Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

case ya pili deja Vu.
 
Mkuu sio kigoma hyo kweli!! mana nikikumbuka yaliyonikutaga Op "kilimo kwanza" !! yan hayasimuliki!!
 
wote wanatumia nguvu za giza mkuu kuna waziri mmoja rafiki yangu nilikuta kwake kawafungia waganga kama 30 hivi anawalisha kila kitu wamtengeneze mambo yake yawe mazuri na kweli amefanikiwa jiwe anamsikiliza hatari japokua jamaa ni bogus tu
Nakufata DM mana si kwa connection hzo aisee!!
 

Dunia uwanja wa fujo
 
Mkuu

Ukiongelea ishu za "kome" nakukubalia asilimia zote! nilienda kome msiba wa shemeji yng na kilichonitokea huko sitakuja sahau!!! afu eti nasikia huko ndipo mahali wanaongoza toa ma padri!!? Kome ni sayari nyingine ile ...
 
Kuna watu siyo waelewa kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
case ya pili deja Vu.
Sio kweli mkuu. Deja vu sio ndoto. Hii ni ile hali ambapo tukio linatokea na wewe kuhisi kuwa sio mara ya kwanza kuona, kusikia ama kufanya jambo hilo (hauwezi kukariri muda wa tukio isipokuwa hisia zinakutuma tu kuwa kitu kimewahi kutokea, kwamaana nyingine ni kuwa hisia huja wakati wa tukio halisi kutukia ndpo deja vu hutokea) kesi ya msimuliaji ni tofauti, yeye aliota ndoto.
 
Huyo jamaa alikuwa ni Mchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…