah aise dunia tunayoishi ina mambo mengi sana ya kutisha! Hivi haya ynafanywa na wadamu hawa hawa tunaopishana nao kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unajitahidi kufwatiliaNililia msiba wa mzee miezi 7 au 8 before ajafariki ghafla, ilikua mara kwa Mara naota amekufa, tumezika na tumekaa vikao vya familia kujua hatima yetu maana tulikua wadogo, nilikua nalia ndotoni Nikiamka Nna machozi kabisa, ila Nikiamka baba yuko mzima kabisa nilikua sielewi naona Ndoto tu... Ilikua haipiti wiki mbili mfululizo. Now ndio naelewa.
Ni mengi, naweza nika predict kitu kwa usahihi kabisa. Naweza kuona mazingira nitakayofanya kazi hata mwakani ndotoni au kwa hisia
Kwanini wasiumwe mkuu, possibility ya wao ni kubwa kupata maradhi kuliko watu wengineMkuu
hawa misukule huwa wanaumwa?
Naje wakifa wanazikwa?
Pia mwenyewe akifa inakuwaje?
Je kuna wachawi ambao hawaoa misukule wao au kuolewa na misukule?
kuna misukule wazungu au foreigners?
Watoto wadogo misukule hua wanakua wakubwa?
Sio Mashambani hata barabarani,masokoni, wanatembeamo ,wanafanya shughuli za kawaida je hamna wanaowaona?Wakiwa wanafanya kazi huko shambani wanaonekana? Kama hawaonekani majirani watasemaje pindi wanapoona shamba limelimwa asubuhi na jana mpaka jioni lilikuwa halijalimwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtumishi ktk ubora wako [emoji3]Nilishawahi kuota pia mama yangu yangu amepata tatizo.
Nimeamka sikujua Ni tatizo gani ila yale mawazo yakawa yananijia Tena na Tena,
Nikawa napata alert kichwani kwamba Kuna kitu lakini nikapuuzia sikufanya lolote..nadhani ujinga wangu pia ulichangia
Ule mwaka mama yangu alipata matatizo,yaani siji kusahau.
Ni Mungu tu alitenda.
Mwaka Jana december pia nimelala nikawa naota nyumbani, naona km Kuna kitu kibaya kitatokea na kitamuathiri mama.
Asubuhi nilivyoamka Yale mawazo yakawa yananijia Tena...nikasali.
Baadaye nikatulia kusikiliza mawazo yatakayonijia baada ya maombi.
Kuna mstari ukaja akilini nikashika Bible nikafunngua palepale ulipo ilikuwa habakuki nadhani.
Nikamtumia mama message nikamwambia asali, nikamwambia simama kwa miguu yako..usisubiri mtu akusalie.
Kweli haikupita wiki Kuna mtu mbaya alienda nyumbani..lakini lilipita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kazi yangu kwako nilishaimaliza.
Kuna jamaa flani nilishawahi kufanya naye biashara. Kwa kweli jamaa nilikuwa namuuzia mzigo mkubwa sana. Tulifanya biashara nzuri sana.
Baadae jamaa akajipanua sana akafungua matawi ya biashara yake, akanunua usafiri wa kutembelea, akaoa na akapata mtoto.
Siku 1 nimekaa maeneo ya baishara yangu nikamuona jamaa anapita upande wa pili wa barabara anachechemea kama mtu aliyeumia kwa kunyaga kitu chenye ncha kali.
Marafiki niliokuwa nimekaa nao wakaanza kumuongelea yule jamaa kwamba pesa zake ni za kishirikina, na pesa zake ziko kwenye kidonda mguuni kinachomfanya anachechemea.
Nikawauliza mnamfahamu na pesa ziko kwenye kidonda kivipi?
Majamaa wakaniambia yule jamaa kuwa anatajirika na kufilisika, alishawahi kumiliki costa daladala 4, magari ya kutembelea, nyumba, na kituo cha kuuza mafuta halafu akafilisika akafungua genge la kuuza nyanya nk.
Wakasema kile kidonda chake kikianza kuuma anaanza kufilisika anapoteza kila kitu anajifungia ndani hata miezi 3 anaugulia maumivu tuu hataki kwenda hospital anaomba mnunulie panadol, kutuliza maumivu.
Kidonda kikipona tuu anaaza kushika pesa nyingi za kufa mtu. Yule jamaa nilianza kumfuatilia kibiashara. Tuliendaa baadae akaacha kununua mzigo akaanza kuuza biashara zake, nikimuuliza kulikoni anasema anataka kubadilisha biashara.
Uza usafiri wake, uza pikipiki alizokuwa amewapa bodaboda wamletee pesa. Jamaa kutembea shida kidonda kimebamba moto, mke mtoto wakamkimbia, alikuwa bonge akakonda baraaaa, ukikutana naye anaomba pesa ya kula.
Baadae akatoweka kabisa. Alikaa muda kweli akarudi yuko vizuri kabisa pesa zimeanza kumchanganyia tena. Kwahiyo huyu jamaa kazi yake ni kutajirika kufilisika kutajirika kufilisika
Sent using Cash Money Wings
Mi sioni kama nina tatizo [emoji3] ni lifestyle niliyoichaguaWewe kazi yangu kwako nilishaimaliza.
Wewe endelea kukaza shingo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shuhudia nguvu za MUNGU sio shetaniNawasilisha kama ilivyosimuliwa :
Kuna mwalimu Shule X, huko kanda ya ziwa, aliamka saa tisa usiku kuwahi usafiri asubiri gari kwenda mjini, kijiji cha ndani huko mkoa mpya uliopo ziwani.
Akasubiri gari na baada ya mda likaja, akasimamisha na kuingia. Gari ikaondoka, kakaa baada ya mda kumcheki abiria mwenzake kainama, akahisi labda ni usingz, lakini alipocheki waliopo nyuma pia dizaini kila mtu kainama. Akaona isiwe shida akamsemesha jamaa kainama tu kwa siti yake.
Sasa na yeye akatulia, gari imeenda lakini ghfla kama kausingz kakamwingia, akshtuka ghafla ni saa kumi na mbili asubuh na amesimama pale pale alipokuwa saa tisa kituoni.
Akapanic, kachukua baiskeli hadi wilayani hakurudi tena, ikabidi afisa elimu aende kule na timu yake kuongea na waalimu na wananchi ila jamaa hakuweza kukubali kurudi kituoni. In short walimpa uhamisho.
Nyingine mwalimu kapangiwa kituo Shule X huko kanda ya nyonyo. Kama ujuavyo vita ya kugombea mwalim binti mpya kati ya wanakijiji na wafanyakazi wenzake. Kumbe akawa kawakatalia, ikawa nongwa!
Siku moja anaosha ndizi kamaliza vizuri kwa sufuria, ghafla kikashuka kinyesi kingi kika replace ndizi zote, kinyesi fresh kinatoa hadi Moshi. Madam yule alikimbia kwenda kwa Bro nae ni mwalimu jirani Yake. Hakurudi tena kwa ile nyumba anaogopa.
Nina visa kama 10 kidogo ila mzembe kuhadithia.
Haya Mambo yapo kanda ya Nyonyo hasa kwa tuliokulia Bush huwa hata hatutetereki.
Sent using Jamii Forums mobile app