Kama una panic, huu ni ugonjwa na unatibikaa

wataalamu wa saikolojia na magonjwA YA AKILI NDIO WANAOWEZA KUKUPATIA SULUHISHO LA KUDUMU

Mkuu huu ugonjwa una uhusiano gani na depression kiongozi coz nilishaenda kwa Dr.Ndosi akaniambia nna depression na mpaka sasa huwa mtu akinikwaza kidogo tu hata kwa jambo ambalo si la kukwazika huwa nabadilika kwa 100% mkuu kuna mahusiano yoyote kati magonjwa haya mawili kiongozi coz MIND yangu inahitaji tiba ya dhati kabisa kwa mana bado siko sawa hata kidogo mkuu,HELP PLEASE.
 
uhusiano upo. tena mkubwa sana. Waweza KUPIGA 0754836659 KWA MSAADA
 
tatizo lako ni social anxiety. Hutibika 100% bila dawa. Usiteseke, waone clinical psychologist utapona
 
Wanapatikana hosp gani kama mimi nilieko mwanza, mana ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…