Car4Sale Kama una gari ndogo njoo tuvunje

Car4Sale Kama una gari ndogo njoo tuvunje

Nilichomanisha ni kwamba mfano IST kuna no. B, C na D kila gar inatofautiana na condition yake
Noana wewe ni mgumu wa kuelewa vitu au pengine upo tu hapa kucheza na watu. Hivi kwa mfano ukitaja bei ya gari B,C,D unapungukiwa na kitu. Nimekuomba tutajie bei ya hayo magari bado tu hutaki kuelewa.
 
Noana wewe ni mgumu wa kuelewa vitu au pengine upo tu hapa kucheza na watu. Hivi kwa mfano ukitaja bei ya gari B,C,D unapungukiwa na kitu. Nimekuomba tutajie bei ya hayo magari bado tu hutaki kuelewa.
wewe sema una gari gan utume na picha humu nikwambie bei humuhumu shida iko wapi?
 
Noana wewe ni mgumu wa kuelewa vitu au pengine upo tu hapa kucheza na watu. Hivi kwa mfano ukitaja bei ya gari B,C,D unapungukiwa na kitu. Nimekuomba tutajie bei ya hayo magari bado tu hutaki kuelewa.
mm nipost gar yangu mkuu weka na yako sema mm gar yangu ni hii biashara inafanyikaje?mbona biashara nyepesi tu tunamaliza humuhumu isije kuwa tunapoteza muda gari haipo
 
Gari inaonekana bomba ila hizo C.C za engine....! Mmh unaweza omba poo kwenye Wese.
 
Back
Top Bottom