Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,389
- 2,025
Mkuu uko serious na ulichoandika?Maaaaaamamamamamamamamamamamamamamaaaaa huko ndo kuna KIWANDA CHA JUTENGENEZEA MAJINI KIPO KIGANZA KWA MAMA MPOLE...majini yote ni made in HUKO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni simulizi nzuri ila imekosa mwandishi mzuriNdugu yangu mmoja alipata kaz kwa mmama wa kihindi kama msaidizi wa kazii za ndani, amefanyakaz takriban mwaka mmoja ivi lakini alijikuta anacha kazii kwa hichi alichonisimulia.
Boss alikuwa na uwezo wa kipesa akiwa mwenyewe na watoto wake wawili mdogo wa kiume mkubwa wa kike umri kadiria apo darasa laa tatu
Bosi buana sebuleni kunasehemu alipatenga kwa ajili ya kufanyia ibada zakee, sehem hiyo kuliwa na na kasanamu kadogo tu ivi mwenyewe kazungushia maua na vitu mbalimbali kila siku asubuh lazma akakipigie magoti kale kasanamu
Wakati ndugu akiwaza sikuu anaacha kazii akakiibe kale kasanamuu kutokana na uzuri wake hiki ndicho alichokishuhudia kabla.
Sikuu moja buana ndugu yupoo jikoni mtoto wa bosi yupo sebuleni yule dogo wa mwisho yupo chumba cha juuu kalala sijui dogo buana alifata ninii kwenye kale kasamu ghafla ndugu anasikia makelele ya dogo na kishindo kizito kutoka kwenda kuchungulia e bhana we kalikuta bongeee LA jituu jeusi limesimama linahasira ndugu kuangalia vizuri kumbe ni kale kasanamu kameumuka
Ndugu wacha aanze kupiga kelele kumbe wanavyooiga kelele ndivyo wanavyomoandisha mori lillee jitu lilikuwa linabeba makochi tupa kule TV tupa kulee fujoo fujooo ndugu na uoaga wake woteee ilibidi amchukue yule dogo fastaaa kimbialia chumbaa cha juuu kwenda kumchukua yuleee dogooo alieeelalaa kuanza kupigaaa makelele dirishani bahat nzur kulikuwa na mlinzi sasa mlinz anasikia vishindooo jumba linmtetemeko
Ikabidi aingiee ndaniii buana ajamalizia kufungua mlango machoo kwa machoo na lileee jituu unaambiwa mlinzi akuuuliza aligeuzaaaa peku pekuuu uyoooo kishadaaaaa mbiooo ataaaa msaaada hakutoaaa.. Sasa ndugu yangu ikabidi ajitutumue atafute njia ya kutokaaa baahat nzur alipata upenyo mlangoniii akakimbia kuelekeea njeeee akiliacha nyumaaa lilee jitu likifanyaaa vurugu ndaniiii..
Sasa ndugu ananambia kumbeee mlinziii alivyotoka njeeee ya getiii alikuwa anaulizwa na majirani ninii kinaendelea yeye kakazana kuondoka akidai natolewa sadaka ghafla majirani wanamuona ndugu huyooo rafurafu yeyeee madogo woteeee wanalia ndio kuanza kuwaambia ndiyo yule maza kupigiwa simuu, yuleee maza alichokijibu nikuwasisitiza wasingie ndaniii anakujaaa haraka sanaaaa kuanza kuwaulizia watotooo amesshatoka nao njeeee...
Bosii alivyoo rudiiii direct aingia ndaniii ndugu akiwa nyumaaa yaaaani bosiii angechelewa angemkuta njeeee kwa alichonisimulia huyu ndugu bahati nzuri alimkuta mlangoni anataka kutokeza njeeee. Cha kushangaza alivyomfikia akazungumzaa nae maneno kadhaaaa ghafla kutoka kkuwa lijitu li kubwaaa limerudi kuwa kisanamu akakibeba na kukirudisha mahala pakeeee.
Bila kuchelewa Kesho yakeeee ndugu akamuagaaa bosi kuwa maza anaumwa kumbe ndiyoo giaaa ya kuamsha ndugu ananambia at a helaaa hakudaiiii ananambia alikuwa anaomba pakucheee tuuu uyoo aondoke, tokea aondoke na lainnn akabadilisha.
Alivyorud nyumban baada ya sikuuu kazaaa iviii akampigia yule mfanyakaz mwenzake mlinz kumuuliza akasema ajawah ataaa kudai pesa yakeee hajawa ataaa kurudi kiufi kibarua kilishia happoo
Mkuu nipe hiyo hela uone motoYatanikuta vipi mambo ambayo hayapo??
Nilishatoa hadi pesa nilogwe lakini hakuna alieweza
Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa mbishi sana. hadi ulogwe ndio utaamini uchawi upo.You tube wako kwa ajili ya kupata views. Ukiwa unaangalia video angalia channel ya muhusika ina husu nini kama ni entertainment au education purpose.
Wengi huwa wanasema kabisa kuwa sio kwelii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndioo mpaka ni logwee. Mimi nimekaa na watu walikuwa wana amini uchawii yani kila wakitaka kufanya,kitu ni mpaka kwa wa gangaa na ukiniangalia na mimi nikiwa mdogo walini lamba chale. Ila tokea nafahamu hayo mambo sija wai ona maajabuuwe jamaa mbishi sana. hadi ulogwe ndio utaamini uchawi upo.
Weeee sema kweliMaaaaaamamamamamamamamamamamamamamaaaaa huko ndo kuna KIWANDA CHA JUTENGENEZEA MAJINI KIPO KIGANZA KWA MAMA MPOLE...majini yote ni made in HUKO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatoa vizuri Sana, hujakutana na waganga hata MAIMUNA na MAKATA wakifika wanakubali yaishe.Nenda kasomewe kisomo cha Ruqya vinginevyo utahangaika sana.waganga hawana uwezo wa kutoa majini zaidi ya kuyapoza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Cha chumvi iliyoombewa. Elewa tu chumvi Ni dawa ya kuua madawa yaliyochimbiwa ardhini na hata ukikuta dawa au kitu usichokielewa ndani kwako kwa kuhisi Kama Cha ushirikina hivi, Cha kufanya nyunyizia tu chumvi na ikibidi temea mate na ikibidi kojolea. Hapa biashara kwisha.Ndiyo tulifanikisha baada ya wachungaji kuja kuombea tena na kumwaga chumvi iliyoombewa kuzunguka nyumba na eneo lote
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo alijichanganya kushikana nao mkono.Kisa cha 03
Hichi kisa nilihadithiwa na mzee Fulani nilipata kuzoeana alikuwa rafiki tu na tulikuwa tukikutana nae katika vijiwe vya kahawa maana nlikuwa napenda jion nikae na wazee nipate mawili matatu nae alikuwa mganga wa kienyeji huyu mzee alikuwa na mtoto wake mkubwa nae alikuwa mganga ila alishakufa
Story ni hivi anasema mwanae ktk shughuli za uganga alikuwa akisaidiana nae siku moja akaletwa mmama wa makamo kama mwenye late 40s kwa kukisia anasema alikuwa ametupiwa majini kwa hyo aliachwa hapo auguzwe basi wakaanza kumtibu yule mmama akapandisha majini wakawaambia sisi hatutaki kutoka kwenye kichwa cha huyu mtu nyie wadanganyeni tu walieni pesa zao waambieni kapona na sisi tutatulia kwa mda ila sisi msitulazimishe kutoka laasivyo tutakuja kwenu
Mzee akaguna halafu ukicheki ktk kipindi chote cha uganga hajawahi kutana na mgonjwa mgumu kama huyo akamwambia mwanangu embu tumuache naona kama roho haitaki nifanye hivo mwanae kwa kutaka sifa akamwambia kama baba umeshindwa kazi kwa uwoga wako niachie Mimi yule mzee akakaa zake pembeni akawa mtazamaji akasema sawa
Basi kijana akapiga kazi kwelikweli na akafanikiwa kuwatoa na hio kazi ilimpa sifa kweli na pesa maana wenye mgonjwa walishakata tamaa lakini wakashangaa mfumbuzi kapatikana walifurahi sana anasema kazi ilianza alfajiri ikaisha saa sita mchana
Jioni mzee akiwa kwenye kijiwe chake cha kahawa anaambiwa wahi haraka nyumbani maana walikuja vijana kumpa taarifa kijana wake walimuokota njiani na damu puani mida ya saa Tisa ameanguka mzee akawahi haraka nyumban kujua kulikoni na akamkuta kijana wake anahema kwa shida akamuuliza kulikoni
Mwanae akasema baba nilikuwa napita barabarani sasa nikakutana na watu wawili wamevaa mavazi ya rangirangi halafu warefu mno wakanisimamisha kwa kupeana mkono walikuwa na vidole vyembamba virefu wakanisalimia nikajiuliza hawa watakuwa wa kina nani au wateja nini lakini wakaniambia "we si tulikwambia usitutoe lakini hukutuskia sasa tunakuja kwako" jamaa hapohapo kizunguzungu akazimia ndo akashtuka yupo kwao kitandani akujua kilichoendelea
Yule mzee alimuugua mwanae siku hiyohiyo kesho yake jioni mwanae alikutwa amekata ringi kitandani na damu zikitoka puani
Anamalizia kusimulia hvyo akaniambia kijana wangu we ni mgeni ktk huu mji na dunia kwa ujumla kuishi kingi ni kuona mengi hii dunia INA mambo ya ajabu ya kustaajabisha mwanzo sikumuelewa ila baada ya miaka kadhaa na mkasa mkubwa niliokumbana nao ktk maisha yangu japo sio wa uchawahi na hausiani na uchawi nilikuja kumuelewa dunia hadaa ulimwengu shujaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo alijichanganya kushikana nao mkono.
Wewe nenda siku ukamchinje ule nyama uone
Wewe nenda siku ukamchinje ule nyama uone
Hujajibu swali, mimi nataka definitions tu za kuanzia mjadala, ushachoka tayari?
Nenda mitaa ya mtongani na mtakuja utawaona
Wewe nani kakupa kazi ya kupanga nani anatakiwa kwenye uzi gani?
Ahsante sana mkuu. Hapa nyama za bure bure nshapata. Ntaleta mrejeshoNenda mitaa ya mtongani na mtakuja utawaona
Inamaana hata lakutupiwa linaweza kutoka mkuu?Nenda kasomewe kisomo cha Ruqya vinginevyo utahangaika sana.waganga hawana uwezo wa kutoa majini zaidi ya kuyapoza tu
Sent using Jamii Forums mobile app