Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

Mimi hapa...Niko nimeanza

Naomba na wengine wasome hapa kama hawatojali..kwa sasa mbuzi wako juu sana,ni high season wakulima wana pesa za mbaazi na dengu wanaringa hawauzii njaa..mbuzi mpk 150k kwa mbuzi mmoja na kondoo pia bei ndo ziko hvyoo....Mimi nilikua na kiasi nkaongezewa ila mpk mda huu nazunguka minadani bado sijafanya kutafura unafuu maana hakuna mbuzi wa 50k may be vile vidogo Sanaa..

Wanaofanya kwa sasa ni wazoefu tu wa business wanalinda mitaji yao na wao kwa kua wengi wanajua biashara at least wanapata faida japo kidogo sana na advantage kubwa wao huku wengi wana mini yao hvyo hawagharamii malazi plus msosi...kwa mgeni kama sisi ukiingia kichwa kichwa itakula kwako uanze laumu watu...Mimi toka Alhamis nazunguka na pesa yangu naogopa nisije nkachoma bure na kutafuta mchawi..
Msimu mzuri wa kuanza hii biashara kwa huku Kondoa ni December may be utafute chimbo lingine ila kwa huku nimeogopa..December to April mbuzi mkubwa kabisaa unampata mpk elf 60 ambae kwa sasa wanauzwa laki na 50!!!
Kaka jebel alieleza vzr kule juu namimi nakazia umakini msiseme hamjaambiwa!!
Ahsanteni

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji106]
 
Ntaleta mrejesho Leo tena maana naelekea Busi huko Jana nilikosa mzigo!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

Habari kiongozi. Ulifanikiwa kufika kwenye hivyo viwanda vya kuchakata mbuzi?

Kilo kwa sasa wananunua kwa kiasi gani?

Kuna sehem mbuzi wa kutosha wapo. Nataka kulinganisha gharama za kuwafikisha hapo na mauzo nione kama kuna faida.
 
Habari kiongozi. Ulifanikiwa kufika kwenye hivyo viwanda vya kuchakata mbuzi?

Kilo kwa sasa wananunua kwa kiasi gani?

Kuna sehem mbuzi wa kutosha wapo. Nataka kulinganisha gharama za kuwafikisha hapo na mauzo nione kama kuna faida.
Wapi uko kuna mbuzi wa kutosha..?
 
Wapi uko kuna mbuzi wa kutosha..?

Kuna jamaa nilikua nae hapa. Yeye anafuga ng' ombe na kuku huko Fukayose ( sijui kama nimepatia jina).

Kuna maeneo mawili moja kuelekea Arusha unaingia kwa wamasai, ni kitu anafanya sana sema wanauza minadani.
Chimbo lingine njia ya kwenda Tanga.
Hapa kwake kwenyewe anafuga ng'ombe wa maziwa. Ni mzoefu kwenye mifugo.
Kwenye hayo mazungumzo nikaukumbuka huu uzi.
 
Kuna jamaa nilikya nae hapa. Yeye anafuga ng' ombe na kuku huko Fukayose ( sijui kama nimepatia jina).

Kuna maeneo mawili moja kuelekea Arusha unaingia kwa wamasai, ni kitu anafanya sana sema wanauza minadani.
Chimbo lingine njia ya kwenda Tanga.
Hapa kwake kwenyewe anafuga ng'ombe wa maziwa. Ni mzoefu kwenye mifugo.
Kwenye hayo mazungumzo nikaukumbuka huu uzi.
Nimefanikiwa ila kwa sasa ili ufike unapaswa uende kujiandikisha kwanza ndo wanapokea mzigo...!!nilipata faida kiduchu sana maana mbuzi mmennua bei kubwa na kwa sasa wana magari yao..if uwasiliane tuingie machimbo hukoo waliko mbuzi wa bei ya chini!!walau tupate faida kubwa!!
 
Kuna jamaa nilikya nae hapa. Yeye anafuga ng' ombe na kuku huko Fukayose ( sijui kama nimepatia jina).

Kuna maeneo mawili moja kuelekea Arusha unaingia kwa wamasai, ni kitu anafanya sana sema wanauza minadani.
Chimbo lingine njia ya kwenda Tanga.
Hapa kwake kwenyewe anafuga ng'ombe wa maziwa. Ni mzoefu kwenye mifugo.
Kwenye hayo mazungumzo nikaukumbuka huu uzi.
Tuwasiliane ili pia tuunganishe nguvu ..siwezi weka mawasiliano yangu hadharani tafadhali!
 
Tuwasiliane ili pia tuunganishe nguvu nkupe connection ya leseni maana km huna leseni pale utapigwa fine mpl ukae chini ulie!naomba aliye tayari aje nimpe uzoefu..siwezi weka mawasiliano yangu hadharani tafadhali!

Ahsante sana kiongozi. Lakini hakuna mahali nimeomba mawasiliano, nilichouliza ni taarifa.

Hata hivyo nimeshawapata hao watu wa Soga, Tan Choice Ltd. Tutayajenga tu.

Mbona Jebel aliweka taarifa zote hapa hadi akataja majina ya hivyo viwanda? Hakuweka hapa mawasiliano yake lakini taarifa zake zimetusaidia wengi.
 
Ahsante sana kiongozi. Lakini hakuna mahali nimeomba mawasiliano, nilichouliza ni taarifa.

Hata hivyo nimeshawapata hao watu wa Soga, Tan Choice Ltd. Tutayajenga tu.

Mbona Jebel aliweka taarifa zote hapa hadi akataja majina ya hivyo viwanda? Hakuweka hapa mawasiliano yake lakini taarifa zake zimetusaidia wengi.
Pili kupata leseni kama alivyopata yeye sio kazi wala sio garama, otherwise anataka kukupiga hela kwa kukukodishia leseni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana kiongozi. Lakini hakuna mahali nimeomba mawasiliano, nilichouliza ni taarifa.

Hata hivyo nimeshawapata hao watu wa Soga, Tan Choice Ltd. Tutayajenga tu.

Mbona Jebel aliweka taarifa zote hapa hadi akataja majina ya hivyo viwanda? Hakuweka hapa mawasiliano yake lakini taarifa zake zimetusaidia wengi.
Samahani kaka kama mmekosea kusema hvyo maana kuna walonifata na kutaka taaarifa kwa undani!am soryy sina lengo baya na wala sina nia mbaya nakutakia kila la heri!
 
Samahani kaka kama mmekosea kusema hvyo maana kuna walonifata na kutaka taaarifa kwa undani!am soryy sina lengo baya na wala sina nia mbaya nakutakia kila la heri!

Haujakosea mkuu, mbona hapa tunawekana sawa tu! Mie mwenyewe siwezi weka taarifa zangu na mawasiliano hadharani hapa.

Ila taarifa za biashara, ntazianika
 
Jana nilipata nafasi ya kufika pale kiwandani TanChoice soga nikapata kujifunza na kuelezwa mambo kadhaa kama ifuatavyo:-
- kwa sasa bei ya mbuzi kg ni 8700/= kama ukiwapeleka mwenyewe pale kiwandani na 8400/= kama ukiwapeleka kwenye center yao pale kizota dodoma
-Kwa sasa wanachukua mbuzi saizi ya kati btn 6-10kg hata ikizidi wanachukua ila wanapendelea sana size hiyo
-Wanapendelea sana mbuzi dume kuliko jike
-Mbuzi wakubwa kwa sasa hawachukua kwa wingi kwani walikuwa wanapeleka china na soko la china limesimama kidogo
NILICHOJIFUNZA-Hii biashara inahitaji uzoefu na umakini wa hali ya juu sana,uwe na uwezo wa kukadilia kg za mbuzi ndio maana wengi wao wanaopiga profit ni wamasai ingawa nao pia sometime wanakula loss.Pia ukitaka kushuhudia uzito wa mbuzi wako ni ruksa sio kama watu walivyodai kuwa huwezi kushuhudia.
Ni hayo tu ukiwa na swali karibu
 
Then nilisahau ukiepeleka pale sio lazima uwe na leseni
Wabongo bwana mda wote wawaza kupigwa tu!akili huna wewe!!!
[emoji2][emoji2][emoji3] asante kiongozi, tusi lako soft sana inaonekana una busara na unaishi kishkaji, kishkaj hapo hujanitusi ila umerusha swaga tu,
Mkuu ww ni pimb*i ila tusongeshe mada brother kama nimekukwaza mahali perceive it peacefuly...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nilipata nafasi ya kufika pale kiwandani TanChoice soga nikapata kujifunza na kuelezwa mambo kadhaa kama ifuatavyo:-
- kwa sasa bei ya mbuzi kg ni 8700/= kama ukiwapeleka mwenyewe pale kiwandani na 8400/= kama ukiwapeleka kwenye center yao pale kizota dodoma
-Kwa sasa wanachukua mbuzi saizi ya kati btn 6-10kg hata ikizidi wanachukua ila wanapendelea sana size hiyo
-Wanapendelea sana mbuzi dume kuliko jike
-Mbuzi wakubwa kwa sasa hawachukua kwa wingi kwani walikuwa wanapeleka china na soko la china limesimama kidogo
NILICHOJIFUNZA-Hii biashara inahitaji uzoefu na umakini wa hali ya juu sana,uwe na uwezo wa kukadilia kg za mbuzi ndio maana wengi wao wanaopiga profit ni wamasai ingawa nao pia sometime wanakula loss.Pia ukitaka kushuhudia uzito wa mbuzi wako ni ruksa sio kama watu walivyodai kuwa huwezi kushuhudia.
Ni hayo tu ukiwa na swali karibu
Shukrani sana kwa mrejesho.
Kwa wenye uzoefu naomba kujua mbuzi wa kilo 6 ni bro gani?
 

Sina uhakika ila sidhani kama kitoto kinaweza fikisha kilo sita coz wanapima baada ya kutoa vitu vya ndani vyote yani utumbo,ngozi na kichwa.Moe nadhani wa kg 6 ni wale size ya kati sio mkubwa wala sio kitoto
 
Back
Top Bottom