kama una mademu wawili!!

kama una mademu wawili!!

njookesho

New Member
Joined
Jul 24, 2011
Posts
3
Reaction score
0
kama una mademu wawili na una babaika wa kufunga nae ndoa eti kwa kigezo wote una wapenda, nakushauri funga na yule demu wako wa pili kumpata.
 
kama una mademu wawili na una babaika wa kufunga nae ndoa eti kwa kigezo wote una wapenda, nakushauri funga na yule demu wako wa pili kumpata.
Mkuu umenigusa mi nipo kwenye hiyo situation wa pili ndio nampenda sana! Ila nahisi nitamuoa wa kwanza
 
Pumba hzo,tafuta kingine cha kuandika.
 
Back
Top Bottom