je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Jana nilipewa kazi ya kumtafutia kiwanja mdau wangu wa damu sana, nikashuka kisemvule nikaingia mpera ndani ndani huko.
Viwanja vipo vya mabondeni na tambarare,
Vipo vya milion 2 vipo vya 2.3, 2.5 kifupi vipo vya hela yote,
Pia nimeonyeshwa pagale ambazo zipo sokoni
Ila kuna hiki ambacho kimenifanya niandike hapa ni kuwa kuna heka pia zinauzwa zipo kidogo mbali na mji lakin kwa dunia ya sasa hakuna sehemu mbali maana kila sehemu mchina kafika na boda boda zake,
Ukitoka kisembule stand hadi maeneo ya tulio nauli ni 1500 laki kwa kuwa boda boda huku ni nyingi kuliko idadi ya wakazi hata kwa 1000 unafika.
Huku aisee wanauza heka moja Tsh. 22,000,000
Nikauliza kwa nini pesa nyingi hiii, nikajibiwa hiyo pesa kwa wawekezaji inawalipa kwa kuwa wao wanachukua heka nyingi nyingi then wanafanya biashara, yaani wanakata viwanja katika heka moja ni viwanja 20 kwa hiyo hata akiamua kuuza kwa 1.5 x 20 = bado anapata mil 8 kama faida ndani ya muda mchache na hapo kauza vunja bei ila bei halisi ni 1.6 hadi 1.7
Na pia akiamua aache kuuza baada ya mwaka ile hela yake inaji double zaidi maana atauza kwa bei ndefu kwa kuwa tayari kutakuwa kumewaka.
Wito......
Kama uko vizuri halafu hutaki stress za kuwekeza hela sehemu huku unaongea peke yako barabarani, njoo twende ukachukue heka 5 then ukae pembeni baada ya miezi mingapi tukapige bei upate hela yako na ziada ambayo haina mlolongo mrefu.
Ni hayo tu
Nashukuru
Viwanja vipo vya mabondeni na tambarare,
Vipo vya milion 2 vipo vya 2.3, 2.5 kifupi vipo vya hela yote,
Pia nimeonyeshwa pagale ambazo zipo sokoni
Ila kuna hiki ambacho kimenifanya niandike hapa ni kuwa kuna heka pia zinauzwa zipo kidogo mbali na mji lakin kwa dunia ya sasa hakuna sehemu mbali maana kila sehemu mchina kafika na boda boda zake,
Ukitoka kisembule stand hadi maeneo ya tulio nauli ni 1500 laki kwa kuwa boda boda huku ni nyingi kuliko idadi ya wakazi hata kwa 1000 unafika.
Huku aisee wanauza heka moja Tsh. 22,000,000
Nikauliza kwa nini pesa nyingi hiii, nikajibiwa hiyo pesa kwa wawekezaji inawalipa kwa kuwa wao wanachukua heka nyingi nyingi then wanafanya biashara, yaani wanakata viwanja katika heka moja ni viwanja 20 kwa hiyo hata akiamua kuuza kwa 1.5 x 20 = bado anapata mil 8 kama faida ndani ya muda mchache na hapo kauza vunja bei ila bei halisi ni 1.6 hadi 1.7
Na pia akiamua aache kuuza baada ya mwaka ile hela yake inaji double zaidi maana atauza kwa bei ndefu kwa kuwa tayari kutakuwa kumewaka.
Wito......
Kama uko vizuri halafu hutaki stress za kuwekeza hela sehemu huku unaongea peke yako barabarani, njoo twende ukachukue heka 5 then ukae pembeni baada ya miezi mingapi tukapige bei upate hela yako na ziada ambayo haina mlolongo mrefu.
Ni hayo tu
Nashukuru