Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umenigusa mi nipo kwenye hiyo situation wa pili ndio nampenda sana! Ila nahisi nitamuoa wa kwanzakama una mademu wawili na una babaika wa kufunga nae ndoa eti kwa kigezo wote una wapenda, nakushauri funga na yule demu wako wa pili kumpata.
Haha hahaha hahahhahah.Kisu kifwele i sanja.Isyi syo nongwa isya bhasungu ngasimanya une.kama una mademu wawili na una babaika wa kufunga nae ndoa eti kwa kigezo wote una wapenda, nakushauri funga na yule demu wako wa pili kumpata.