Kama una dushe ndogo njoo tubonge hapa

Kwa dunia ya leo iliyojaa ubinafsi wala usiumize kichwa kuhusiana na size ya maumbile yako.

Kama kibamia chako kinatoa haja ndogo, kinadisa na unafika mshindo, yaliyobaki wala yasikupe fikra.

Hawa viumbe wa kike wao wenyewe hawajui wakitakacho maishani mwao. Wewe na kibamia chako ni ithibati wa hilo.

Kuna waliokusifu na waliokukandia. kikubwa mwenyewe unaridhika.
 
Mbona kama umekata tamaa
 
Niliambiwa machine yote hio jamn khaa.. sijui nilichelewa wapi[emoji1787][emoji1787]
 
Average size ni kuanzia inchi 5-8...sasa unapozungumzia ndogo sijui unamaanisha size gani.?

Wapo wanaume wana uume mrefu ila pia wana matatizo ya kuwa flaccid (soft).

Unakuta akisimamisha unakuwa hauwi mgumu kama msumari.

All in all size sio kitu muhimu ujue mbinu za kumkojoza mwenza wako
 
Sijawai kujaribu dawa yyte mkuu kwasab hamna iliyothibitishwa nsije nikaharibu zaidi hata kidogo nlichonacho
 
Supu ya samaki na maziwa ni dawa ya kibamia sema inabidi utumie kwa wingi angalau unywe supu mara tatu au nne kwa wiki maziwa fresh au mtindi kwa wingi ndani ya mwezi utaona matokeo
Endelea kutumia usiache
Usimtie mwenzako umasikini
 
Ukitaka dawa njoo inbox
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…