RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Nadhani uzi wake Unalenga watu ambao hela yao inatumika katika matumizi mfano nalipwa laki 5 kodi laki 2,Matumizi laki 2,vocha elfu 40...Nasave labdah elfu 2...Ww ni jina na unamawazo ya kijanga sana kuna watu wameajiriwa na kwa mwezi wanaingiza zaidi ya 15+ milioni
Sida sio kua tajiri shida ni umesomea nn na umeajiriwa wap?
Mm nko chuga kuna watu nawajua wameajiriwa na kwa mwezi wanaingiza zaidi ya 20+ milion na apo bado posho na marupurupu ya kila sku na kila wiki
Lakin pia kutajirika ni kufanyaje na tajiri anaingiza kiasi gan cha pesa ad kumuita tajiri
Pale kijijini kwenu kuna mtu ananyumba 2 za bati ana gar moja au mbili na ng’ombe 50/100 na pale kijijini wanamuita tajiri
Etu tusaide ni kigezo gan utumika kumuita mtu tajiri
JidanganyeeKawaulize kwanza waliokosa ajira uone wsnavyotutamani.
Tunakula maisha hakuna mfano.
Hizo nadharia endeleeni kuhubirian na ndoto za mchana
Umeona Mali za Lau Mafuru? Umeona Familia ya Dr Faustine?
Umeona Utajiri wa Igp wa zamani Balozi Simon Sirro?
Twende sasa 70% ya Watz ni wakulima na wafanya umachinga( maana sio hata biashara) kaangalie hali zao ni balaa.
Ukija Mjini waliotoboa bila Elimu au kupitia ajira hawazidi 1000.
Tuweke rate ya wenye maduka Sinza na kariakoo tuwahojiKawaulize kwanza waliokosa ajira uone wsnavyotutamani.
Tunakula maisha hakuna mfano.
Hizo nadharia endeleeni kuhubirian na ndoto za mchana
Umeona Mali za Lau Mafuru? Umeona Familia ya Dr Faustine?
Umeona Utajiri wa Igp wa zamani Balozi Simon Sirro?
Twende sasa 70% ya Watz ni wakulima na wafanya umachinga( maana sio hata biashara) kaangalie hali zao ni balaa.
Ukija Mjini waliotoboa bila Elimu au kupitia ajira hawazidi 1000.
Unavosema asilimia 10% bado hujaeleweka mkuuUsidanganye watu, matajiri wako serikalini. 10%, rushwa, na wizi, kutokulipa kodi vinatajirisha watu.
Unadhani kwanini kila mwenye akili anataka kuwa mwanasiasa, na watu wanahonga kuteuliwa na rais?
Matajiri wako Hazina, TPA, TRA, BOT, TAZAMA, NIC, NHC, Takukuru, . Siwezi kuwamaliza. Kamba zingine ni ndefu sana.
Fanya biashara, sisi tuna malizia kazi za umma.
Na ukiwa huna degree na umeajiriwa au huna degree na hujaajiriwa je?Na ukiwa na digrii hujaajiriwa inakuaje ?
Hakuna Boss muajiriwa.Katika jamii yetu, imezoeleka kwamba kupata shahada (degree) na ajira rasmi ni hatua kubwa ya mafanikio. Hata hivyo, ukweli wa maisha unaonesha kwamba mafanikio ya kifedha hayategemei moja kwa moja kiwango cha elimu wala ajira pekee.
Ajira nyingi za ofisi zinakupa mshahara wa kutosha kukidhi mahitaji ya msingi kama malipo ya kodi, chakula, na usafiri, lakini mara chache zinaacha nafasi ya kuwekeza kwa kiwango kikubwa au kujenga utajiri wa kudumu. Hii ni kwa sababu:
Unachoweza Kufanya:
- Mishahara Ina Kikomo
Hata kama una shahada yako, mishahara kwa kawaida hujikita kwenye viwango vya soko, na mara nyingi haitoshi kukabiliana na gharama za maisha zinazoongezeka kila mwaka.- Kukosa Vyanzo Vingine vya Kipato
Watu wengi walioajiriwa huchagua kutegemea mshahara pekee. Bila vyanzo vya ziada vya mapato, ni vigumu kuvuka mipaka ya kipato cha kawaida. Hata ukiwekeza usimamizi wa mradi wa biashara huwa na ukomo.- Gharama Zinazoongezeka
Kama ulivyoelimika, mara nyingi matarajio ya maisha yako huongezeka, na hivyo pia gharama zako, kama vile kununua gari, nyumba, au hata kulipa mikopo ya elimu. Watu wenye kiwango kidogo cha elimu hutajirika kwa haraka kwa sababu mara nyingi hawafungwi na mtego huu anaweza kuwa na Bilioni 10 kama mtaji na anasafiri kwa usafiri wa umma.- Kukosa Ujasiriamali
Utajiri wa kweli mara nyingi hupatikana kupitia uwekezaji au ujasiriamali. Ajira nyingi zinakutumia kama mtendaji wa ndoto za wengine, huku ukisahau kujenga ndoto zako mwenyewe.
Kumbuka, shahada na ajira ni mwanzo tu wa safari. Kuwa tajiri kunahitaji maamuzi makini, nidhamu ya kifedha, na uthubutu wa kuvuka mipaka ya kawaida. Mada imeandaliwa na Nyadikwa na kuhaririwa na Chat GPT.
- Tafuta njia za kuwekeza, hata kwa kiasi kidogo.
- Anza mradi wa ujasiriamali sambamba na ajira yako.
- Jifunze kuhusu usimamizi wa fedha na uwekezaji.
- Badilisha mtazamo wako kuhusu fedha na utajiri; fikiria muda mrefu badala ya faida ya haraka.
Swali gumu sana, hawezi jibu.Je waliojiajiri wote ni matajiri?
Waliojiajiri wote ni maboss je wamefanikiwa?Hakuna Boss muajiriwa.
Ndiomana wakakuari wewe.Waliojiajiri wote ni maboss je wamefanikiwa?
Kama huelewi ujue halikuhusu, unaliacha lilivyo.Unavosema asilimia 10% bado hujaeleweka mkuu