Kama una mtoto wa kike, mke, ndugu na n.k akiwa msanii we kubali utakayokutana nayo

Kama una mtoto wa kike, mke, ndugu na n.k akiwa msanii we kubali utakayokutana nayo

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
sio ulaya wala afrika swala la wanawake tasnia ya usanii yani kama inawapa shida sana ukilinganisha na wanaume.
Kuna shida gani sanaa na wanawake
 
Shida inaanzika kichwani.

Mbn Bi.Kidude hajasumbuliwa? Na alikuwa anaimba na kutoa hits..
 
ulikuwepo enzi za ujana wake.mengine acha kukurupuka kama historia ya bibi yako tu ufahamu ujana wake
Hapa sizungumziii ujana wala utoto. Nazungumzia SANAA yake. Iwe alianza akiwa mtoto au uzeeni hainihusu.

Wewe uliskia jambo gani baya hasa la ki umalaya kuhusu Binti Baraka? Sana sana uvutaji wake wa sigara.. binafsi sijaskia uchafu uchafu kwa yule Bibi.
 
Wanawake wanakutana na changamoto kwenye kila idara, muhimu ni wao kujitambua, kuhusu scandals za wasanii wa kike hizo ni tabia zao binafsi hata wangekua walimu bado wangekichafua tu

Kuna wasanii wa kike wanaojielewa mfano; Jide, Odama, Nargis, Dayana Nyange, Maua Sama, Irene Paul, Malkia Karen etc
 
Wanawake wanakutana na changamoto kwenye kila idara, muhimu ni wao kujitambua, kuhusu scandals za wasanii wa kike hizo ni tabia zao binafsi hata wangekua walimu bado wangekichafua tu

Kuna wasanii wa kike wanaojielewa mfano; Jide, Odama, Nargis, Dayana Nyange, Maua Sama, Irene Paul, Malkia Karen etc
Bila kuwasahau Gigy money,Shilole
 
sio ulaya wala afrika swala la wanawake tasnia ya usanii yani kama inawapa shida sana ukilinganisha na wanaume.
Kuna shida gani sanaa na wanawake
Usanii ni uhuni, umalaya, uzinzi, utapeli, wizi, tabia chafu, and you name it!
 
Back
Top Bottom