Habari wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza kama una eneo halina kazi naomba tukutane, ili tuone kama tunaweza kushirikiana tufuge nguruwe kama washirika mimi nina mtaji wewe eneo.
Eneo lisiwe nje sana ya mjini
Tafadhari tuwasiliane PM
Mrejesho: Nimeshapata eneo tayari ahsante JF