Kama una namba ya Jux mwambie mtaa unahitaji ladha mpya; amezoeleka sana

Don sparrow

Member
Joined
Dec 23, 2017
Posts
50
Reaction score
42
Nimejaribu kuvunga sana ...sema nimeshindwa labda mi sina sikio la studio lakini nadhani jux amekuwa na style moja ya kuimba ..yan nyimbo zjmekuwa na ladha moja ..mpka zina kinai mana watu tunahitaj mixing ya ladha ...inatupa kazi wadau tunao mkubali jamaa kama ..mna namba zake mwambien kitaa amedhoofika kimuziki mana kaganda na eneo moja
 
hatuna huo muda wa kumwambia, yeye aimbe tu na nyimbo ikiwa nzuri ita hit tu na ikiwa mbaya itachuja na atapotea kwenye anga la music
 


Jux ni mmoja wa wanamuziki fake, he is NOT a musician at all ila analazimisha tu na ndiyo maana ana sound the same.
 
kumbe wengi mmeliona hilo? anaimba kama anakimbizwa
 
Anaishi kwa nyota ya Vanessa huyo. Ndio maana aligongewa demu wake akajifanya haoni,.
 
dogo janja,nikki,joh makini,sijuagi wanaimba nn
 
hatuna huo muda wa kumwambia, yeye aimbe tu na nyimbo ikiwa nzuri ita hit tu na ikiwa mbaya itachuja na atapotea kwenye anga la music
Sema hii ya safari hii kazingua kinyama hakujipanga kwa kweli yani inaboa inaboa
 
dogo janja,nikki,joh makini,sijuagi wanaimba nn
Ata mimi kama huyo dogo janja simuelewagi kafanya ngoma mbovu inaitwa wayu wayu ipo kuhamasisha ushoga mpaka sasa nashindwa kuelewa kwanini haifungiwi ni kichefuchefu
 
Huyu hawezi badilika
 
Kweli watu tunatofautiana kwanyie mnaosema jamaa hajui cjui ni feki duuh.
Mi naona yuko vizuri sana km huu wa juzi yaaan unanipagawisha hatari.

Au sijui mziki mzuri
 
Kweli watu tunatofautiana kwanyie mnaosema jamaa hajui cjui ni feki duuh.
Mi naona yuko vizuri sana km huu wa juzi yaaan unanipagawisha hatari.

Au sijui mziki mzuri
anakupagawisha? ndio maana unaandika kama mtu aliyepagawa pole
 
="911sep11, post: 26433366, member: 471457"]anakupagawisha? ndio maana unaandika kama mtu aliyepagawa pole[/QUOTE]
Asante......na naomba azidi kututolea vitu vya dizaini hii tu ili wengne tuzd kuchanganyikiwa kabsa maana naona kupagawa haitoshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…