Kama una sifa zifuatazo, nakuhitaji kwa hali na mali, karibu tuyajenge

Ukimpata nishtue nimekaa paleee
 
Umba wako. Katika walioumbwa na Mungu mwenye sifa zote hizo hajazaliwa bado!
 
sasa wewe na huo mziki wako ndo ujishaue kihivyo kumchambua mwana wa mwenzio eti nyooo awe hivi,nyooo mara vilee!!
 
Au ndo kanataka kamuoe malikia ili kukumbukia huyu aliyetangulia!
 
Ngoja nisome comments tu hapa
 
kwa sifa zote hizo unazozitaka labda umtengeneze mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…