Kama una angalau "F" inakupasa kujua kuwa Yanga SC haitokutana na TP Mazembe, Raja wala Belouizdad wakifika makundi

Kama una angalau "F" inakupasa kujua kuwa Yanga SC haitokutana na TP Mazembe, Raja wala Belouizdad wakifika makundi

SankaraBoukaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2019
Posts
1,213
Reaction score
1,918
Kama una angalau "F" inakupasa kujua kuwa Yanga SC haitokutana na TP Mazembe, Raja Casablanca wala CR Belouizdad wakifika makundi msimu wa huu 2024/25 kwenye CAF Champions League.

Na mechi za makundi msimu huu zitafanyika kuanzia October mpaka December tofauti na miaka iliyopita ambapo ilikuwa mpaka mwaka upinduke.

Na endapo Yanga akiishia Nusu Fainali basi itampasa Simba kuwa Bingwa wa CAF CONFEDERARTION CUP ili kuendelea kuwa juu ya Yanga kwenye 5 year Ranking.
 
Kama timu zote zitafuzu hivi ndivyo itakavyokuwa kwenye pot mbili za juu

Pot 1

Al Ahly
Es Tunis
Mamelod
Petro Luanda

Pot 2
Tp Mazembe
Belouizdad
Raja Casablanca
Young Africans

Hivyo Yanga itakutana na timu moja kutoka pot 1, timu moja kutoka pot 3 na timu moja toka pot 4.
 
Kama timu zote zitafuzu hivi ndivyo itakavyokuwa kwenye pot mbili za juu

Pot 1

Al Ahly
Es Tunis
Mamelod
Petro Luanda

Pot 2
Tp Mazembe
Belouizdad
Raja Casablanca
Young Africans

Hivyo Yanga itakutana na timu moja kutoka pot 1, timu moja kutoka pot 3 na timu moja toka pot 4.
Makundi tunamtaka Mamelodi ili tuheshimiane.
 
Kama timu zote zitafuzu hivi ndivyo itakavyokuwa kwenye pot mbili za juu

Pot 1

Al Ahly
Es Tunis
Mamelod
Petro Luanda

Pot 2
Tp Mazembe
Belouizdad
Raja Casablanca
Young Africans

Hivyo Yanga itakutana na timu moja kutoka pot 1, timu moja kutoka pot 3 na timu moja toka pot 4.
Kama wachezaji watakaza, na Gamondi akachanga vizuri karata zake basi tunaweza kushuhudia Yanga ikicheza nusu fainali ya klabu bingwa msimu huu. Hatua ya makundi kama itafuzu ina advantage ya kukutana na vigogo wachache sana.
 
Kama timu zote zitafuzu hivi ndivyo itakavyokuwa kwenye pot mbili za juu

Pot 1

Al Ahly
Es Tunis
Mamelod
Petro Luanda

Pot 2
Tp Mazembe
Belouizdad
Raja Casablanca
Young Africans

Hivyo Yanga itakutana na timu moja kutoka pot 1, timu moja kutoka pot 3 na timu moja toka pot 4.
Wydady hayupo ma poti ya uongo hayo..
 
Kama timu zote zitafuzu hivi ndivyo itakavyokuwa kwenye pot mbili za juu

Pot 1

Al Ahly
Es Tunis
Mamelod
Petro Luanda

Pot 2
Tp Mazembe
Belouizdad
Raja Casablanca
Young Africans

Hivyo Yanga itakutana na timu moja kutoka pot 1, timu moja kutoka pot 3 na timu moja toka pot 4.
Mbona Simba haipo ?. Ahaa kumbe wapo kwa losers!
 
Back
Top Bottom