Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Mkuu

hawa misukule huwa wanaumwa?

Naje wakifa wanazikwa?

Pia mwenyewe akifa inakuwaje?

Je kuna wachawi ambao hawaoa misukule wao au kuolewa na misukule?

kuna misukule wazungu au foreigners?

Watoto wadogo misukule hua wanakua wakubwa?

Duuh

kwaiyo misukule ikiumwa inatibiwa au

na je wanaweza kuumia kazini kama kujiakat or so?

ma misukule wenyewe na wenyewe wanafahamiana na kuwasiliana. je hua wanaongea wenyewe kwa wenyewe au?
 
Kipindi nikiwa mdogo sana nilisimuliwa kuwa mama yetu kipindi akiwa mjamzito alikuwa anaota jirani yetu anamtaka yule mtoto wa tumboni.....

Sasa sikuhiyo mama na mamdogo wameenda fuata maji kisimani sio mbali sana wamavyopita nyumba ya huyo Mmama mchawi aliekuwa anataka mtoto ndotoni kina mama wakamkuta huyo mmama nje kwake na dirishani mume wake anaomba mama aende kymfungulia mlango maana huyo mke aliekaa pembeni amemfungia kwa nje ....

Bi mkubwa alikuwa mtu wa kusali roho ikamwambia tu usifungue......baadaye ndo akaja ambiwa na mtumishi kuwa yule baba ni sawa na ile mimba na ule mlango uliofungwa ndio kizuizi za ujauzito kutoka kilichokuwa kinamshinda yule mmama kumchoropoa bi mkubwa ujauzito na endapo angefungua tu mlango basi sikuhiyo angeumwa na ujauzito ungechoropoka.....

So hivyo tu huyo mmama kuna siku wakati tunacheza nje kwake (kulikuwa kuna uwanja wa mpira) kuna rafiki yetu alikojoa huku yule mmama anamuona basi jioni yule mmama akazoa ule mchamga wenye mkojo akajaingia nao ndani.... Usiku saa 1 hivi yule rafiki etu alianza kuumwa sana mwili umemchemka dudu umevimba sana....cha kushukuru Mungu ilikuwa kila ikifika saa 1 tunaenda watoto wengi kwa huyo rafiki yetu kuangalia mikanda ya ngumi.....

Tulivyoulizwa tukasema alikojoa kwa mama flani, baba wa huyo rafiki yetu alitoka na panga mpaka kwenye hiyo nyumba ya huyo mama akamwambia kufumba na kufumbua anataka mwanae apone lasivyo watagawana majengo ya serikali.... Basi huyo mama akaomba samahani kiutu uzima mzee kurudi kwake jamaa amepona na dudu imerudi kawaida.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3] nimeenda Google nikakutana hichi kitu ila ngoja nilisome mkuu nione itakuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana.. kuna watu mmejaliwa maneno vinywa vyenye kuumba maneno.
Jaribu ku practice huo uwezo wako uutumia kuwanenea watu mema..Japo mema hukawia kutokea..
Ushajingundua usirudie kuruhusu hisia zako zikateka ufikiri
 
Pole sana.. kuna watu mmejaliwa maneno vinywa vyenye kuumba maneno.
Jaribu ku practice huo uwezo wako uutumia kuwanenea watu mema..Japo mema hukawia kutokea..
Ushajingundua usirudie kuruhusu hisia zako zikateka ufikiri
Asee.nimekoma.namuonea dogo huruma.ila kila siku namwombea MEMA kila siku naiman next time atafanikiwa
 
Kama kwwli hivyi vidono vinafanya kazi mbona hatuna mabondia wakubwa si wangetumia huko?

tatizo lugha
 
Samahani hivi huwa mnasali vp linapotokea jambo au ndoto mbaya?

tatizo lugha
 
Me nmepita bila kusoma kabisaa, sitaki shari[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilitokea nn mkuu

yess BiShoo haswaaAaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…