The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Hii nimeona niizungumze kwa kiasi.
Utakuta mtu anahifadhi application ya Biblia au kitabu takatifu chochote kulingana na imani yake lakini amehifadhi pia picha za utupu au mambo yasiyofaaa.
Hii ni sehemu ya laana kwako, jaribu kuepuka haya.
Ni nayo tu wandugu.
Utakuta mtu anahifadhi application ya Biblia au kitabu takatifu chochote kulingana na imani yake lakini amehifadhi pia picha za utupu au mambo yasiyofaaa.
Hii ni sehemu ya laana kwako, jaribu kuepuka haya.
Ni nayo tu wandugu.