Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlishaambiwa ya kaisari mpeni kaisari na ya Mungu tu mpe,. Sio kila wakati mtu utakuwa unasoma bibble jamani mda mwingine tunasafisha macho,.
Mbavu zangu jamani,😂😂 ,ila Nawaza pia kwangu nifanyaje,Au ninunue Simu ingine.Mlishaambiwa ya kaisari mpeni kaisari na ya Mungu tu mpe,. Sio kila wakati mtu utakuwa unasoma bibble jamani mda mwingine tunasafisha macho,.
Ila kama ni kimoja nitafuta Bibble kwasabu ni rahisi kutumia hard copy
Sasa nimwambie nan mkuu, Mke hayupo niongee na wanangu auWabongo bwana,akiwaza kitu anakileta tu humu.
👀👀👀
DuhBiblia na Quran ndizo zina makosa, zilipaswa kufanya kazi kama ANTIVIRUS kwenye computer, vizuie virusi wasiingie kwenye simu yako. Lakini kama zimekubali kuishi na uchafu basi nazo hazina nguvu tena.
Sasa Tusemeje, unakuta wewe hunywi pombe wala huchukui malaya, lakini unaenda Bar kupumzika, na unajichanganya na walevi na malaya kwamba una pass time. Tukikukuta au kukuona mazingira hayo tutakutafsiri vipi?
Kingine cha nyongeza ukimuomba Mungu akusamehe dhambi zako na wewe pia usizikumbuke tena dhambi zako kwa maana Mungu husame dhambi zetu kabisaa tukimuombaHii nimeona niizungumze kwa kiasi.
Utakuta mtu anahifadhi application ya Biblia au kitabu takatifu chochote kulingana na imani yake lakini amehifadhi pia picha za utupu au mambo yasiyofaaa.
Hii ni sehemu ya laana kwako, jaribu kuepuka haya.
Ni nayo tu wandugu.
Hv kumbe bado watu wanaweka hizo picha kwenye simu zao 😂 Mm nikajua mambo yamebadilika n online tuu. Mm nikiwa na hamu ya kuangalia hua naingia online tuu najimaliza natulia.
Zaidi soma hapa👇👇🏿👇🏿Hii nimeona niizungumze kwa kiasi.
Utakuta mtu anahifadhi application ya Biblia au kitabu takatifu chochote kulingana na imani yake lakini amehifadhi pia picha za utupu au mambo yasiyofaaa.
Hii ni sehemu ya laana kwako, jaribu kuepuka haya.
Ni nayo tu wandugu.