RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Ww ni jina na unamawazo ya kijanga sana kuna watu wameajiriwa na kwa mwezi wanaingiza zaidi ya 15+ milioni
Sida sio kua tajiri shida ni umesomea nn na umeajiriwa wap?
Mm nko chuga kuna watu nawajua wameajiriwa na kwa mwezi wanaingiza zaidi ya 20+ milion na apo bado posho na marupurupu ya kila sku na kila wiki
Lakin pia kutajirika ni kufanyaje na tajiri anaingiza kiasi gan cha pesa ad kumuita tajiri
Pale kijijini kwenu kuna mtu ananyumba 2 za bati ana gar moja au mbili na ng’ombe 50/100 na pale kijijini wanamuita tajiri
Etu tusaide ni kigezo gan utumika kumuita mtu tajiri
Sida sio kua tajiri shida ni umesomea nn na umeajiriwa wap?
Mm nko chuga kuna watu nawajua wameajiriwa na kwa mwezi wanaingiza zaidi ya 20+ milion na apo bado posho na marupurupu ya kila sku na kila wiki
Lakin pia kutajirika ni kufanyaje na tajiri anaingiza kiasi gan cha pesa ad kumuita tajiri
Pale kijijini kwenu kuna mtu ananyumba 2 za bati ana gar moja au mbili na ng’ombe 50/100 na pale kijijini wanamuita tajiri
Etu tusaide ni kigezo gan utumika kumuita mtu tajiri