Kama una mtoto Saadani Sec mhamishe haraka

Mtili wandu

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2012
Posts
8,257
Reaction score
11,499
Shule haina huduma yoyote ya kishule kuanzia bweni, watoto wanalala kwenye godown la kanisa, pia humo humo kunavyoo vichafu hatari, Hakuna walimu wa A level hata mmoja, na kuna combination kibao, Mtoto akitaka kusoma analipia sh1000 km tution, km huna hakuna kusoma, hakuna jiko wala dining wanafunzi wanashida sana, tafadhali mtoto akikwambia umuhamishe msikilize shule ni kiama ya dunia ile looohhh
 

Unasoma hapo?,kama husomi hapo achana na hii habari,kwani nina uhakika waliopo hapo hawajafungwa kamba kuzuiwa kuondoka au kuzuiwa kuwaambia walezi wao,huku ni kuharibiana tu


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Ndo imeanza mwaka huu au??

Sijui hv ss ni intake ya ngapi ila ni hatar watoto wa kike wamekomaa km wanakula cement,, chakula wanakulia mbali mtu akiwahi anamwaga chakula chote watoto wanalala na njaa yaaani km kuna mtt wako huko kamtoe haraka sna
 
Unasoma hapo?,kama husomi hapo achana na hii habari,kwani nina uhakika waliopo hapo hawajafungwa kamba kuzuiwa kuondoka au kuzuiwa kuwaambia walezi wao,huku ni kuharibiana tu


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Mkuu waonee huruma watoto wa wenzako, ktk shule hizi mpya hakuna mtoto wa kigogo anayekwenda kusoma ktk shule hizo. Watoto waliopangwa huko ni wale wenzetu ambao nauli ya kufikia huko mpaka auzwe mbuzi, au dada atume nk nk. Vipi kama angekuwa ni mdogo wako ndo yuko ktk mazingira hayo.

Hapa wazazi wanatakiwa kujua miezi 24 ndio inakatika mdogo mdogo.
 
Sijui hv ss ni intake ya ngapi ila ni hatar watoto wa kike wamekomaa km wanakula cement,, chakula wanakulia mbali mtu akiwahi anamwaga chakula chote watoto wanalala na njaa yaaani km kuna mtt wako huko kamtoe haraka sna

Haha duh watoto wa kike kukomaa kama wamemeza cement. Haha unanifurahisha sana.
 
Unasoma hapo?,kama husomi hapo achana na hii habari,kwani nina uhakika waliopo hapo hawajafungwa kamba kuzuiwa kuondoka au kuzuiwa kuwaambia walezi wao,huku ni kuharibiana tu


Sent from my iPhone using JamiiForums app

asee mwambie huyo... Elimu yake ndogo sana- uwezo dhaifu wa kufikiri! Si haba akawa mtangazaji wa radio one akasema msitangaze clouds fm wala kwingine, tangazeni hapa hapa radio one na bado akajiona mtangazaji bora #professional ethics mjomba sio vyema kuharibiana, unataka afunge shule aje akuibie?
 
Mwandikie JK huenda akawakumbuka akawapa hata pesa ya trip moja. Inatosha bweni. Hafla ya juzi kati kwa ajili ya kuwaburudisha matajiri wa mpira RM zingetosha kujenga mabweni 2 na jiko na dining hall. We vipi huishi kulalama humu JF? Hakuna msaada humu, we wadhani kuna mzazi mwenye mtoi hapo awezaye kuwa humu JF? Poleee
 

Mwenye akili ya ziada atajua lazalaza alikuwa na hasira alipokuwa akiandika uzi huu....

lazalaza hebu tulia basi ndo utuambie vizurri
 
Last edited by a moderator:

Kama ww huna mtt piga kimya inatosha sana
 

Kiukweli hali ya wanafunzi ni tete pale
 
Mwenye akili ya ziada atajua lazalaza alikuwa na hasira alipokuwa akiandika uzi huu....

lazalaza hebu tulia basi ndo utuambie vizurri

Unataka nisemaje mkuu ujumbe nimeuleta siyo lazima ufanyie kaz km haukugusi
 
Last edited by a moderator:
Kama ww huna mtt piga kimya inatosha sana

lazalaza;
ww unategemea kulalama kwako humu JF kutawasaidia hao watoto wanaopata hiyo kadhia?? Au una self interest zako hutaki kuzisema? Mbona mkali ka zuberi!! Nimekufundisha njia nzuri tu, wakihama wote hiyo shule itakuwa gofu?? Dawa si kuhama, ni kuweka mazingira ya kufaa na ni hivyo nilivyotaja. Nasema, tatizo si uwezo wetu tatizo ni vipaumbeleeee
 
Unasoma hapo?,kama husomi hapo achana na hii habari,kwani nina uhakika waliopo hapo hawajafungwa kamba kuzuiwa kuondoka au kuzuiwa kuwaambia walezi wao,huku ni kuharibiana tu


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Nimewatafadhalisha km mkuu,,, mm sisomi hapo,, na mambo ya kusoma nilimaliza zaman sana sana tena enzi hizo wkt watoto wa boarding tunakula sh.50 per day
 

Mangatara
umesema hakuna mzazi humu Jf mwenye mtt pale ndo nikasema km huna mtt pale pita kimya inatosha,, Alafu umesema siishi kulalama Jf aiseee nimelalalmika lini mkuu.
Zaid sina interest yoyote zaid ya kulalama mzzingira mabovu tuuu.
Labda unipe uzi wangu wa malalamiko ambao ww unaujua.
 

Nawe unataka wafe uwazike ww ama vp? Zaid miye sijawai hata ota kuwa mtangazaji wa radio,, tena nn radio hata uesii sijawahi katika maisha yangu. We mwenye elimu kubwa imekusaidia nn au umekifanyia nn kijijini kwako, Hunijui sikujui Elimu yangu ukiijua haitakusaidia, miye elimu yang ya kusaini kwa picha ya ndege watoto wanaenda shule aaalllah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…