Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Ndugu yangu mmoja alipata kaz kwa mmama wa kihindi kama msaidizi wa kazii za ndani, amefanyakaz takriban mwaka mmoja ivi lakini alijikuta anacha kazii kwa hichi alichonisimulia.

Boss alikuwa na uwezo wa kipesa akiwa mwenyewe na watoto wake wawili mdogo wa kiume mkubwa wa kike umri kadiria apo darasa laa tatu

Bosi buana sebuleni kunasehemu alipatenga kwa ajili ya kufanyia ibada zakee, sehem hiyo kuliwa na na kasanamu kadogo tu ivi mwenyewe kazungushia maua na vitu mbalimbali kila siku asubuh lazma akakipigie magoti kale kasanamu

Wakati ndugu akiwaza sikuu anaacha kazii akakiibe kale kasanamuu kutokana na uzuri wake hiki ndicho alichokishuhudia kabla.

Sikuu moja buana ndugu yupoo jikoni mtoto wa bosi yupo sebuleni yule dogo wa mwisho yupo chumba cha juuu kalala sijui dogo buana alifata ninii kwenye kale kasamu ghafla ndugu anasikia makelele ya dogo na kishindo kizito kutoka kwenda kuchungulia e bhana we kalikuta bongeee LA jituu jeusi limesimama linahasira ndugu kuangalia vizuri kumbe ni kale kasanamu kameumuka
Ndugu wacha aanze kupiga kelele kumbe wanavyooiga kelele ndivyo wanavyomoandisha mori lillee jitu lilikuwa linabeba makochi tupa kule TV tupa kulee fujoo fujooo ndugu na uoaga wake woteee ilibidi amchukue yule dogo fastaaa kimbialia chumbaa cha juuu kwenda kumchukua yuleee dogooo alieeelalaa kuanza kupigaaa makelele dirishani bahat nzur kulikuwa na mlinzi sasa mlinz anasikia vishindooo jumba linmtetemeko

Ikabidi aingiee ndaniii buana ajamalizia kufungua mlango machoo kwa machoo na lileee jituu unaambiwa mlinzi akuuuliza aligeuzaaaa peku pekuuu uyoooo kishadaaaaa mbiooo ataaaa msaaada hakutoaaa.. Sasa ndugu yangu ikabidi ajitutumue atafute njia ya kutokaaa baahat nzur alipata upenyo mlangoniii akakimbia kuelekeea njeeee akiliacha nyumaaa lilee jitu likifanyaaa vurugu ndaniiii..

Sasa ndugu ananambia kumbeee mlinziii alivyotoka njeeee ya getiii alikuwa anaulizwa na majirani ninii kinaendelea yeye kakazana kuondoka akidai natolewa sadaka ghafla majirani wanamuona ndugu huyooo rafurafu yeyeee madogo woteeee wanalia ndio kuanza kuwaambia ndiyo yule maza kupigiwa simuu, yuleee maza alichokijibu nikuwasisitiza wasingie ndaniii anakujaaa haraka sanaaaa kuanza kuwaulizia watotooo amesshatoka nao njeeee...

Bosii alivyoo rudiiii direct aingia ndaniii ndugu akiwa nyumaaa yaaaani bosiii angechelewa angemkuta njeeee kwa alichonisimulia huyu ndugu bahati nzuri alimkuta mlangoni anataka kutokeza njeeee. Cha kushangaza alivyomfikia akazungumzaa nae maneno kadhaaaa ghafla kutoka kkuwa lijitu li kubwaaa limerudi kuwa kisanamu akakibeba na kukirudisha mahala pakeeee.

Bila kuchelewa Kesho yakeeee ndugu akamuagaaa bosi kuwa maza anaumwa kumbe ndiyoo giaaa ya kuamsha ndugu ananambia at a helaaa hakudaiiii ananambia alikuwa anaomba pakucheee tuuu uyoo aondoke, tokea aondoke na lainnn akabadilisha.


Alivyorud nyumban baada ya sikuuu kazaaa iviii akampigia yule mfanyakaz mwenzake mlinz kumuuliza akasema ajawah ataaa kudai pesa yakeee hajawa ataaa kurudi kiufi kibarua kilishia happoo
Ni simulizi nzuri ila imekosa mwandishi mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we jamaa mbishi sana. hadi ulogwe ndio utaamini uchawi upo.
Ndioo mpaka ni logwee. Mimi nimekaa na watu walikuwa wana amini uchawii yani kila wakitaka kufanya,kitu ni mpaka kwa wa gangaa na ukiniangalia na mimi nikiwa mdogo walini lamba chale. Ila tokea nafahamu hayo mambo sija wai ona maajabuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo tulifanikisha baada ya wachungaji kuja kuombea tena na kumwaga chumvi iliyoombewa kuzunguka nyumba na eneo lote

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Cha chumvi iliyoombewa. Elewa tu chumvi Ni dawa ya kuua madawa yaliyochimbiwa ardhini na hata ukikuta dawa au kitu usichokielewa ndani kwako kwa kuhisi Kama Cha ushirikina hivi, Cha kufanya nyunyizia tu chumvi na ikibidi temea mate na ikibidi kojolea. Hapa biashara kwisha.
 
Kisa cha 03

Hichi kisa nilihadithiwa na mzee Fulani nilipata kuzoeana alikuwa rafiki tu na tulikuwa tukikutana nae katika vijiwe vya kahawa maana nlikuwa napenda jion nikae na wazee nipate mawili matatu nae alikuwa mganga wa kienyeji huyu mzee alikuwa na mtoto wake mkubwa nae alikuwa mganga ila alishakufa


Story ni hivi anasema mwanae ktk shughuli za uganga alikuwa akisaidiana nae siku moja akaletwa mmama wa makamo kama mwenye late 40s kwa kukisia anasema alikuwa ametupiwa majini kwa hyo aliachwa hapo auguzwe basi wakaanza kumtibu yule mmama akapandisha majini wakawaambia sisi hatutaki kutoka kwenye kichwa cha huyu mtu nyie wadanganyeni tu walieni pesa zao waambieni kapona na sisi tutatulia kwa mda ila sisi msitulazimishe kutoka laasivyo tutakuja kwenu


Mzee akaguna halafu ukicheki ktk kipindi chote cha uganga hajawahi kutana na mgonjwa mgumu kama huyo akamwambia mwanangu embu tumuache naona kama roho haitaki nifanye hivo mwanae kwa kutaka sifa akamwambia kama baba umeshindwa kazi kwa uwoga wako niachie Mimi yule mzee akakaa zake pembeni akawa mtazamaji akasema sawa



Basi kijana akapiga kazi kwelikweli na akafanikiwa kuwatoa na hio kazi ilimpa sifa kweli na pesa maana wenye mgonjwa walishakata tamaa lakini wakashangaa mfumbuzi kapatikana walifurahi sana anasema kazi ilianza alfajiri ikaisha saa sita mchana


Jioni mzee akiwa kwenye kijiwe chake cha kahawa anaambiwa wahi haraka nyumbani maana walikuja vijana kumpa taarifa kijana wake walimuokota njiani na damu puani mida ya saa Tisa ameanguka mzee akawahi haraka nyumban kujua kulikoni na akamkuta kijana wake anahema kwa shida akamuuliza kulikoni

Mwanae akasema baba nilikuwa napita barabarani sasa nikakutana na watu wawili wamevaa mavazi ya rangirangi halafu warefu mno wakanisimamisha kwa kupeana mkono walikuwa na vidole vyembamba virefu wakanisalimia nikajiuliza hawa watakuwa wa kina nani au wateja nini lakini wakaniambia "we si tulikwambia usitutoe lakini hukutuskia sasa tunakuja kwako" jamaa hapohapo kizunguzungu akazimia ndo akashtuka yupo kwao kitandani akujua kilichoendelea


Yule mzee alimuugua mwanae siku hiyohiyo kesho yake jioni mwanae alikutwa amekata ringi kitandani na damu zikitoka puani

Anamalizia kusimulia hvyo akaniambia kijana wangu we ni mgeni ktk huu mji na dunia kwa ujumla kuishi kingi ni kuona mengi hii dunia INA mambo ya ajabu ya kustaajabisha mwanzo sikumuelewa ila baada ya miaka kadhaa na mkasa mkubwa niliokumbana nao ktk maisha yangu japo sio wa uchawahi na hausiani na uchawi nilikuja kumuelewa dunia hadaa ulimwengu shujaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo alijichanganya kushikana nao mkono.
 
miaka ya 1999 mpaka 2002 kuna dogo mmoja wa shule ya msingi ulali, narumu machame alizama mtoni, akapotea kama siku 3 ivi, wazee walienda kuchinja mbuzi pale alipozama dogo akaibuka kutoka kwenye maji akiwa mzima kabisa na afya njema, ili tukio sitakaa nisahau.
 
Back
Top Bottom