Kama una angalau "F" inakupasa kujua kuwa Yanga SC haitokutana na TP Mazembe, Raja wala Belouizdad wakifika makundi

Kama una angalau "F" inakupasa kujua kuwa Yanga SC haitokutana na TP Mazembe, Raja wala Belouizdad wakifika makundi

Belouizdad naye ilikuwa chupu chupu, ni sahihi kutolewa kwa Petro de Luanda kunaifanya Tp Mazembe kusogea hadi Pot 1 na Yanga kusalia pot 2 hivyo kuna uwezekano wa Yanga kuwa katika kundi moja kati ya Al Ahly, Es Tunis, Mamelod au Tp Mazembe
Sisi tuna kisasi na mamelody tu tunazitaka point 6 zetu kutoka kwake
 
Back
Top Bottom