Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaBajaj huvunji mkuu?
Noana wewe ni mgumu wa kuelewa vitu au pengine upo tu hapa kucheza na watu. Hivi kwa mfano ukitaja bei ya gari B,C,D unapungukiwa na kitu. Nimekuomba tutajie bei ya hayo magari bado tu hutaki kuelewa.Nilichomanisha ni kwamba mfano IST kuna no. B, C na D kila gar inatofautiana na condition yake
wewe sema una gari gan utume na picha humu nikwambie bei humuhumu shida iko wapi?Noana wewe ni mgumu wa kuelewa vitu au pengine upo tu hapa kucheza na watu. Hivi kwa mfano ukitaja bei ya gari B,C,D unapungukiwa na kitu. Nimekuomba tutajie bei ya hayo magari bado tu hutaki kuelewa.
mm nipost gar yangu mkuu weka na yako sema mm gar yangu ni hii biashara inafanyikaje?mbona biashara nyepesi tu tunamaliza humuhumu isije kuwa tunapoteza muda gari haipoNoana wewe ni mgumu wa kuelewa vitu au pengine upo tu hapa kucheza na watu. Hivi kwa mfano ukitaja bei ya gari B,C,D unapungukiwa na kitu. Nimekuomba tutajie bei ya hayo magari bado tu hutaki kuelewa.