Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Mimi nilikuwa naamini uchawi upo lakini nilikuwa naona kama haunihusu yaani hayo mambo sio kwa ajili yangu ,ila in 2012 wakti ni watoto wawili chini ya miaka mi 4 wote haka kakubwa she was 3yrs kalikuwa kananambia baba mtu ,sisi hatumuoni kwa wakati huo tulikuwa tumebaki mimi ,shemeji wa kike ,na watt wangu wawili ,wife alikuwa china kibiashara ,..alikuwa akirudia mara kwa mara nilikuwa nachukulia masihara ila baadae niliyokutana nayo hii dunia ndani yake kuna dunia nyingine yaani nimeishi maisha ya ajbu sana 2018, 2019 ni story ndefu from 2012 uhalisia ukaja dhihiri 2018 tayari mtt ameshakuwa yaani tumepitia vitu vya ajabu sana,tumeona mambo ambayo tulikuwa tukiyasikia tu ila Alhamdulillah M/mungu mkubwa sana tumepiga hatua kubwa Alhamdulillah

Sent using Jamii Forums mobile app


Tusimulie kidogo basi Beco.
 
emu tupe iyo kwa urefu mkuu
Mimi nilikuwa naamini uchawi upo lakini nilikuwa naona kama haunihusu yaani hayo mambo sio kwa ajili yangu ,ila in 2012 wakti ni watoto wawili chini ya miaka mi 4 wote haka kakubwa she was 3yrs kalikuwa kananambia baba mtu ,sisi hatumuoni kwa wakati huo tulikuwa tumebaki mimi ,shemeji wa kike ,na watt wangu wawili ,wife alikuwa china kibiashara ,..alikuwa akirudia mara kwa mara nilikuwa nachukulia masihara ila baadae niliyokutana nayo hii dunia ndani yake kuna dunia nyingine yaani nimeishi maisha ya ajbu sana 2018, 2019 ni story ndefu from 2012 uhalisia ukaja dhihiri 2018 tayari mtt ameshakuwa yaani tumepitia vitu vya ajabu sana,tumeona mambo ambayo tulikuwa tukiyasikia tu ila Alhamdulillah M/mungu mkubwa sana tumepiga hatua kubwa Alhamdulillah

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilikuwa naamini uchawi upo lakini nilikuwa naona kama haunihusu yaani hayo mambo sio kwa ajili yangu ,ila in 2012 wakti ni watoto wawili chini ya miaka mi 4 wote haka kakubwa she was 3yrs kalikuwa kananambia baba mtu ,sisi hatumuoni kwa wakati huo tulikuwa tumebaki mimi ,shemeji wa kike ,na watt wangu wawili ,wife alikuwa china kibiashara ,..alikuwa akirudia mara kwa mara nilikuwa nachukulia masihara ila baadae niliyokutana nayo hii dunia ndani yake kuna dunia nyingine yaani nimeishi maisha ya ajbu sana 2018, 2019 ni story ndefu from 2012 uhalisia ukaja dhihiri 2018 tayari mtt ameshakuwa yaani tumepitia vitu vya ajabu sana,tumeona mambo ambayo tulikuwa tukiyasikia tu ila Alhamdulillah M/mungu mkubwa sana tumepiga hatua kubwa Alhamdulillah

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaeleweka
 
Ndugu yangu mmoja alipata kaz kwa mmama wa kihindi kama msaidizi wa kazii za ndani, amefanyakaz takriban mwaka mmoja ivi lakini alijikuta anacha kazii kwa hichi alichonisimulia.

Boss alikuwa na uwezo wa kipesa akiwa mwenyewe na watoto wake wawili mdogo wa kiume mkubwa wa kike umri kadiria apo darasa laa tatu

Bosi buana sebuleni kunasehemu alipatenga kwa ajili ya kufanyia ibada zakee, sehem hiyo kuliwa na na kasanamu kadogo tu ivi mwenyewe kazungushia maua na vitu mbalimbali kila siku asubuh lazma akakipigie magoti kale kasanamu

Wakati ndugu akiwaza sikuu anaacha kazii akakiibe kale kasanamuu kutokana na uzuri wake hiki ndicho alichokishuhudia kabla.

Sikuu moja buana ndugu yupoo jikoni mtoto wa bosi yupo sebuleni yule dogo wa mwisho yupo chumba cha juuu kalala sijui dogo buana alifata ninii kwenye kale kasamu ghafla ndugu anasikia makelele ya dogo na kishindo kizito kutoka kwenda kuchungulia e bhana we kalikuta bongeee LA jituu jeusi limesimama linahasira ndugu kuangalia vizuri kumbe ni kale kasanamu kameumuka
Ndugu wacha aanze kupiga kelele kumbe wanavyooiga kelele ndivyo wanavyomoandisha mori lillee jitu lilikuwa linabeba makochi tupa kule TV tupa kulee fujoo fujooo ndugu na uoaga wake woteee ilibidi amchukue yule dogo fastaaa kimbialia chumbaa cha juuu kwenda kumchukua yuleee dogooo alieeelalaa kuanza kupigaaa makelele dirishani bahat nzur kulikuwa na mlinzi sasa mlinz anasikia vishindooo jumba linmtetemeko

Ikabidi aingiee ndaniii buana ajamalizia kufungua mlango machoo kwa machoo na lileee jituu unaambiwa mlinzi akuuuliza aligeuzaaaa peku pekuuu uyoooo kishadaaaaa mbiooo ataaaa msaaada hakutoaaa.. Sasa ndugu yangu ikabidi ajitutumue atafute njia ya kutokaaa baahat nzur alipata upenyo mlangoniii akakimbia kuelekeea njeeee akiliacha nyumaaa lilee jitu likifanyaaa vurugu ndaniiii..

Sasa ndugu ananambia kumbeee mlinziii alivyotoka njeeee ya getiii alikuwa anaulizwa na majirani ninii kinaendelea yeye kakazana kuondoka akidai natolewa sadaka ghafla majirani wanamuona ndugu huyooo rafurafu yeyeee madogo woteeee wanalia ndio kuanza kuwaambia ndiyo yule maza kupigiwa simuu, yuleee maza alichokijibu nikuwasisitiza wasingie ndaniii anakujaaa haraka sanaaaa kuanza kuwaulizia watotooo amesshatoka nao njeeee...

Bosii alivyoo rudiiii direct aingia ndaniii ndugu akiwa nyumaaa yaaaani bosiii angechelewa angemkuta njeeee kwa alichonisimulia huyu ndugu bahati nzuri alimkuta mlangoni anataka kutokeza njeeee. Cha kushangaza alivyomfikia akazungumzaa nae maneno kadhaaaa ghafla kutoka kkuwa lijitu li kubwaaa limerudi kuwa kisanamu akakibeba na kukirudisha mahala pakeeee.

Bila kuchelewa Kesho yakeeee ndugu akamuagaaa bosi kuwa maza anaumwa kumbe ndiyoo giaaa ya kuamsha ndugu ananambia at a helaaa hakudaiiii ananambia alikuwa anaomba pakucheee tuuu uyoo aondoke, tokea aondoke na lainnn akabadilisha.


Alivyorud nyumban baada ya sikuuu kazaaa iviii akampigia yule mfanyakaz mwenzake mlinz kumuuliza akasema ajawah ataaa kudai pesa yakeee hajawa ataaa kurudi kiufi kibarua kilishia happoo
 
Mimi nilikuwa naamini uchawi upo lakini nilikuwa naona kama haunihusu yaani hayo mambo sio kwa ajili yangu ,ila in 2012 wakti ni watoto wawili chini ya miaka mi 4 wote haka kakubwa she was 3yrs kalikuwa kananambia baba mtu ,sisi hatumuoni kwa wakati huo tulikuwa tumebaki mimi ,shemeji wa kike ,na watt wangu wawili ,wife alikuwa china kibiashara ,..alikuwa akirudia mara kwa mara nilikuwa nachukulia masihara ila baadae niliyokutana nayo hii dunia ndani yake kuna dunia nyingine yaani nimeishi maisha ya ajbu sana 2018, 2019 ni story ndefu from 2012 uhalisia ukaja dhihiri 2018 tayari mtt ameshakuwa yaani tumepitia vitu vya ajabu sana,tumeona mambo ambayo tulikuwa tukiyasikia tu ila Alhamdulillah M/mungu mkubwa sana tumepiga hatua kubwa Alhamdulillah

Sent using Jamii Forums mobile app
Unazungukazunguka hueleweki unaelezea nini!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilikuwa naamini uchawi upo lakini nilikuwa naona kama haunihusu yaani hayo mambo sio kwa ajili yangu ,ila in 2012 wakti ni watoto wawili chini ya miaka mi 4 wote haka kakubwa she was 3yrs kalikuwa kananambia baba mtu ,sisi hatumuoni kwa wakati huo tulikuwa tumebaki mimi ,shemeji wa kike ,na watt wangu wawili ,wife alikuwa china kibiashara ,..alikuwa akirudia mara kwa mara nilikuwa nachukulia masihara ila baadae niliyokutana nayo hii dunia ndani yake kuna dunia nyingine yaani nimeishi maisha ya ajbu sana 2018, 2019 ni story ndefu from 2012 uhalisia ukaja dhihiri 2018 tayari mtt ameshakuwa yaani tumepitia vitu vya ajabu sana,tumeona mambo ambayo tulikuwa tukiyasikia tu ila Alhamdulillah M/mungu mkubwa sana tumepiga hatua kubwa Alhamdulillah

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuambie uliyokutana nayo ili tujifunze mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
baada ya kumuoa huyo binti mlozi mdomo alopona au la?
Kisa kingine cha Kaka yangu mtoto wa Mama yangu mdogo.

Yeye kipindi hicho alikuwa amemaliza chuo akarudi Kijijini nyumbani kwao.
Huko akawa na mahusiano na binti fulani,baada ya muda alipata kazi akaja huku mjini..Mambo yakakaa sawa akataka kumuacha yule mwanamke, yaani alirogwa mdomo ulipinda .. Sasa Kuna siku alikuja nyumbani kwetu(kwa mamkubwa wake) kusalimia nikawa namshangaa mdomo upo pembeni kabisa ila haumwi chochote.
Kumuuliza mama ndiyo akanihadithia kwamba huko kwao familia ya binti ilimroga.

Ilibidi aendelee na yule mwanamke,baadaye akamuoa..tukafunga safari Hadi huko Kijijini tukacheza harusi.
Akamchukua mkewe wakaenda kuishi mjini.Yule dada alikuwa mrembo jamani huwezi amini Kama ni mchawi.
Mkewe akapata ujauzito,wanaendelea kuishi na mimba ilikuwa kubwa tu Kama miez 6-7.

Kumbe usiku wakilala yule dada alikuwa anaondoka kimazingara anaenda anakoenda asubuhi anarudi.
Wachawi wao kanuni yao akiondoka usiku ,mwili unabaki pale kitandani na inabidi usimuamshe.
Sasa yule Kaka alistuka usiku akamstua akaona mtu hatikisiki.
Yule dada aliondoka akaenda Kwenye anga ya sumbawanga huko na mama yake ,wameenda kuwanga huko wakazidiwa nguvu.(haya yalikuwa maelezo ya mama ya huyo dada)..huku Kaka alivyozidi kumuamsha ndipo alipoharibu Mambo.
Amsha dada haamki,kuita majirani amsha mtu haamki,kumpeleka hospital kumpima amekufa yeye na mtoto tumboni.

Mama wa huyu dada msibani alilia Sana,akaanza kumlaumu huyu Kaka kwanini alimuamsha mwanawe,alivyoona Mara ya kwanza hajatikisika angemuacha na asingeita watu.
Yule dada akawa amekufa hivyo,mtoto akatolewa tumboni ..wakazika.
Huyo binti ndiye alikuwa anaenda naye safari zake zote.

Baadaye mama mtu anamwambia yule Kaka kwamba ampe binti yake mwingine aliyebakia..
Huyo Kaka aligoma kabisa.
Hicho Kijiji hakijaendelea bado.. yaani Kuna wachawi hatari.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mtu kasha fariki inakua aje

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama amefariki lazima atakuwa na mtoto, mzazi, mke au mume... ukishindwa wapa chochote hao basi nenda hata kwenye kaburi lake kaweke shada la maua na vitu Kama hivo.... japo me naamini ukiimba msamaha yeye akakataa au akawa amefariki then ukiomba msamaha kwa Mungu wala hakuna shida na karma inakua imeisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu mmoja alipata kaz kwa mmama wa kihindi kama msaidizi wa kazii za ndani, amefanyakaz takriban mwaka mmoja ivi lakini alijikuta anacha kazii kwa hichi alichonisimulia.

Boss alikuwa na uwezo wa kipesa akiwa mwenyewe na watoto wake wawili mdogo wa kiume mkubwa wa kike umri kadiria apo darasa laa tatu

Bosi buana sebuleni kunasehemu alipatenga kwa ajili ya kufanyia ibada zakee, sehem hiyo kuliwa na na kasanamu kadogo tu ivi mwenyewe kazungushia maua na vitu mbalimbali kila siku asubuh lazma akakipigie magoti kale kasanamu

Wakati ndugu akiwaza sikuu anaacha kazii akakiibe kale kasanamuu kutokana na uzuri wake hiki ndicho alichokishuhudia kabla.

Sikuu moja buana ndugu yupoo jikoni mtoto wa bosi yupo sebuleni yule dogo wa mwisho yupo chumba cha juuu kalala sijui dogo buana alifata ninii kwenye kale kasamu ghafla ndugu anasikia makelele ya dogo na kishindo kizito kutoka kwenda kuchungulia e bhana we kalikuta bongeee LA jituu jeusi limesimama linahasira ndugu kuangalia vizuri kumbe ni kale kasanamu kameumuka
Ndugu wacha aanze kupiga kelele kumbe wanavyooiga kelele ndivyo wanavyomoandisha mori lillee jitu lilikuwa linabeba makochi tupa kule TV tupa kulee fujoo fujooo ndugu na uoaga wake woteee ilibidi amchukue yule dogo fastaaa kimbialia chumbaa cha juuu kwenda kumchukua yuleee dogooo alieeelalaa kuanza kupigaaa makelele dirishani bahat nzur kulikuwa na mlinzi sasa mlinz anasikia vishindooo jumba linmtetemeko

Ikabidi aingiee ndaniii buana ajamalizia kufungua mlango machoo kwa machoo na lileee jituu unaambiwa mlinzi akuuuliza aligeuzaaaa peku pekuuu uyoooo kishadaaaaa mbiooo ataaaa msaaada hakutoaaa.. Sasa ndugu yangu ikabidi ajitutumue atafute njia ya kutokaaa baahat nzur alipata upenyo mlangoniii akakimbia kuelekeea njeeee akiliacha nyumaaa lilee jitu likifanyaaa vurugu ndaniiii..

Sasa ndugu ananambia kumbeee mlinziii alivyotoka njeeee ya getiii alikuwa anaulizwa na majirani ninii kinaendelea yeye kakazana kuondoka akidai natolewa sadaka ghafla majirani wanamuona ndugu huyooo rafurafu yeyeee madogo woteeee wanalia ndio kuanza kuwaambia ndiyo yule maza kupigiwa simuu, yuleee maza alichokijibu nikuwasisitiza wasingie ndaniii anakujaaa haraka sanaaaa kuanza kuwaulizia watotooo amesshatoka nao njeeee...

Bosii alivyoo rudiiii direct aingia ndaniii ndugu akiwa nyumaaa yaaaani bosiii angechelewa angemkuta njeeee kwa alichonisimulia huyu ndugu bahati nzuri alimkuta mlangoni anataka kutokeza njeeee. Cha kushangaza alivyomfikia akazungumzaa nae maneno kadhaaaa ghafla kutoka kkuwa lijitu li kubwaaa limerudi kuwa kisanamu akakibeba na kukirudisha mahala pakeeee.

Bila kuchelewa Kesho yakeeee ndugu akamuagaaa bosi kuwa maza anaumwa kumbe ndiyoo giaaa ya kuamsha ndugu ananambia at a helaaa hakudaiiii ananambia alikuwa anaomba pakucheee tuuu uyoo aondoke, tokea aondoke na lainnn akabadilisha.


Alivyorud nyumban baada ya sikuuu kazaaa iviii akampigia yule mfanyakaz mwenzake mlinz kumuuliza akasema ajawah ataaa kudai pesa yakeee hajawa ataaa kurudi kiufi kibarua kilishia happoo


Aiseeeee nini hiki sasa au tumeamua kutishana haa!
 
Back
Top Bottom